Kisoda James
JF-Expert Member
- Jun 11, 2020
- 1,114
- 813
Wewe ni CCM au CHADEMA?Huyu jamaa ni haijui mahakama vizuri, Bali propaganda ndio anasikiliza eti ipo kuwaonea viongozi wa Africa
Mbona kuna viongozi kutoka vita ya Bosnia na Serbia (Europe) wamehukumiwa wengi tu? Mbona Kuna cases za Myanmar kuuwa was Rhohingya zinachunguzwa? Mbona
Sikiliza propaganda za na dikteta ambao wanatumia kigezo cha Waafrica vs Wazungu kila Mara dunia inapojaribu kuwaambia waache unyama dhidi ya wananchi wao