Eric Mandala akamatwa na kilo 200 za Cocaine

Hush Puppy hakua muuza Madawa ila alikua kijana mmoja masikini limbukeni wa kinaijeria Tapeli wa kimtandao aliekubuhu aliewaumiza wengi kwa muda mrefu kwa kuwaibia mabilioni ya dollars na kujionyesha mitandaoni,
Soma vizuri comment yangu uielewa. Hakuna sehemu nimesema Hush alikuwa muuza dawa
 
Hakuna sehemu nimesema Hush alikuwa muuza dawa. Soma vizuri nilichoandika
 
Soma vizuri comment yangu uielewa. Hakuna sehemu nimesema Hush alikuwa muuza dawa
Sasa wewe unalinganishaje watu wa kesi 2 tofauti Hush Puppy alitumwa na mtu au ni yeye ndio alikua kiongozi wa genge lake la matapeli wa kimtandao, huyo Mandala ni kidagaa mdogo tu kuna mapapa wenyewe hicho ndicho nimekimaanisha Colombia ni Marekani ya Kusini sio Marekani ya Kasikazini soma jiografia vizuri ndio nilimaanisha hivyo
 
Swali zuri watu wanaamini matumizi ya pesa au ukiwa una pesa nyingi huwezi fungwa.
Ndio nikama namjibu mleta comment mmoja. Nikamwambia kama Hush alivyokuwa na pesa mingi basi na yy asingefungwa. So kitu kimoja wanacho share Hush na Mandala ni kuwa na hela nyingi.
 
Issue sio hela Hush Puppy hakua na ma God father behind ushaelewa Hush Puppy alikua yeye ndio shina kuu yeye ndio kiongozi mkuu wa genge lake la kitapeli ndio maana wakamtarget yeye, Mandala sio God father ni small fish 🐟 ambae behind atakua na ma God father wa huo mchezo wa kusambaza viinilishe sasa hao ndio wanajua nini cha kufanya usiangalie pesa angalia nani na nani yupo nyuma ya hizo pesa
 
Isilazimishe maoni yangu yalingane na yako. Mm nimezungumza kitu tofauti na ww unazungumza kitu tofauti. Tuache kama ilivyo
 
Huyo Tshilamwina naye ameimbwa sana na Fally Ipupa kwenye nyimbo zake kumbe ni wazee wa sembe? Sasa itakuwaje ?
 
Na biso candidat
 
Mtu yoyote mwenye pesa kuanzia billioni
weka mashaka juu yake hasa za kutafta mwenyew sio za kurithi
Hyo pesa ndogo mkuu kuna watu wanamiliki visima vya migodi uku usukumani....

Sema kwa hawa wasanii wetu hii biashara kwao haikwepeki
 
Hyo pesa ndogo mkuu kuna watu wanamiliki visima vya migodi uku usukumani....

Sema kwa hawa wasanii wetu hii biashara kwao haikwepeki
Usukumani wapi mkuu mboni km unatuvalisha kambaa kilazima?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…