nyamatala.
JF-Expert Member
- Mar 2, 2015
- 266
- 134
Hamia huko huna kazi ya kufanya fedha zote za ndege tutaweka huko ,huna jipya.Lile fuko la wajerumani lililokuwa linasaidia huduma za mama na mtoto kwenye idara ya afya hapa nchini hasa mawilayani wametangaza kusitisha huduma hiyo 31.12.2018.
Hilo ni pigo kwa nchi yetu.
Wenye kuwadharau EU sasa ndiyo mjiandae.
Wewe mama yako na dada yako si utawapeleka ujerumani kwa msaada wa chadema?
Maana nyinyi hili ndio dua lenu usiku na mchana, mnadhani kwa Mbowe,Nyalandu na tundu lissu kujikita huko ubelgiji na kupeleka lukuki ya nyaraka,wakiichochea dunia ituelewe vibaya.
Swali langu ni moja kwenu.
*Hivi mnadhani kwa vikwazo au vyovyote itakavyokuwa huko mbeleni mtakuwa mnamkomoa nani?
Je mnadhani kwa kufanikisha adhma yenu ndio mtashinda uchaguzi 2020 na kuongoza nchi hii.
La khasha! Bali muelewe yatayokwakuta sio mliyoyatarajia fikirieni upya tena sana.
Mungu ibariki Nchi yetu adhimu,Tanzania [emoji1241]
Kwa nini wanajitoa?
Serikali iqngalie namna ya kuzungumza na hawa jamaa.
Bado hatujawa na uwezo wa kuendesha mambo yetu wenyewe bila misaada yao. Huo ndio ukweli.
Matamko ya majukwaani ya kisiasa hayana uhalisia na maisha yetu huku mtaani.
Tuzungumze na wahisani na wadau wa maendeleo, tuwe na kauli nzuri. Hata wao ni binadam, haiwezekani wanatusaidia ila sisi kila siku ni kuwananga tu.
Hii sio njema kwetu.
Akili mgando sana hizi kufikiria nchi isaidiwe ndo isonge mbele. Rais kasma anahitaji nchi iache kutegemea misaadaLile fuko la wajerumani lililokuwa linasaidia huduma za mama na mtoto kwenye idara ya afya hapa nchini hasa mawilayani wametangaza kusitisha huduma hiyo 31.12.2018.
Hilo ni pigo kwa nchi yetu.
Wenye kuwadharau EU sasa ndiyo mjiandae.
hakuna haja ya kubeza. watu wanapachika na kupachikwa mimba wanalialia kisha wanabeza. Bora kukaa kimya tuhivi dozi ya ARV huwa ni sh ngapi?
Pole sana,siyo kosa lako, ni ujinga wako ndo unakusumbua,even the US is dependable on small nations, ije kuwa nyie kunguru pori?Waache waende kufirana hatutaki na demokrasia sio lazima iwe hiyo wanayitulazimisha wao ya kulea vibaraka wao watuvuruge na wasisahau tz ni nchi huru sio mkoa wa yuropian yuniyoni heri kufa umesimama kuliko kuishi umepica magoti ukiombaomba kusaidiwa kumtibia mwanao na mkeo
kuna wapumbavu wanakejili hiyo misaada, ngoja iondoke ili watu wapate akili. maana upumbavu wa watanzania hauvumiliki, rais na familia yake hata wakienda kutibiwa muhimbili watalazwa VIP na kupewa huduma zote, wewe mwimba mapambio ya kumsifu utafia kitandani hata panadol hutapata.
aaaaha ! Kumbe Jogoo huwa anabweka !Waondoke tu, kodi inatosha. Mtu aje kwako halafu akupe masharti ya kubweka kama jogoo ndo akusaidie, hapana kwa kweli
Nafikiri hii ndio sustainability inayohitajika kwa Taifa tuweze kupiga hatua hata kama ni kidogo kidogo kwa step.Wakijitoa ni jambo jema, tutaendelea walipoishia. Hata mtoto huwezi kumfundisha kuendesha baiskeli kila siku kwa maisha yake yote. Unafanya kwa muda kisha unamuacha anaanza kuendesha peke yake mpaka anakuwa mzoefu. Hakuna msaada wa kudumu, hawa watu wanatuonyesha ni vipi tunatakiwa kufanya, sio wao watufanyie kila kitu muda wote.
Hili sio Jipya, hata wa Sweden walituachia mradi wa Damu salama tuuendeshe wenyewe wao wali fadhili kwa muda wakajitoa.
Tuliaga mdau kabla ya kuandika kwa nn unakuwa na mizuka bajet ya afya inakidhi kote?au ndo hoya hoya tuWaondoke tu, kodi inatosha. Mtu aje kwako halafu akupe masharti ya kubweka kama jogoo ndo akusaidie, hapana kwa kweli
Nipo KfW ofisi ya Bongo naongea ninachokijua
unajua ulichokiandika au umekurupuka?Nipo KfW ofisi ya Bongo naongea ninachokijua
Tatizo baadhi ya wabongo kama wewe mnapenda kueneza uongo kwenye mitandao.Narudia tena acha uongo na usirudie kuandika uongo
Na ajira watapata wapi!?Sasa tutafyatua watoto vizuri maana elimu ni bure
Walikuwa wanawaibia miku......ndu yenu!???,Maaana agenda yao ni ushoga na tulipokataaa ndo wanasepa!!Mtu anakusaidia halafu anakuibia kisilence ukimwambia hapana kuniibia eti anajikasirisha! Sasa hapo hujang'amua tu?!