[emoji16] [emoji16] [emoji16]Vifo asaivi ni kama timing,
Unagombana na mtu ukiona kashika siraha, tumia miguu yako vzr,
Sio zamani mtu katoa panga upo hapo unamuambia nikate sasa, nikateee....
Sikuhizi watu hawatanii, kitu ikitoka hairudi kavu, unageuzwa mishkaki, unapelekwa pluto fasta.
Usiwe na shaka kuhusu mbio zako katika kuokoa uhai, hutajiamini hio siku, nishawahi pita NOAH kama ipo Parking na ile ndio ilikua pona yangu serious, sijawahi rudi ile sehemu as long najua nilizingua mwenyewe.
Rudi nyumbani kumenoga chalii akeee.Chaliii ya R niliyepotelea mjini Daslamu nipo hapa [emoji1787]
Jamaa comment zake huwa zinafurahisha kweli[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
Noma sanaa aisee, bidada alikuwa ashameza vitu adimuUmoufia Kwenu wana JF,
Msanii wa Bongo fleva usiku wa kuamkia leo ameuwawa kwa kupigwa na kitu chenye ncha kali huko sanawari Atown ,chanzo cha ugomvi ni mchango wa Buku ya umeme ambayo ilitakiwa achange kwenye nyumba aliyopanga,baada ya mvurugano ndipo mwanadada akatoka aliporudi akaja na kitu chenye ncha kali na kumchoma na kupelekea umauti.
View attachment 2663242
Cc: Bushmamy
Binti keshakamatwa, yupo mikononi mwa polisiSema habari kama hizi huishia juu juu tu, hapo waandishi washamaliza.
Kilichojiri kimeripotiwa juu juu tu halafu wanapita ivi hakuna muendelezo.
Pharrell Williams au😅 😅 😅 🤣 🤣 phaller kweli wewe
naona wamebana wameachiaPharrell Williams au
Nilivyoona hayo majina kabla ya Wilaya na Mkoa nilijua ni Kiv Ukrane😄Mkazi wa Kijiji cha Ilkrevi Kata ya Olturoto Wilayani Arumeru Mkoani Arusha
Kaka mie hata waseme wanifungie kila siku, haitosaidia. Nitaonekana JF tena na tena. Labda niamue mwenyewe tu kutoonekana humunaona wamebana wameachia
ile ID ingine tunaiweka kando siyo ?
Kilimanjaro na Arusha ni twin regionsBinafsi mwanamke akisema amekulia Arusha simchukuliagi poa hata kidogo!
Wako Kama wanawake wa Kenya.
Mwanamke anayefahamika kwa jina la Blandinda Fredi Mkazi wa Kijiji cha Ilkrevi Kata ya Olturoto Wilayani Arumeru Mkoani Arusha anatuhumiwa kumuua Erick Adam ambaye ni Msanii wa Bongofleva na Mfanyakazi wa kiwanda cha mikate chanzo kikidaiwa kuwa ni kudaiana pesa ya LUKU (umeme).
Mashuhuda wa tukio hilo wanasema walishuhudia ugomvi ukiwa unaendela ambapo baadaye walimkuta Kijana huyo akiwa tayari ameshachomwa kisu.
Mwenyekiti wa Kijiji hicho Mollel amesema ni kweli Kijana huyo amefariki na wamempeleka katika chumba cha kuhifadhi maiti katika Hospitali ya Rufaaa ya Mkoa wa Arusha Mount Meru.
Itabidi kuanza kufunga motor miguuni kwa lishe hii ya wanaume wa mijini unaweza usifike mbaliUnagombana na mtu ukiona kashika siraha, tumia miguu yako vzr,