Erick Kabendera: Mwendazake aliendesha genge la wahuni na alikusudia kumkamata Rais Mstaafu Kikwete

Erick Kabendera: Mwendazake aliendesha genge la wahuni na alikusudia kumkamata Rais Mstaafu Kikwete

Kaka,naheshimu sana maono yako, ila mimi binafsi sioni sababu ya kumsema sana jiwe sasa,kashalala na alitubu dhambi zake, tujenge nchi yetu,yeye hasikii haya wanayomsema,bura Lissu alimpa za uso akiwa mzimq
Acha watu wateme nyongo Media zilibanwa sana.
 
He kabendera bcoz of this kwa Baba ni soon mashuhuda tunzeni memory ya hio tweet. Huwezi kuivua nguo state ukidhani unamvua Magufuli. It's unacceptable.

Now who is safe kule TIS waanze kusema tulikuwa tunatumwa?.

Mbona Samia alikuwa Makamu Rais, uwajibikaji wa pamoja uko wapi?

Vibwengo kama akina kabendera sio wa kuwachekea.
Kwahiyo wewe unamtolea vitisho vya mauaji mtu aliyesema ukweli ambao wengi wetu tunaujua kuwa Magufuli alikuwa na tuhuma za kuua watu (Ben Saanane nk). Kama kweli wewe upo TISS, umeonesha ujinga wenu uliojaa huko; badala ya kuchunguza tuhuma hizi na kumshauri rais, nyie mnatoa vitisho vya kuua watu. Kwa wale tuliofanya kazi na mwandishi huyu, tunamjua ni mtu mwenye akili na maarifa. Watu ambao mnatumia akili ya kuumiza na kuua hamuwezi kushindana nae.
 
Kwahiyo wewe unamtolea vitisho vya mauaji mtu aliyesema ukweli ambao wengi wetu tunaujua kuwa Magufuli alikuwa na tuhuma za kuua watu (Ben Saanane nk). Kama kweli wewe upo TISS, umeonesha ujinga wenu uliojaa huko; badala ya kuchunguza tuhuma hizi na kumshauri rais, nyie mnatoa vitisho vya kuua watu. Kwa wale tuliofanya kazi na mwandishi huyu, tunamjua ni mtu mwenye akili na maarifa. Watu ambao mnatumia akili ya kuumiza na kuua hamuwezi kushindana nae.
Nasikia hata hilo jina na Eric ni zuga tu mkuu?
 
Nyuzi zingine tutazileta kama zilivyokuwa ili kuziheshimisha kutokana na jinsi zilivyoshiba .
 
View attachment 2386088
Legacy inazidi kuzamishwa chini zaidi. Mwendazake alikuwa wa hovyo sana

====
Aliyoandika Kabendera

Wale mliouza mali zenu kupata pesa za kuhonga kusaidia plea bargain zenu zikubaliwe mjitokeze kutoa ushahidi. Wafanyabiashara mliopelekwa ofisi maarufu ya serikali, mkatishwa kwa mitutu ya bunduki wakati Mwendazake akiangalia kupitia CCTV, mkalazimishwa kutoa pesa mjitokeze.

Kuna mfanyabiashara maarufu alipitia mateso makali kwa kipindi cha miaka minne, ikiwemo kubinywa korodani, akilazimishwa aseme uongo kuwa alitoa dola milioni 100 kwa Rais Kikwete. Mwendazake alitaka kutumia ushahidi huo kumkamata Kikwete. Ni lazima atendewe haki.

Tuhuma dhidi ya Mwendazake kuanzisha na kuendesha genge la kihalifu nje ya mfumo wa serikali na kutoa maelekezo kwa genge hili kuwaua viongozi wa vyama vya upinzani, CCM na viongozi wakuu wastaafu ambao wangekuwa kikwazo kwake kutawala milele zichunguzwe pia.

Si mara ya kwanza zoezi kama hili kufanyika; Rais Mwinyi aliunda tume ya kupitia upya kesi zote ya uhujumu uchumi alizoziendesha Sokoine baada ya kuingia madarakani na kuna watu walirudishiwa mali zao.

Binafsi nimeombwa kuwasilisha maelezo ya maandishi kwa mamlaka husika kuhusu vitisho alivyovitoa Ndugu Biswalo dhidi yangu mara kwa mara baada kuachiwa huru na nimefanya hivyo.

Maza wa R4 sijui kama kweli anamaanisha au anazuga. Sijui kama anaelewa maana yake au ni porojo tu .... Kama kweli yuko serious basi achunguze mambomambo ya Mwendazake .... Haiwezekani kesi kama za akina Lissu kumiminiwa risasi zifunikwe chini ya carpet halafu bado mtu adai yuko serious na 4Rs ....!!
 
