EU yaizuia Afrika kununua mbolea Urusi, lakini pia wamezuiwa kutengeneza mbolea

EU yaizuia Afrika kununua mbolea Urusi, lakini pia wamezuiwa kutengeneza mbolea

Serikali haikusanyi kodi kwa matajiri ila inakusanya kodi kwa walalahoi, kwaiyo lazima itakopa sana ilikuweza kujihudumia.
Hivyo ndivyo inavyotakiwa kuwa?Serikali ipo tayari kutoa ruzuku kwenye mafuta ya diesel/petrol lakini siyo mafuta ya taa,inaweza kupunguza pension kutoka 50% hadi 33% na siyo kuongeza kuwa 51-75% au 100% kwa kisingizio cha uhimilivu Wa mifuko badala ya kuipa mifuko hiyo ruzuku ili kuwaendeleza watumishi waliotumika hadi wakazeeka.
CCM hawawezi kumhurumia Mtanzania yeyote asiye mwanachama pendwa Wa chama chao.
 
22 June 2022
Dodoma, Tanzania

RUZUKU YA MBOLEA INAYOZALISHWA NDANI YA NCHI KUANZA KUTOLEWA



WAZIRI BASHE AFANYA TENA ZIARA KUKAGUA KIWANDA CHA MBOLEA-DODOMA/ AAGIZA HAYA KUFANYIKA KABLA YA JULAI 2022
Source : KILIMO TV
 
29 October 2021
Minjingu, Manyara
Tanzania


MBOLEA ASILIA YA PHOSPHATE TOKA MINJINGU



Uongozi wa kiwanda cha mbolea ya Minjingu (Minjingu Mines and Fertilizer Ltd) Kinaendelea na Utoaji elimu kwa wakulima na umma wa watanzania juu ya ubora na umuhimu wa mbolea hiyo ya kupandia. Minjingu ni mbolea asilia ya kupandia. Mbolea hii inatokana na miamba inayochimbwa katika eneo la Minjingu mkoani Manyara ambayo husagwa na kufungashwa kwenye kiwanda kilichojengwa katika eneo hilo. Mbolea ya Minjingu ina kirutubisho cha mimea aina ya fosiforasi kati ya asilimia 12.3-13.2. Tofauti na mbolea nyingine za kupandia zenye madini ya fosiforasi kama vile TSP na DAP ambazo huagizwa nje ya nchi hivyo kugharimu fedha nyingi za kigeni, mbolea hii inayopatikana hapa nchini bei yake ni nafuu.

Source : wazo huru TV
 
Back
Top Bottom