Ewe jobless usijione mnyonge au kukosa furaha, ndugu zako tuko hapa

je chama kina faa na kina umuhimu??


  • Total voters
    139
motivation speaker mkisha Shiba, Mna hara hovyo.

huyo jobless wa kwenda kitambaa cheupe ni yupi??.

habari za mwamposa tena!
 
Acha usenge bas watu tunauchungu mkali k***lmke ungejua , acha usenge kabisa watu tunapambana k***lmke ila Bado bila bila we unasema fursa fursa gani k***lmke au sbbu we una wajomba wamekuweka apo walipokueka...
 
Watu wengi siyo majobles kama mnavopotray wengi utakuta;
Wanafanya kazi ambazo hawajasomea unakuta mtu kasomea uhasibu lakini anafanya sells

Mtu anafanya kazi hana mkataba, wengi part time lakini wanajihesabia jobless
 
Jobless!!
Muhimu uwe na kazi halali ya kukuingizia kipato, hayo ya kuajiriwa ofisini kwa sasa inabidi watu wayafute akilini.
 
Watu wengi siyo majobles kama mnavopotray wengi utakuta;
Wanafanya kazi ambazo hawajasomea unakuta mtu kasomea uhasibu lakini anafanya selling

Mtu anafanya kazi hana mkataba, wengi part time lakini wanajihesabia jobless
mkuu wengi hata hizo mishe hawana, wengine surviving kwa chini ya 2000.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…