Bia yetu
JF-Expert Member
- Apr 14, 2020
- 6,921
- 8,321
Kweli Mkuu bulaya yule wa Ccm alikuwa na nidhamu na mjenga hoja
Ila huyu wa Chadema amejaa ujinga mwingi, kiburi, anajiona yeye ni bora
Huko kwenye group la Chadema amegeuka yeye ndiye Mungu mtu
Ila huyu wa Chadema amejaa ujinga mwingi, kiburi, anajiona yeye ni bora
Huko kwenye group la Chadema amegeuka yeye ndiye Mungu mtu
Huyu hatufai ,abaki kuwa mbunge wa twitter,mdomo umeponza kichwa,sidhani kama wapiga kula wake wanahaja nae tena,kajimaliza mwenyewe,pia nahisi anavutishwa ganja na kina mdee ,hakuwaga hivi Easter Bulaya
Sent using Jamii Forums mobile app