Erick Kabendera: Mwendazake aliendesha genge la wahuni na alikusudia kumkamata Rais Mstaafu Kikwete

Erick Kabendera: Mwendazake aliendesha genge la wahuni na alikusudia kumkamata Rais Mstaafu Kikwete

Weeeeeh angenyofolewa kiungo kimoja kimoja kwanza kwa kutoa siri... Nadhani genge lilishagundua kuna leakage za uovu wao Nadhani ndio sababu ya kumkamata.
Na kuna uwezekano mkubwa hata hao waluokuwa kwenye genge hawakupenda kutesa au kuua watu.Walilazimishwa.Na si ajabu taarifa hizo zinatoka humohumo kwa kuutumia tu mdomo wa Kabendera.Watu wema bado wapo.Amini.
 
Kwanza nitake radhi kaka,mimi sio mnyonge,pili, mimi sijawahi kusoma shule ya serikali wala wanangu hawatosoma huko, tatu,hakuna mtu anakataa kulipa kodi ila tatizo hizi tozo zinqturudishq nyuma sisi

Huenda wewe una pesa ila mimi tozo kwangu ni gharama sana,juzi nilikuwa sehemu wakati nalipa bill nilikatwa 3000 ,hiyo ni lipa namba ya Halotel,na bidhaa niliyolipia ina thamani ya 15000
Kulipa kodi mihimu sana ila kinachoaatikana kisifanye wachache waishi kama wako mbinguni na wengine kama wako shimoni. Ni nani asiyelipa kodi/tozo. Lakini, je, hakuna anayekosa hata panado japo analipa na maji anakunywa ya kisima?
 
In magufuli word ukiona unasifiwa na adui rudi nyuma jiulize umekosea wapi
Ila ukiona adui ana lalamika jua kabisa umewatwanga kweli kweli

Hizi zote ni propaganda tu hakuna ukweli wowote lakini kama kuna ukweli ujuwe kabisa ulikuwa mafia fulani ukakutana na mafia mwenzako akakumafia uko uko
JPM hakupenda ujinga
 
Yana maana sana hata sasa...

Amekufa kiongozi wa genge, lakini allies wake na aliokuwa anawatuma kuua watu wapo. Hawa ni lazima wawajibike kwa matendo na makosa yao...

Hata kama waliopo hawatashughulikia uovu huu, nakuhakikishia hata kama ni miaka 50 ijayo, watakuja viongozi wengine wa nchi hii na watashughulika na uovu wa toka 1961 hadi sasa...

Yaani wahusika lazima waje kuwajibika na kulipia uovu wao na waliotendewa uovu huo wapate haki zao...!!

Ndiyo maana ya kauli hizi;

HAKI ya mtu huwa haipotei bali hucheleshwa tu. Na; Hakuna uovu usiokuwa na malipizo (mshahara) wake...!
Jipe Moyo na Misemo HEWA
 
Hii awamu ya sita imekuwa ya hovyo sana.Inawaambia watu punguani kama hawa kumchafua mzalendo ili tusahau kupanda bei kwa vitu vyote hapa nchini.Vitu vimepanda bei kwa kiwango kikubwa haijawahi kutokea toka tupate uhuru
 
The hero wewe cheki tu jina lake likitajwa kuna watu wanakosa raha mpaka wana data
FB_IMG_1663202208135.jpg
 
Duh!

Ndio maana alisema kuna wastaafu wanawashwawashwa.

Huyu Bwana alikuwa ni mtu hatari sana!

Ukiangalia ile picha aliyokuwa amepiga magoti akiomba kura kwenye kampeni za 2020, unaweza hata kumuonea huruma na ukapata picha kuwa ni mtu mpole na humble, kumbe ni kinyume chake kabisa!

Niliwahi sema humu na leo narudia: Mwendazake alikuwa na kipaji kikubwa sana cha uigizaji, sema tu hakuingia kwenye hiyo sanaa ange-fit zaidi huko.
Nyerere alitaifisha shule na mahospitali akawasomesha watu wote shule ya msingi hadi chuo kiku, hivi kuna mtu unayeweza kumshukuru kama yeye? Lakini ni mtu anayetukanwa sana sana!

Ukiwa kiongozi do the right thing, tenda wema nenda zako! Usingojee shukrani

Kila kitu kibaya ni mwendazake, kwani aliyeanza kutoa watu kucha na meno ni nani? Uktekwaji wa ulimboka, yule mwandishi ulitokea lini?

Kwa hiyo baada ya mwendazake kufa CCM imekuwa nzuri!!! ???
Kazi kweli!
 
View attachment 2386088
Legacy inazidi kuzamishwa chini zaidi. Mwendazake alikuwa wa hovyo sana
Angesemea wapi ?

Ndio maana kuna Mungu!!! kwa sababu ukishindwa kufanya jambo lolote jema eti kwa sababu tu ya nguvu ya Kibaraka wa Shetani, basi Mungu humteza nguvu Kibaraka huyo kwa namna aijuayo ili upate kufanya jambo lako jema kwa amani.

Ndivyo ilivyokuwa kwa Jiwe, alikua kibaraka wa Shetani, alieumiza watu waliotetea haki za binadamu kutokana na tamaa yake ya madaraka, then Mungu akamteza nguvu kwa kumchukua ili watu waishi kwa Amani.
 
Angesemea wapi ?

Ndio maana kuna Mungu!!! kwa sababu ukishindwa kufanya jambo lolote jema eti kwa sababu tu ya nguvu ya Kibaraka wa Shetani, basi Mungu humteza nguvu Kibaraka huyo kwa namna aijuayo ili upate kufanya jambo lako jema kwa amani.

Ndivyo ilivyokuwa kwa Jiwe, alikua kibaraka wa Shetani, alieumiza watu waliotetea haki za binadamu kutokana na tamaa yake ya madaraka, then Mungu akamteza nguvu kwa kumchukua ili watu waishi kwa Amani.
Mungu ashukuriwe sana kwa kutuondolea huyu wakala mkuu wa shetani.
 
Hii awamu ya sita imekuwa ya hovyo sana.Inawaambia watu punguani kama hawa kumchafua mzalendo ili tusahau kupanda bei kwa vitu vyote hapa nchini.Vitu vimepanda bei kwa kiwango kikubwa haijawahi kutokea toka tupate uhuru
Fanya kazi wewe. Vitu havijapandishwa bei na Samia, bali ni uviko-19 na Vita vya Ukraine na Russia. Acha kutafutiza visababu vya kumchafua mhe rais
 
Back
Top Bottom