Eurocentric & Deterrent Criminal Court: Kama Burundi walijitoa, mpaka sasa Tanzania imenufaikaje na uwepo wa Mahakama inayolenga viongozi wa Afrika?

Wewe ni CCM au CHADEMA?
 
Sasa ndio umeandika nini?
 
Nchi zote zilizojitoa ni za MADIKTETA

Hakuna nchi ya kidemokrasia imejitoa

Wewe sema unataka madikteta yabaki yakifanya madhambi yasije kuhukumiwa kwa dhambi zao

Haupo hapa kutetea wananchi wa hizo nchi
Bush na Blair waliwahi kupelekwa ICC kwa dhambi walizofanya Iraq na Afghanistan?...
 
Walivamia "kihalali" kama Tanzania ilivyovamia Uganda 1978!

Au kama Kenya ilivyovamia Somalia 2018

Unajua kwanini vita kati ya nchi na nchi ni "halali"?
Tanzania haijawahi kuivamia Uganda. Tanzania iliwahi kumvamia Idd Amin ili kuwakomboa kaka na dada zetu wa Uganda...
 
Idd Amin alivamia Kagera akasema ni eneo lake. Tanzania ikampiga na kumtoa eneo lile. Lakini laiti kama angeendelea kubaki madarakani angekuwa katika nafasi nzuri ya kujipanga tena na kuvamia eneo kubwa zaidi ndani ya Tanzania, Kenya au hata jirani wengine.

Tanzania ilimtoa Amin na kuwapa relief waganda ambao ndugu zao walikuwa wanauwawa na nyama zao kuliwa kama mboga, viwete kukupwa mtoni kuliwa na mamba na wanajeshi wa Idd Amin...
 
Justifications zako zinanikitisha sana. Mkuu, huyu ni wewe unayeandika haya au account yake imedukuliwa?...
 
Unajichanganya sana CHADEMA
 
Nimekuja kwa speed nikajua nitakua umemwaga hoja juu ya hoja kumbe eti "Unajichanganya sana CHADEMA"!

I wasted my time clicking on this shit!
SIGNATURE YAKO: This nigga Wyatt Mathewson was a former Military General, Professional Assassin, and FBI Agent. Best and Coldest Black Villain Ever.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…