Eti Mbowe alitoa laki 6 kufadhili ugaidi. Seriously?

Kama ni kweli hata angetoa shiling moja au dua angekuwa mshiriki.
 
We ni ng'onda mjinga.
600k ndo ulipue songas una laana wewe
 
Washauri wa mama wanamdanganya hapo
 
Leo kupitia CRDB nimehamisha salio kwenda nje ya nchi. Itakuwa wananifungukia mashtaka huko kwa DPP
Saa hizi wanakutafuta.Najua umetumia lile tawi kule Arusha.Sasa nakushauri pasua hapo Namanga uishie.
 
Tunajipaka kinyesi
 
Reactions: BAK
Huyu malisa aunganishwe kwenye tuhuma za mbowe haraka anaonekana anajua mengi

USSR
Mkuu naona ushajihakikishia we ndo rais ajaye,mpaka umeweka picha yako halisi hapo juu.
 
Huyu mama na serikali yake hasara tupu, yaani badala ya kufanya maendeleo wako busy kubambikizia watu kesi za laki sita na kuongeza tozo kwa mama ntilie
 
Wewe fanya mbowe akuowe tu hamna namna wafadhili tupo.
 
Jinga wewe.unaandika vitu ambavyo ata huvijui.
 

1. London Jul 2005 magaidi wanne waliua raia 52 walitarget system za usafiri.
Walitumia gharama ya kama dola 10,000

2. Madrid March 2004 nao walitumia dola 10,000 wakatega mabomu 10 kwenye treni 4 wakaua raia 191

3. Paris 2015 waliua watu 130, unadhani walitumia bilioni ngapi?

Hii kesi labda iko politically motivated lakini sikutegemea mtu kama wewe uongelee kigezo cha gharama ya ku organize tukio kumtetea mwenyekiti wako.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…