Kwa hiyo Tamasha linaanza saa 12!Unatoaje conclusion mda bado? subiri saa 12 jioni utoe hio comment
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwa hiyo Tamasha linaanza saa 12!Unatoaje conclusion mda bado? subiri saa 12 jioni utoe hio comment
Ukitoka nje ya ushabiki ndio unakuwa umeepuka asili yako?Hapa nimetoka nje ya ushabiki unapojaribu kujifichia.
Piga vita ujinga kwa gharama yoyote.
Mimi ni Yanga ila tukiweka ushabiki pembeni event ya leo imedoda. Kuna sehemu management ya Yanga imekosea.
Ni agency gani ilipewa kazi ya promotion?
Nani alikuja na wazo la kiingilio cha chini kiwe elfu 10 na VIP 40k?
Nani anapaswa kuwajibishwa?
Ni aibu leo ambayo dunia nzima wanatutizama.
AstaghafirulahhiNenda kwenye tabia zakoView attachment 2696140
Swali zuriKwa hiyo Tamasha linaanza saa 12!
Watu mnatunza risitiNenda kwenye tabia zakoView attachment 2696140
Wiki nzima hii walikuwa bize kujadili kibegi na ishu ya Chama kusajiliwa Utokoloni.Mimi ni Yanga ila tukiweka ushabiki pembeni event ya leo imedoda. Kuna sehemu management ya Yanga imekosea.
Ni agency gani ilipewa kazi ya promotion?
Nani alikuja na wazo la kiingilio cha chini kiwe elfu 10 na VIP 40k?
Nani anapaswa kuwajibishwa?
Ni aibu leo ambayo dunia nzima wanatutizama.
Acha utopolo wengne waje mpk wote mkubaliane kwmb yanga day haina mvuto mwaka huuMimi ni Yanga ila tukiweka ushabiki pembeni event ya leo imedoda. Kuna sehemu management ya Yanga imekosea.
Ni agency gani ilipewa kazi ya promotion?
Nani alikuja na wazo la kiingilio cha chini kiwe elfu 10 na VIP 40k?
Nani anapaswa kuwajibishwa?
Ni aibu leo ambayo dunia nzima wanatutizama.
Ndiyo kwanza ni saa 10 jioni. Vipi ikifika saa 1 jioni!! Kwa kiingilio hicho hicho cha elfu 10, bado uwanja utajaa.Mimi ni Yanga ila tukiweka ushabiki pembeni event ya leo imedoda. Kuna sehemu management ya Yanga imekosea.
Ni agency gani ilipewa kazi ya promotion?
Nani alikuja na wazo la kiingilio cha chini kiwe elfu 10 na VIP 40k?
Nani anapaswa kuwajibishwa?
Ni aibu leo ambayo dunia nzima wanatutizama.
pumbaNahisi kiingilio nacho tatizo, halafu pili haijatangazika saaana Kama kawaida, sijui ndio walifunikwa na kibegi Cha Simba na ujio wa miquissone.
Uwanja hautajaa, mimi ni mzoefu wa kuandaa events naelewa nachokisema hapa. Mimi pia ni shabiki wa Yanga.Ndiyo kwanza ni saa 10 jioni. Vipi ikifika saa 1 jioni!! Kwa kiingilio hicho hicho cha elfu 10, bado uwanja utajaa.
Na hii ndiyo tofauti kati ya timu ya wananchi, na hizo timu za Wahindi.
Mwenye hamasa ya kuingia alishaingia..Unatoaje conclusion mda bado? subiri saa 12 jioni utoe hio comment
Check hapa wacha uzushiView attachment 2696169
..Nenda kwenye tabia zakoView attachment 2696140