Adiosamigo
JF-Expert Member
- Oct 2, 2013
- 7,681
- 9,892
Hamna lolote huyo Rais wa Azerbaijan ni mshenzi wao ndio wamehusika kuwasaidia Israel na America lakini Iran akisha pata uhakika ni wao wakae mkao wa kulaKama ni hivyo basi Israel ni hatari ya kuogopa.
Mpaka idhibitike, until then its too early kushauri chochote. Huku jf kuna online experts wa mchongo wengi mno, kama mtoa post.Nadharia na dhana zimekua nyingi mno.
Ilhali Israel wao wamekaa kimyaa hata kutikisika hawajatikisika.
Tusibiri uchunguzi ukamilike.
Ila kama ikabainika Israel/USA wametia mkono aisee,USA aondoe kambi zake middle east na Israel aweke ADS kila pembe ya Israel.
Maana kama kuuawa kwa askari tu ubalozi wa Syria karusha makombora yale sijui kifo cha kiongozi atafanya nini.
mbona oktoba7 allah akbar zilikuwa nyingi ghafla zikapotea allah alishindwa?Huu uzwazwa hamuuachi!?
Mbona Hizbollah kila siku wanaua huko Israel Kaskazini mbona hatuoni wakipukutika!?
Aiseeee!Ukiendekeza udini lazima uwe popoma.
Ona unavyoropoka!mbona oktoba7 allah akbar zilikuwa nyingi ghafla zikapotea allah alishindwa?
wao akifa muisrael 1 na wao 100 ni ushindiKwenye hii vita walikufa Waisraeli 165 na Walebanon 1,300.Watu gani walikufa zaidi? [emoji848]
Kwa avatar hio inakutambulisha tofauti wakati sasa uiweke sawa , ila weka hoja tujadili hii ni forum ya international issues achana na personal attacks.Binti ni neno nilikuwa nalitumia mwaka 1981 wakati namvizia mama yako kwa bibi yako.
NB;Tumia neno mkuu au baba muheshimiwa.
Brainwashed usiyejielewa weweJinsi wanavyoendelea kupambana na Israeli ndivyo wanavyoendelea kupukutika. Kama enzi zile za mfalme Ahasuero kwenye Biblia kitabu cha Ester. Haman alipotaka kuuwa wayahudi, akaishia kunyongwe yeye. Mfalme Ahasuero alikuwa ni wa Persia ambaye leo ndio Iranπ€. Soma Biblia kitabu cha Esta Sura ya 3
Hiyo vita nani mission yake ilikamilika kati ya Lebanon na Israel!?wao akifa muisrael 1 na wao 100 ni ushindi
Na wewe ni mwanachama wao kutokea PembaLGBT wanayajua hayo ni kusifiana makalio makubwa tu
Assassination sio lazima iwe imetola nje inaweza kupangwa ndani ya nchi na vyombo / watu wa ndani.Lets wait and see what iranian investigationa akiwa na russia expert wata conclude kwa weather satellite sio hizo tu Russia na hata hao wairan wanazo tuone wataconclude ni nini na kama itagundulika ni assasination definately its going to be a war it doesnt matter ni mmarekani au ni muisrael its war or unless iwe president for president you kill ours we kill yours ndio iwe equalizer la sivyo middle east will burn so as the israel na usa bases na mapuppet wao.
UnaotaLets wait and see what iranian investigationa akiwa na russia expert wata conclude kwa weather satellite sio hizo tu Russia na hata hao wairan wanazo tuone wataconclude ni nini na kama itagundulika ni assasination definately its going to be a war it doesnt matter ni mmarekani au ni muisrael its war or unless iwe president for president you kill ours we kill yours ndio iwe equalizer la sivyo middle east will burn so as the israel na usa bases na mapuppet wao.
Povu jiingi hasira za kuuliwa gaidi mkuu.Ona unavyoropoka!
Nakuuliza maswali matatu tu,
1)Toka oktoba 7 Israel imeweza kutuliza ghasia ndani ya mipaka?
2)Je IDF wameweza kuwateketeza Hamas?
3)Je mateka wameweza kugombolewa?
Naomba majibu tafadhali.
π πππππKama ni hivyo basi Israel ni hatari ya kuogopa.
Bonge la mjinga uthibitisho wako haueleweki weka mwingine unaofafanua Israeli halisiKasome Biblia yako vizuri,you are spiritually blind.Israel unayozungumzia wewe sio hii ya Natanyahu,hii ya Natanyahu inaongozwa na kinacuoitwa Sinagogi la Shetani.Soma Ufunuo 2:9 (Ufunuo 2:9 Najua taabu zako; najua pia umaskini wako, ingawaje kwa kweli wewe ni tajiri; najua kashfa walizokufanyia wale wanaojiita Wayahudi lakini si Wayahudi wa kweli, bali ni kundi lake Shetani. | Biblia Habari Njema (BHN) | Pata programu ya bure ya Bibilia sasa hivi.) na 3:9(Ufunuo 3:9 Sikiliza! Nitawapeleka kwako watu wa kundi lake Shetani, watu ambao hujisema kuwa ni Wayahudi, kumbe sivyo, ila wanasema uongo. Naam, nitawapeleka kwako na kuwafanya wapige magoti mbele yako, wapate k | Biblia Habari Njema (BHN) | Pata programu ya bure ya Bibilia sasa hivi.)
Halafu niwakumbushe hasa ninyi mnaojiita Evangelicals,hii Israel mnayoipigia chapuo, sio ile Israel Mungu anayoikusudia.Hii ya sasa imeundwa na akina Rothschild through the Balfour Declaration(Balfour Declaration - Wikipedia)
kwa kujiingiza kwa hila katika mpango wa Mungu wa kuwarudisha wana wa Israel katika Taifa lao.Naomba mkumbuke kwamba kila wakati Israel Mungu alipokuwa anawarudisha Nabii ndiye aliyekuwa anahusika.Sasa Israel kurudi 1948,Nabii yupi alihusika?Jibu ni hakuna,Shetani ameteka mpango wa Mungu,lakini bado Mungu hajawarudisha Wairael,kwa hiyo tunasubiri mpango huo wa Mungu.Yote yanayoendelea sasa kwenye inayoitwa Israel ni utapeli, ikiwa ni pamoja na kujenga hekalu lao juu ya the Dome of the Rock:msikiti mkubwa kabisa duniani kote, na kumsimika Mpinga Kristo humo.
Labda nikupe homework mkuu.Hivi waliokuwa wanaoitwa Waebrania leo wako wapi?Kumbuka hata Bwana Yesu mwenyewe ni Mwebrania.
Mchana kabisa kweupeUnaota
magaidi wapo nchi zote jirani na Israel na dunia nzima hata wewe hapo ukipewa jambia unaenda ila kwa Israel bado ni kama sio stiff fighting jua hilo.Wavaa kobazi mmevuliwa nguo acha povu liwatoke.nawashauri na nyie mumvizie NETA[emoji1787].Ona unavyoropoka!
Nakuuliza maswali matatu tu,
1)Toka oktoba 7 Israel imeweza kutuliza ghasia ndani ya mipaka?
2)Je IDF wameweza kuwateketeza Hamas?
3)Je mateka wameweza kugombolewa?
Naomba majibu tafadhali.
Na motive ni nini ??Assassination sio lazima iwe imetola nje inaweza kupangwa ndani ya nchi na vyombo / watu wa ndani.
Hayana akili hayoKwenye hii vita walikufa Waisraeli 165 na Walebanon 1,300.Watu gani walikufa zaidi? π€