Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mhhhhh mwenzangu imelda mbaya jamani?
Hiyo mikono kama tembo na bado anavaa nguo za wazi!
Wanasema huyo , janeti ndio huyo mnene ambaye Lemutuz alisemaga yeye ndio dogi akabisha...so ndio hao hao uoni mashosti wapya wa w. Kisa kutukana watu wamepewa cheo cha ushosti.
Na dogi katika kutukana alishasemaga yeye ni chotara wa Singida au Shinyanga....blah blah bla
Kumbuk kuna kidume hua kinalia juu ya kifua cha imelda😜😜😝
Ila jamani zari katulia hana mapepe kama wema ,,yaan anajiweka sijui aje nisemejee,,mambo yake ni taratibu hakumbatii watu hovyo kama wema,hana mashoga holela ,ingekua wema yupo palee angelewaa yaan ingekua ni kigodoro si kigodoroo
Ahahahahaha zari yupo ki marekani zaidi hana shobo na watu ovyo yule ***** yupo kivyake tu
Ndio vizuriii bana
Kwa hiyo huyo mwarabu atakua ni dogii
Njoo pm nikupe zawadi
Kweli mikorogo ni hatari sana wana moyo wa chuma aisee mi siwezi kabisa kutokuheshimu mwili tu.Akizaa si ndo majanga itakua sasa au afikishe thelathini na tano utamsahau.
Loh anatishaje? Sio sura ile kwa kweli mmh kama sokwe aliyekufa mxiuuu
Wanasema huyo , janeti ndio huyo mnene ambaye Lemutuz alisemaga yeye ndio dogi akabisha...so ndio hao hao uoni mashosti wapya wa w. Kisa kutukana watu wamepewa cheo cha ushosti.
Na dogi katika kutukana alishasemaga yeye ni chotara wa Singida au Shinyanga....blah blah bla
Ha haaa hafu kinachonishangaza yeye namuona mtu mzima lakini anajichaganya na kina Wema na Auntie.
Hivi nyie tunaopiga umbea hapa mnakumbuka ile sheria? Maana nimejisahau nimeropoka weeee ndio nakumbuka sasa hivi!
Tukikutana huko segerea itabidi tuulizane kama kuna member wa JF celebrities tuendeleze umbea hukohuko....
Hahahahahaa
Hivi nyie tunaopiga umbea hapa mnakumbuka ile sheria? Maana nimejisahau nimeropoka weeee ndio nakumbuka sasa hivi!
Tukikutana huko segerea itabidi tuulizane kama kuna member wa JF celebrities tuendeleze umbea hukohuko....
Hahahahahaa
Hahahahaaa mikorogo ni janga shoga angu! Halafu ajabu kuna watu bado wanaendelea kujichubua na wengine wanaanza.
Mimi siwezi kwakweli,natumia cocoa butter lotion lakini hatari sana.
Hhhhhaaaaaa aiseeee sasa hivi kuandika kwa adabu zotee eeeee hivi wantuchungulia wapiii kutujua halaf mfano we Nifah ukinitukana naenda kushtaki kua nifah wa jf kanitukana au inakuwajee
Haaaaaaaahaaaaaaaaaa jaman mi sheria nshasahau