Na ahidi kukilinda chama na viongozi wake kwa njia yoyote ile, iwe mchana iwe usiku nitakua kazini, kwahiyo ndugu wanachama na viongozi hasa wewe raisi ukilala wewe lala bila stress kwa maana chama kipo kwenye mikono salama ya kiulinzi. π πkuanzia Leo nime kuteua kuwa waziri wa mambo ya ndani, katika chama Cha ma jobless pro max.
Kazi yake kuhakikisha usalama wa chama na viongozi wake.
min -me, makutupora, Bolotoba mwenzetu huyu.
shangazi uki mpata mwenye tabia na hulka ya kike, niambieπOmba Mungu akupe mke mwema, bora na mlezi mzuri wa familia mtakayoianzisha.
Mungu hasikiii tu maombi Bali pia anajibu maombi.Omba Mungu akupe mke mwema, bora na mlezi mzuri wa familia mtakayoianzisha.
Nipo kiongozi naona umelamba teuzi ππππ€£
Kidumu Cha Majobless PromaxNa ahidi kukilinda chama na viongozi wake kwa njia yoyote ile, iwe mchana iwe usiku nitakua kazini, kwahiyo ndugu wanachama na viongozi hasa wewe raisi ukilala wewe lala bila stress kwa maana chama kipo kwenye mikono salama ya kiulinzi. π π
Ebwanaaaa eeeh!Nipo kiongozi naona umelamba teuzi ππππ€£
Nami nashukuru sana kwa utambulisho huu na tayari nimeanza kazi rasmi ya kuhakikisha chama kinasimama imara, Asante sana ndugu msemaji.Mimi semaji la chama Napenda Kutangaza taarifa kwa umma kuwa Mh. Rais amemteua ndugu Thecoder kuwa waziri wa mambo ya ndani katika chama Cha Majobless Promax .
Ameanza majukumu yake baada tu ya uteuzi huu!
Semaji la chama Cha Majobless Promax
Samaleko
Kidumuuuuu πππKidumu Cha Majobless Promax
Acha tujifariji bablai, au vipi Raisi wetuEwe jobless punguza mimoshiππ
Na pata wapi huyo? Nipe chimboOmba Mungu akupe mke mwema, bora na mlezi mzuri wa familia mtakayoianzisha.
Safiiii sanaNami nashukuru sana kwa utambulisho huu na tayari nimeanza kazi rasmi ya kuhakikisha chama kinasimama imara, Asante sana ndugu msemaji.
Waziri wa mambo ya ndani wa chama cha majobless pro max.
Yupo, wewe tu.shangazi uki mpata mwenye tabia na hulka ya kike, niambieπ
Aleko salamMungu hasikiii tu maombi Bali pia anajibu maombi.
Noted .... Some of us we need person revival ili kuamini na kupenda Tena
Semaji la chama Cha Majobless Promax.
Samaleko
Mkuu vipi sasa Ile kazi ya Kujitolea!Watembeza kahawa 10,000 wanatakiwa
Makanisani na misikitini.Na pata wapi huyo? Nipe chimbo
Wanasema bora waendelee kuwa majobless tu kuliko kupewa vitafunwa na makande mchana πMkuu vipi sasa Ile kazi ya Kujitolea!
Ya breakfast na lunch π
Nimewambia kuna kazi ya kuchuma chai mpaka sahivi hamna aliejigusa badala yake wanapiga mboyoyo tu hapaWatembeza kahawa 10,000 wanatakiwa
Nilikwambia Mimi nipo tayariWanasema bora waendelee kuwa majobless tu kuliko kupewa vitafunwa na makande mchana π
Nilikwambia Mimi nipo tayariWanasema bora waendelee kuwa majobless tu kuliko kupewa vitafunwa na makande mchana π