Moisemusajiografii
JF-Expert Member
- Nov 3, 2013
- 43,960
- 77,533
😂😂😂😂Kwani infinix haitoi maamdishi yakasomeka?Afufuliwe atandikwe mboko!Simu yenyewe unatumia Infinix bwege kabisa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
😂😂😂😂Kwani infinix haitoi maamdishi yakasomeka?Afufuliwe atandikwe mboko!Simu yenyewe unatumia Infinix bwege kabisa
Acha upuuzi.Kabendera ametoa hayo kutokana na aliyofanyiwa.Aliumizwa kimwili na kiakili.Huna haki ya kumchagulia ya kuyaongea.Kuumizwa aumizwe yeye halafu umchagulie namna ya kulia?Aibu hii sio Magufuli ni ya state nimetoa onyo. Mkitaka msifieni lakini kunajisi state hapana
Na kuna uwezekano mkubwa hata hao waluokuwa kwenye genge hawakupenda kutesa au kuua watu.Walilazimishwa.Na si ajabu taarifa hizo zinatoka humohumo kwa kuutumia tu mdomo wa Kabendera.Watu wema bado wapo.Amini.Weeeeeh angenyofolewa kiungo kimoja kimoja kwanza kwa kutoa siri... Nadhani genge lilishagundua kuna leakage za uovu wao Nadhani ndio sababu ya kumkamata.
Kulipa kodi mihimu sana ila kinachoaatikana kisifanye wachache waishi kama wako mbinguni na wengine kama wako shimoni. Ni nani asiyelipa kodi/tozo. Lakini, je, hakuna anayekosa hata panado japo analipa na maji anakunywa ya kisima?Kwanza nitake radhi kaka,mimi sio mnyonge,pili, mimi sijawahi kusoma shule ya serikali wala wanangu hawatosoma huko, tatu,hakuna mtu anakataa kulipa kodi ila tatizo hizi tozo zinqturudishq nyuma sisi
Huenda wewe una pesa ila mimi tozo kwangu ni gharama sana,juzi nilikuwa sehemu wakati nalipa bill nilikatwa 3000 ,hiyo ni lipa namba ya Halotel,na bidhaa niliyolipia ina thamani ya 15000
Mwendazake lilikuwa jitu la hovyo sana, nina imani wale funza hawajaishia kula nyama za mwili wake, watafune na hiyo mifupaView attachment 2386088
Legacy inazidi kuzamishwa chini zaidi. Mwendazake alikuwa wa hovyo sana
Jipe Moyo na Misemo HEWAYana maana sana hata sasa...
Amekufa kiongozi wa genge, lakini allies wake na aliokuwa anawatuma kuua watu wapo. Hawa ni lazima wawajibike kwa matendo na makosa yao...
Hata kama waliopo hawatashughulikia uovu huu, nakuhakikishia hata kama ni miaka 50 ijayo, watakuja viongozi wengine wa nchi hii na watashughulika na uovu wa toka 1961 hadi sasa...
Yaani wahusika lazima waje kuwajibika na kulipia uovu wao na waliotendewa uovu huo wapate haki zao...!!
Ndiyo maana ya kauli hizi;
HAKI ya mtu huwa haipotei bali hucheleshwa tu. Na; Hakuna uovu usiokuwa na malipizo (mshahara) wake...!
Ila machafuko mengi ya kivita huanza kama mzaa mzaa tuView attachment 2386088
Legacy inazidi kuzamishwa chini zaidi. Mwendazake alikuwa wa hovyo sana
Ile 17th March, kwangu ilikuwa usiku wa furaha sana, taarifa nimezipata kwenyw basi nikijisogeza MafingaView attachment 2386088
Legacy inazidi kuzamishwa chini zaidi. Mwendazake alikuwa wa hovyo sana
Nyerere alitaifisha shule na mahospitali akawasomesha watu wote shule ya msingi hadi chuo kiku, hivi kuna mtu unayeweza kumshukuru kama yeye? Lakini ni mtu anayetukanwa sana sana!Duh!
Ndio maana alisema kuna wastaafu wanawashwawashwa.
Huyu Bwana alikuwa ni mtu hatari sana!
Ukiangalia ile picha aliyokuwa amepiga magoti akiomba kura kwenye kampeni za 2020, unaweza hata kumuonea huruma na ukapata picha kuwa ni mtu mpole na humble, kumbe ni kinyume chake kabisa!
Niliwahi sema humu na leo narudia: Mwendazake alikuwa na kipaji kikubwa sana cha uigizaji, sema tu hakuingia kwenye hiyo sanaa ange-fit zaidi huko.
Angesemea wapi ?View attachment 2386088
Legacy inazidi kuzamishwa chini zaidi. Mwendazake alikuwa wa hovyo sana
Mungu ashukuriwe sana kwa kutuondolea huyu wakala mkuu wa shetani.Angesemea wapi ?
Ndio maana kuna Mungu!!! kwa sababu ukishindwa kufanya jambo lolote jema eti kwa sababu tu ya nguvu ya Kibaraka wa Shetani, basi Mungu humteza nguvu Kibaraka huyo kwa namna aijuayo ili upate kufanya jambo lako jema kwa amani.
Ndivyo ilivyokuwa kwa Jiwe, alikua kibaraka wa Shetani, alieumiza watu waliotetea haki za binadamu kutokana na tamaa yake ya madaraka, then Mungu akamteza nguvu kwa kumchukua ili watu waishi kwa Amani.
Ndiyo. Mwendazake ni ibilisi na nusuKila kitu kibaya ni mwendazake,
Hii siku tuiboreshe, iwe ni siku ya ibada ya kitaifa kumrudichia Mungu shukurani kwa kutuondolea ibilisi mtekaji, muuaji, mporaji na mwenye kuendesha genge la wahuniIle 17th March, kwangu ilikuwa usiku wa furaha sana, taarifa nimezipata kwenyw basi nikijisogeza Mafinga
Fanya kazi wewe. Vitu havijapandishwa bei na Samia, bali ni uviko-19 na Vita vya Ukraine na Russia. Acha kutafutiza visababu vya kumchafua mhe raisHii awamu ya sita imekuwa ya hovyo sana.Inawaambia watu punguani kama hawa kumchafua mzalendo ili tusahau kupanda bei kwa vitu vyote hapa nchini.Vitu vimepanda bei kwa kiwango kikubwa haijawahi kutokea toka tupate uhuru
Tupange siku twende Chato tukalifukue?Afufuliwe atandikwe mboko!