Event ya Yanga kudorora; nani alaumiwe?

Event ya Yanga kudorora; nani alaumiwe?

Mimi ni Yanga ila tukiweka ushabiki pembeni event ya leo imedoda. Kuna sehemu management ya Yanga imekosea.
Ni agency gani ilipewa kazi ya promotion?
Nani alikuja na wazo la kiingilio cha chini kiwe elfu 10 na VIP 40k?
Nani anapaswa kuwajibishwa?

Ni aibu leo ambayo dunia nzima wanatutizama.

Ulaumiwe wewe.
 
Mimi ni Yanga ila tukiweka ushabiki pembeni event ya leo imedoda. Kuna sehemu management ya Yanga imekosea.
Ni agency gani ilipewa kazi ya promotion?
Nani alikuja na wazo la kiingilio cha chini kiwe elfu 10 na VIP 40k?
Nani anapaswa kuwajibishwa?

Ni aibu leo ambayo dunia nzima wanatutizama.
Wiki nzima hii walikuwa bize kujadili kibegi na ishu ya Chama kusajiliwa Utokoloni.
 
Mimi ni Yanga ila tukiweka ushabiki pembeni event ya leo imedoda. Kuna sehemu management ya Yanga imekosea.
Ni agency gani ilipewa kazi ya promotion?
Nani alikuja na wazo la kiingilio cha chini kiwe elfu 10 na VIP 40k?
Nani anapaswa kuwajibishwa?

Ni aibu leo ambayo dunia nzima wanatutizama.
Acha utopolo wengne waje mpk wote mkubaliane kwmb yanga day haina mvuto mwaka huu
 
Mimi ni Yanga ila tukiweka ushabiki pembeni event ya leo imedoda. Kuna sehemu management ya Yanga imekosea.
Ni agency gani ilipewa kazi ya promotion?
Nani alikuja na wazo la kiingilio cha chini kiwe elfu 10 na VIP 40k?
Nani anapaswa kuwajibishwa?

Ni aibu leo ambayo dunia nzima wanatutizama.
Ndiyo kwanza ni saa 10 jioni. Vipi ikifika saa 1 jioni!! Kwa kiingilio hicho hicho cha elfu 10, bado uwanja utajaa.

Na hii ndiyo tofauti kati ya timu ya wananchi, na hizo timu za Wahindi.
 
Check hapa wacha uzushi
 
..
20230722_163539.jpg
 
Back
Top Bottom