Euro 2020 - Special Thread | Pata kujua yanayojiri katika Michuano hiyo

Una beckham, wazza, rio, Terry, lampard, Gerrard, Cole, scholes, hargrave's na wengine wa kizazi kile lakini hatukuweza kufika hapa najiuliza chemistry haikuwepo au ni nini? .Kwa uwezo wa mmoja mmoja majina yale yalikuwa yanatisha
Kuchukua kombe hasa hii michuano ya kutoana toana unahitaji bahati fulani hivi..
 
Its coming home NOT in yours. #Italy for euro 2020#.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…