Huyu hatufai ,abaki kuwa mbunge wa twitter,mdomo umeponza kichwa,sidhani kama wapiga kula wake wanahaja nae tena,kajimaliza mwenyewe,pia nahisi anavutishwa ganja na kina mdee ,hakuwaga hivi Easter Bulaya
Sent using Jamii Forums mobile app
Ni hali ya kukata tamaa na kukengeuka. Naamini wapinzani wengi wana copy na kupaste dhana ya upinzani toka nchi nyingine (mfano Afrika kusini). Itawachukua muda kuja na model mpya ya upinzani unaoendana na mazingira yetu. Ni kama ilivyo dini, na ukabila. Udini ulitaka kuleta shida fulani kipindi cha Ally Kigoma Malima (alipotaka kukopy uislamu wa nchi nyigine kuuleta Tanzania akiwatumikia wazungu waliokuwa wanataka jamii zetu zisichangamane kwa sababu ya dini). Sasa wapinzani kama ni welevu wajifunze kwanini wahaya, wanyakusa na wachaga wana ukabila ila Tanzania bado inahesabika haina siasa zenye mlengo wa kikabila kama ilivyo Kenya.Bulaya nilikuwa namuona ni mtu anayejielewa kichwani kumbe wale wale km walioko Chadema
Mbunge unawakilisha Wananchi unaropoka vitu vya hovyo hovyo
Hivi CCM mna nini vichwani mwenu? Mbona hapo hujatoa tafsiri na badala yake ume-translate tu kutoka Swahili to English?
Sent using Jamii Forums mobile app
Kumbe hujui?,ooh!,siku nyingi tu mbonaIna maana bulaya ameolewa na mwanamke?
Mbona nyie mnawapigia magoti wawasamehe kulipa mikopo?Ndugu zangu Watanzania kuna mbunge yeye amekiri hadharani bora atumikie Mabeberu kuliko kutumikia serkali. Amesema yeye anaona fahari zaidi kutumikia Mabeberu
Huyu ni Kiongozi mwakilishi wa Wananchi, analipwa mamilion kila mwezi. Lakini kwa dharau anatuambia anaona fahari kutumika na Mabeberu.
Nauliza tu kisheria hawezi kupoteza ubunge wao? Ni kweli demokrasia tu imemfanya awe na kiburi kiasi hiki? Au kuna watu kutoka nje wanamtumia kuharibu Amani ya Nchi yetu! Kwanini vyombo vya dola visimuhoji?
Naona ushapandwa na beberu sasa unahanya hanya. Beberu bwana!Bulaya nilikuwa namuona ni mtu anayejielewa kichwani kumbe wale wale km walioko Chadema
Mbunge unawakilisha Wananchi unaropoka vitu vya hovyo hovyo
Esther Bulaya na Halima Mdee ninawakubari ila uwa mara nyingi hawapimi impact ya post na matamshi yao kabla ya kuzungumza...Ndugu zangu Watanzania kuna mbunge yeye amekiri hadharani bora atumikie Mabeberu kuliko kutumikia serkali. Amesema yeye anaona fahari zaidi kutumikia Mabeberu
Huyu ni Kiongozi mwakilishi wa Wananchi, analipwa mamilion kila mwezi. Lakini kwa dharau anatuambia anaona fahari kutumika na Mabeberu.
Nauliza tu kisheria hawezi kupoteza ubunge wao? Ni kweli demokrasia tu imemfanya awe na kiburi kiasi hiki? Au kuna watu kutoka nje wanamtumia kuharibu Amani ya Nchi yetu! Kwanini vyombo vya dola visimuhoji?
Usipotoshe maana ya kauli husika.
Corona ipo na inaua.
KAULI YA RAIS .
Zaidi ya Nyerere na Warioba hamna mwingine mkoani Mara ameshawahi kuwa na busaraBujibuji huwezi kutumikishwa bila kutawaliwa ki fikra mkuu. Mh Bulaya busara kwake ni tatizo kubwa.
Magufuli akiwa chato anaomba mabeberu wapunguze madeni yake
Kwani hujui auIna maana bulaya ameolewa na mwanamke?
Analipwa kodi za Watanzania bado Anasema yupo tayari kutumika na Mabeberu ?
Huyu ingekuwa China tusingemuona tena
Rasi anatoa eti INSTRUCTIONS watu wasilipwe uko ni kuingilia mamlaka ya bunge. Uganda tumeshuhudia spika mwanamke akimchimbia biti Museveni. Huo ndio utawala wa bunge. Rais hana mamlaka ya matumizi ya bunge kwa mujibu wa katiba yetu. Ni Tanzania pekee yanapotokea
Sent using Jamii Forums mobile app