Eric Djemba Djemba: Mashine kutoka Afrika Magharibi na Siri ya Alex Ferguson kuhusu wachezaji wa Afrika

Eric Djemba Djemba: Mashine kutoka Afrika Magharibi na Siri ya Alex Ferguson kuhusu wachezaji wa Afrika

Pia hata Ferguson aliwai kumpiga na kiatu
David Beckham kwenye Vyumba vya kubadilishia nguo ilikua ni mechi ya FA dhidi ya Arsenal Fc....
 
Matumizi bila akiba//
Pesa zitakukimbia//

FID Q
Dah!...haya maisha yanahitaji nidhamu Sana.

Ukiona upo kwenye kilele cha mafanikio na pesa zinakupa upendeleo ndio muda wa kuwa na nidhamu ya hali ya juu ya matumizi na uwekezaji maana muda wowote mambo huweza badilika.
 
Dah!...haya maisha yanahitaji nidhamu Sana.

Ukiona upo kwenye kilele cha mafanikio na pesa zinakupa upendeleo ndio muda wa kuwa na nidhamu ya hali ya juu ya matumizi na uwekezaji maana muda wowote mambo huweza badilika.
Hope,
Hatuna budi kuwa na Nidhamu ya pesa..
Kufulia ni noma yaani
 
Dah!...haya maisha yanahitaji nidhamu Sana.

Ukiona upo kwenye kilele cha mafanikio na pesa zinakupa upendeleo ndio muda wa kuwa na nidhamu ya hali ya juu ya matumizi na uwekezaji maana muda wowote mambo huweza badilika.
Wahenga wana usemi wao
PATA PESA TUJUE TABIA YAKO....FILISIKA TUJUE YA MKEO..... 🤓
 
Hizi ni baadhi ya argument za Fergie against African talents....

The African Continent is considered to be somewhat completely different or detached from the other continents, in a footballing sense.

The standard of the Leagues there are rather lowly and even African citizens these days support clubs like Real Madrid or Manchester United rather than their regional clubs.
 
During his time with United, and particularly during the globalisation of the game that occurred increasingly during Premier League era,

Ferguson has faced criticism—particularly originating in Africa—that he is not a fan of the continent’s talent.

Responding to these assertions, Sir Alex insisted that decisions made over personnel and signings had nothing to do with nationality, background or race.

It is hard to ignore the fact, however, that while the likes of Arsenal, Chelsea, Tottenham, Manchester City and even Liverpool have often built their teams around African talent, United have never had a genuine African hero.
 
Back
Top Bottom