Event ya Yanga kudorora; nani alaumiwe?

Event ya Yanga kudorora; nani alaumiwe?

Mimi ni Yanga ila tukiweka ushabiki pembeni event ya leo imedoda. Kuna sehemu management ya Yanga imekosea.
Ni agency gani ilipewa kazi ya promotion?
Nani alikuja na wazo la kiingilio cha chini kiwe elfu 10 na VIP 40k?
Nani anapaswa kuwajibishwa?

Ni aibu leo ambayo dunia nzima wanatutizama.
DP WELD
 
Mimi ni Yanga ila tukiweka ushabiki pembeni event ya leo imedoda. Kuna sehemu management ya Yanga imekosea.
Ni agency gani ilipewa kazi ya promotion?
Nani alikuja na wazo la kiingilio cha chini kiwe elfu 10 na VIP 40k?
Nani anapaswa kuwajibishwa?

Ni aibu leo ambayo dunia nzima wanatutizama.
Hapo kwenye viingilio itakuwa ni manara kawaingiza King yanga wakajaa kiufupi yanga wanapitia hali ngumu kiuchumi walitegemea hili tamasha litawabusti kiuchumi
 
Yaani hii event yao imekuwa ya ajabu na mbaya kweli kweli!
Hao Mc's Zembwelq na Kitenge hawana jipya kila sekundi ni kuita Wananchi wananchi tu!
Aibu kubwa sana hii!!!
 
Mimi ni Yanga ila tukiweka ushabiki pembeni event ya leo imedoda. Kuna sehemu management ya Yanga imekosea.
Ni agency gani ilipewa kazi ya promotion?
Nani alikuja na wazo la kiingilio cha chini kiwe elfu 10 na VIP 40k?
Nani anapaswa kuwajibishwa?

Ni aibu leo ambayo dunia nzima wanatutizama.
Wengi wanasubiri muda wa mechi .mechi ikikaribia kuanza utaona uwanja itakavyojaa
 
Mimi ni Yanga ila tukiweka ushabiki pembeni event ya leo imedoda. Kuna sehemu management ya Yanga imekosea.
Ni agency gani ilipewa kazi ya promotion?
Nani alikuja na wazo la kiingilio cha chini kiwe elfu 10 na VIP 40k?
Nani anapaswa kuwajibishwa?

Ni aibu leo ambayo dunia nzima wanatutizama.
Dijito meneja
 
Mimi ni Yanga ila tukiweka ushabiki pembeni event ya leo imedoda. Kuna sehemu management ya Yanga imekosea.
Ni agency gani ilipewa kazi ya promotion?
Nani alikuja na wazo la kiingilio cha chini kiwe elfu 10 na VIP 40k?
Nani anapaswa kuwajibishwa?

Ni aibu leo ambayo dunia nzima wanatutizama.
kwa idadi iliyofika sasa kwa pesa hiyo japo bado hujajaa yanga watapata gate collect kubwa kuliko wataokuja kujaza huu uwanja kwa afu tatu,simple tu pesa ndo ilikuwa target kubwa kwenye tamasha la mwaka huu..
 
Wakiingia 45Elfu wakalipa Mwekundu.

Na wakiingia 60Elfu na wakalipa buku 5

Faida iko wapi??
 

Attachments

  • Screenshot_2023-07-23-05-31-01-44.png
    Screenshot_2023-07-23-05-31-01-44.png
    26.7 KB · Views: 1
Back
Top Bottom