View attachment 2386088
Legacy inazidi kuzamishwa chini zaidi. Mwendazake alikuwa wa hovyo sana

====
Aliyoandika Kabendera

Wale mliouza mali zenu kupata pesa za kuhonga kusaidia plea bargain zenu zikubaliwe mjitokeze kutoa ushahidi. Wafanyabiashara mliopelekwa ofisi maarufu ya serikali, mkatishwa kwa mitutu ya bunduki wakati Mwendazake akiangalia kupitia CCTV, mkalazimishwa kutoa pesa mjitokeze.

Kuna mfanyabiashara maarufu alipitia mateso makali kwa kipindi cha miaka minne, ikiwemo kubinywa korodani, akilazimishwa aseme uongo kuwa alitoa dola milioni 100 kwa Rais Kikwete. Mwendazake alitaka kutumia ushahidi huo kumkamata Kikwete. Ni lazima atendewe haki.

Tuhuma dhidi ya Mwendazake kuanzisha na kuendesha genge la kihalifu nje ya mfumo wa serikali na kutoa maelekezo kwa genge hili kuwaua viongozi wa vyama vya upinzani, CCM na viongozi wakuu wastaafu ambao wangekuwa kikwazo kwake kutawala milele zichunguzwe pia.

Si mara ya kwanza zoezi kama hili kufanyika; Rais Mwinyi aliunda tume ya kupitia upya kesi zote ya uhujumu uchumi alizoziendesha Sokoine baada ya kuingia madarakani na kuna watu walirudishiwa mali zao.

Binafsi nimeombwa kuwasilisha maelezo ya maandishi kwa mamlaka husika kuhusu vitisho alivyovitoa Ndugu Biswalo dhidi yangu mara kwa mara baada kuachiwa huru na nimefanya hivyo.
Hv serikali ni ileile au imebadilika Hv hawa CCM si walelwale,kwani ukisema hayo unayosema unaamini hayo magenge yameisha hayapo kabisa na unaamini uko salama sana na hao akina biswalo unaamini walishafukuzwa usalama wa Taifa? Yetu macho na masikio ngoja tutunze maneno.
 
View attachment 2386088
Legacy inazidi kuzamishwa chini zaidi. Mwendazake alikuwa wa hovyo sana

====
Aliyoandika Kabendera

Wale mliouza mali zenu kupata pesa za kuhonga kusaidia plea bargain zenu zikubaliwe mjitokeze kutoa ushahidi. Wafanyabiashara mliopelekwa ofisi maarufu ya serikali, mkatishwa kwa mitutu ya bunduki wakati Mwendazake akiangalia kupitia CCTV, mkalazimishwa kutoa pesa mjitokeze.

Kuna mfanyabiashara maarufu alipitia mateso makali kwa kipindi cha miaka minne, ikiwemo kubinywa korodani, akilazimishwa aseme uongo kuwa alitoa dola milioni 100 kwa Rais Kikwete. Mwendazake alitaka kutumia ushahidi huo kumkamata Kikwete. Ni lazima atendewe haki.

Tuhuma dhidi ya Mwendazake kuanzisha na kuendesha genge la kihalifu nje ya mfumo wa serikali na kutoa maelekezo kwa genge hili kuwaua viongozi wa vyama vya upinzani, CCM na viongozi wakuu wastaafu ambao wangekuwa kikwazo kwake kutawala milele zichunguzwe pia.

Si mara ya kwanza zoezi kama hili kufanyika; Rais Mwinyi aliunda tume ya kupitia upya kesi zote ya uhujumu uchumi alizoziendesha Sokoine baada ya kuingia madarakani na kuna watu walirudishiwa mali zao.

Binafsi nimeombwa kuwasilisha maelezo ya maandishi kwa mamlaka husika kuhusu vitisho alivyovitoa Ndugu Biswalo dhidi yangu mara kwa mara baada kuachiwa huru na nimefanya hivyo.
huyu akili zishaga mruka msaliti wa nchi yake alivyogundulika na kukamatwa sasa hivi anaropoka tu hovyo hana la maana analosema zaidi ya maneno yasiyo na uhakika
 
Kaka,naheshimu sana maono yako, ila mimi binafsi sioni sababu ya kumsema sana jiwe sasa,kashalala na alitubu dhambi zake, tujenge nchi yetu,yeye hasikii haya wanayomsema,bura Lissu alimpa za uso akiwa mzimq
Alipata mpako wa wagonjwa kabla hajafa (last rites) kwa maana hiyo aliweza kutubu madhambi yote na kwa mujibu wa imani katoliki anaweza muda huu kuwa sehemu ya kwaya ya huko mbinguni.

Hakuna kitu muhimu kama kupata wasaa wa kutubu mbele ya padre halafu ukawekewa mikono kabla hujakata roho. Pia tusisahau ubinadamu wake, hakusita kuwatetea wanyonge na ushahidi ni namna alivyosindikizwa na maelfu kwa maelfu ya watu.
 
Back
Top Bottom