Kadhi Mkuu 1
JF-Expert Member
- Feb 4, 2015
- 19,687
- 23,689
Malalamiko ya nini? Nani kakutuma uombe huo msaada kama huutaki? Jitegemee vinginevyo ukila vya mwanaume mwenzio kubali nawe kuliwa.Hawa wazungu inatakiwa wawe na dabu kwenye mila,tamaduni na desturi zetu haiwezekani kutupa misaada kwa kuvunja utu wetu. Hivi baba mwenye nyumba upewe msaada ili mradi tu uruhusu mwanao awe shoga?