The Palm Tree
JF-Expert Member
- Apr 13, 2013
- 7,951
- 12,541
Gaidi alitaka kuchoma vituo vya mafuta tokea mwaka jana, wakamuacha tu azurure mwaka mzima. Leo tunaambiwa amefikishwa mahakamani kujibu mashtaka ya uhujumu uchumi...
Tundu Lissu kasiliba yote. Kasema hiyo wala siyo kesi bali ni ujinga mtupu na ndiyo uwezo na picha halisi ya prosecution system ya Tanzania.