Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unatoaje conclusion mda bado? subiri saa 12 jioni utoe hio commentKwenye kiingilio cha buku10 mzunguko wamejichanganya wenyewe,uwanja hauwezi kujaa
Unajua maana ya trends for you?
Ama kweli ujinga ni bahari Pana.
Kila siku unabadilisha wanaumeMm ni YANGA ila SiMBA mmeshindikana[emoji91][emoji91][emoji91]
Sawa mkuuUnatoaje conclusion mda bado? subiri saa 12 jioni utoe hio comment
Ndo mlichobakiza, ila ukweli siku lenu limedodaNenda kwenye tabia zakoView attachment 2696140
Hata mimi naweza tengeneza group nikaliita mbumbumbu FC acha utoto
Acha hio tabiaNdo mlichobakiza, ila ukweli siku lenu limedoda
Ipi hiyo ?Acha hio tabia
Yes mambo yamekuja makubwa makubwa kwa haraka. Inahitaji maturity kubwa kuya-handle.Nadhani kuna mshtuko fulani ulitokea kwa Yanga ambao haujatulia hadi sasa, na mambo yamekuwa yakienda mfululizo. Hersi naye ajitahidi agawe baadhi ya majukumu kwa wanakamati, huwezi ukatembea peke yako, na najua ni kweli anajaribu kupunguza upigaji
Hahahaha.Ambapo wananchi hao ni wawili tu
Nijue ili iweje?Unajua maana ya trends for you?
Ujinga ni wa kupigwa vita.
Wew nikolo nenda kacheze hizo xxx zako hapoMimi ni Yanga ila tukiweka ushabiki pembeni event ya leo imedoda. Kuna sehemu management ya Yanga imekosea.
Ni agency gani ilipewa kazi ya promotion?
Nani alikuja na wazo la kiingilio cha chini kiwe elfu 10 na VIP 40k?
Nani anapaswa kuwajibishwa?
Ni aibu leo ambayo dunia nzima wanatutizama.