wameingilia wapi kamanda?Tunawashukuru sana Wazungu kwa kuingilia kesi hii ya uongo
Tujifunze kuheshimu sheria
Wanasiasa waliomtumia wamemwacha peke yake
Sasa mchange alipe hizo million 200+.Ama vepe mme wangu ?Uonevu wa kipumbavu kabisa
Si ndio hizo propaganda ndio mnaita kusaliti nchi?Hizo ni propaganda za mtandaoni uchumi wetu unaenda vizuri
Wewe ni mpuuzi kwelikweli? Mtu akitoa maoni tofauti na yule kichaa pale magogoni anatumiwa na wanasisa? Yy alipouza nyumba za umma kwa mahawara na ndugu zake alitumwa na nani?Tujifunze kuheshimu sheria
Wanasiasa waliomtumia wamemwacha peke yake
Fungua ubongowameingilia wapi kamanda?
kwa Kabendera? au kwa DPP?
What goes around comes around hata wewe wanasiasa wanaokutumia Leo kuleta ukorona humu ipo siku watakuacha.Tujifunze kuheshimu sheria
Wanasiasa waliomtumia wamemwacha peke yake
Hizo mabeberu watalipa,watapunguza kwenye kapu la misaada la kutupatia!Sasa mchange alipe hizo million 200+.Ama vepe mme wangu ?
Hivi wazalendo wa Tanzania ndo Huwa mnawazaga hivi?πππTujifunze kuheshimu sheria
Wanasiasa waliomtumia wamemwacha peke yake
Asante mabeberu kwa kusaidia kuachiwa kwa kabendera,endeleeni kutetea haki za watanzania wanaoteseka kisa mwehu mmoja kapewa rungu!
B.A.K karudi uraianiFungua ubongo
Unadhani hizo trillion 28 Magu alizokopa kazitoa wapi na bila ya hizo angefanya kitu gani wakati kodi yenyewe wanayo kusanya almost 70% ni mishahara ya watumishi wa serikari.wahujumu hawaioni Tz kwa jicho lako kamanda!
Wakati wewe unaona high dependence kwenye AID, wao wanaona plenty of wealth kwenye kila nyanja.
Na actually wanapenda nchi yenye utajiri kama Tz kuwa na watu wa disign yako, wasioona risk yeyote ya kuhujumiwa ili waendelee kukulevya na AIDs huku wakichota.
Washam-neutralize sio threat tena uyo, alipe faini na fidia. Serikali ni mti mkubwa sanaNimemuona leo, dah zile nywele zake zimegeuka kuwa dreads bado ana chechemea. Ni heri kaachiwa huru kijana mwenzangu, angepata shavu akaishi ughaibuni tu, hapa hapafai tena kisaikolojia na hata kiusalama.