Erick Kabendera: Mwendazake aliendesha genge la wahuni na alikusudia kumkamata Rais Mstaafu Kikwete

Tarehe 17 03 2021 itabaki kuwa siku ya ukombozi wetu Watanzania. Nchi ilikuwa inaenda kuzimu kabisa,asante Mungu kutuamulia huu ugomvi.
 
NI kweli marehemu alikuwa na michezo ya kihuni.
Ila kwa Sasa haya unayofanya bwana kabendera hayana maana.
Yupo zake chato anajigeuza geuza.
Na kule alipo Hana smartphone
Lazima yasemwe ili Kama Kuna waliobakia wawajibishwe walioshirikiana nae Kama kina biswalo mganga
 
Yaani mtu mwitu wa Chato ndanindani afanikiwe kumkamata mtoto wa mjini@?? Tena mafia,kitambo sana katika hizi kazi..Mawazo ya mwendazake sasa yalifikia hatua ya mwisho kabisa ya kuwa mawazo mfu,angalau angesikiliza washauri bais dah!!
Mwana kulitaka......
 
Nadhan ulikuwa mtoto ww,vp vile viroba vya maiti baharin?
Vip wale wasiojulikana waliokuwa wakilindwa????
Acha kujitia upofu
 
Alikua ni professor wa unafki
 
Hivi huyu Erick hua akomi sema huyu maza mpole sana
 
Kwani ile haki ya kikatiba ya kufanya mikutano mbna yule kubwa la maadui alipiga marufuku???
Kwa katiba ya nchi hii Rais akiamua kufanya lolote anaweza bila kutishwa na yoyote.

Kama unataka kujua nguvu ya Rais kikatiba ktk nchi hii muulize yule andunje wa kongwa atakupa ushuhuda murwa kabisa
Kabendera kaandika uongo

Katiba ya nchi inamlinda Raisi akiondoka madarakani hairuhusiwi kumkata wala kumshtaki kwa lolote alilotenda akiwa Raisi

Analindwa na katiba

Kabendera yuko sifuri kichwani kuhusu katiba
 
Vyeti feki acha chuki,Magufuli amefariki sukari ilikua 2,200/=
Wewe acha uwongo, labda ulikuwa Burundi ndiyo maana unapinga tu.

Halafu nashangaa kila anayepinga udhalimu wa Magufuli anaitwa Cheti Feki au Fisadi. Hiyo siyo sawa, kuwa na Cheti Feki hakuchukui haki ya mtu kutoa maoni. Isitoshe hata Magufuli mwenyewe alikuwa na PhD Feki. Leta hoja nyingine
 
Aiseee haya mengne tuyaache jaman
Mama Janet anaujua ukatili wa mmewe. Magufuli alikuwa anamtembezea mboko Mama J. Yule mama ni mvumilivu anatakiwa kupewa taji ya ndoa kumvumilia mtu controversial kama John.
 
Kabendera umeanza Tena naona hujakoma. Achana na system
System ya nioko ,Huu upumbav,unafiki, uchawa na uoga WA kijinga ndio ulisababisha maafa awamu iliyopita ,watu wakafilisiwa ,wakauawa , kutekwa ,kuteswa ,kubambikizia kesi za uongo ,kutishwa na kuchafuliwa Kwa kashfa mbovu za uongo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…