Qatif
JF-Expert Member
- Dec 16, 2014
- 379
- 860
Kabisa ambao ni Jakaya Kikwete na Sunday Manara.. Wengine tunaambiwa hamnazo.Yanga ni timu yenye wananchi wenye akili nyingi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kabisa ambao ni Jakaya Kikwete na Sunday Manara.. Wengine tunaambiwa hamnazo.Yanga ni timu yenye wananchi wenye akili nyingi
Trends for you!
DP WELDMimi ni Yanga ila tukiweka ushabiki pembeni event ya leo imedoda. Kuna sehemu management ya Yanga imekosea.
Ni agency gani ilipewa kazi ya promotion?
Nani alikuja na wazo la kiingilio cha chini kiwe elfu 10 na VIP 40k?
Nani anapaswa kuwajibishwa?
Ni aibu leo ambayo dunia nzima wanatutizama.
Hapo kwenye viingilio itakuwa ni manara kawaingiza King yanga wakajaa kiufupi yanga wanapitia hali ngumu kiuchumi walitegemea hili tamasha litawabusti kiuchumiMimi ni Yanga ila tukiweka ushabiki pembeni event ya leo imedoda. Kuna sehemu management ya Yanga imekosea.
Ni agency gani ilipewa kazi ya promotion?
Nani alikuja na wazo la kiingilio cha chini kiwe elfu 10 na VIP 40k?
Nani anapaswa kuwajibishwa?
Ni aibu leo ambayo dunia nzima wanatutizama.
Wengi wanasubiri muda wa mechi .mechi ikikaribia kuanza utaona uwanja itakavyojaaMimi ni Yanga ila tukiweka ushabiki pembeni event ya leo imedoda. Kuna sehemu management ya Yanga imekosea.
Ni agency gani ilipewa kazi ya promotion?
Nani alikuja na wazo la kiingilio cha chini kiwe elfu 10 na VIP 40k?
Nani anapaswa kuwajibishwa?
Ni aibu leo ambayo dunia nzima wanatutizama.
[emoji23][emoji23][emoji23]Alikacha mapema baada ya upepo wa kibegi kwaumiza akaonq borq akae pembeni kuepuka aibu ndogo ndogo
[emoji23]Yah kweli ni aibu ndogo ndogo zinaua brand mkuu
Dijito menejaMimi ni Yanga ila tukiweka ushabiki pembeni event ya leo imedoda. Kuna sehemu management ya Yanga imekosea.
Ni agency gani ilipewa kazi ya promotion?
Nani alikuja na wazo la kiingilio cha chini kiwe elfu 10 na VIP 40k?
Nani anapaswa kuwajibishwa?
Ni aibu leo ambayo dunia nzima wanatutizama.
kwa idadi iliyofika sasa kwa pesa hiyo japo bado hujajaa yanga watapata gate collect kubwa kuliko wataokuja kujaza huu uwanja kwa afu tatu,simple tu pesa ndo ilikuwa target kubwa kwenye tamasha la mwaka huu..Mimi ni Yanga ila tukiweka ushabiki pembeni event ya leo imedoda. Kuna sehemu management ya Yanga imekosea.
Ni agency gani ilipewa kazi ya promotion?
Nani alikuja na wazo la kiingilio cha chini kiwe elfu 10 na VIP 40k?
Nani anapaswa kuwajibishwa?
Ni aibu leo ambayo dunia nzima wanatutizama.
ndivyo ilvyo japo watapinga hata kwangu trend ipo hvyo
Simba ina mashabiki wengi wa kijiweni ambao hawafanyi kazi kwa hiyo wanatumia muda mwingi online wakati mashabiki wa Yanga wakiwa kazini.
Mods wamempa haki yake.🙏🙏Stop this shit mdogo wangu