Uchaguzi 2020 Ewe Lissu, hata watu wa Chato ni wapiga kura wako

Wewe unataka justification gani juu ya uwanja wa Chato? Halmashauri ya mji iliridhia,Ccm kama chama waliridhia. Wewe unataka justicication gani?
 
Lipo. Hiyo siyo mbuga ni zoo aka shamba la wanyama pori wa kufungwa. Mtalii gani atakuja kushangaa Simba wa kufugwa wakati kwako kuna zoo nzuri na bora kuliko hiyo yenu ya Burigi
Unapajua? Rubondo na Burigi ni potential area ya utalii. Acha kukariri.
 
Ndo maana dar wamemsusa, hajui watu wamepata hasara kiasi gani inayotokana na foleni,
Yeye anabwabwaja tu, mara flyover hazitakiwi mara madaraja,
Asubili sasa kama huko mbeya na morogoro kama watamshindisha.
 
Unapajua? Rubondo na Burigi ni potential area ya utalii. Acha kukariri.
Umehamisha magoli? Kote huko kuna tamed lion hamna mtalii ataenda huko na ndiyo maana hawaendi. Kwa Rubondo imeanza kuwepo wakati wa Magufuli? Huo uwanja mtaanikia mahindi ya kupika komoni
 
Uwanja wa Chato ndiyo umewafanya Chadema washindwe kujenga ofisi ya chama kwa zaidi ya miaka 30 sasa??
 
Na Lissu ata pata kura nyingi Chato kuliko Magu. Kama Magu Chato ni kwake halafu hapati watu hadi aweke wana muziki unaonaje hilo
 
 
Baada ya kuwajengea wanaChato kila kitu kizuri sasa awajengee wanaChato gereza moja zuri sana kama Serena Hotel ili wakifungwa wasiwe wanapata tabu.

Hivi kwa nini hela ya kujenga Uwanja wa Chato ilikuwepo cash ila ya kujenga uwanja wa Dodoma tumekopa? Jiwe hangeona ufahari uwanja wa mji kuu ujengwe kwa hela yetu wenyewe?
 
Huna hata soni mtu mzima? Kawagawa watanzania kibiti? Mbona Hussein yule anayebweka kwa kilugha jukwaani? Mbona husemii yule anayetishia kutopeleka maendeleo kwa walipa kodi ati sababu wanachagua wapinzani kama wawakilishi wao?
Hoja ni kwamba uwanja wa chato umejengwa bila kufuata sheria za manunuzi na mtu anayejivisha umamlaika hivyo kapinga 10%
Hoja ni kwamba kununua ndege kwa kujifungia ndani na mtengezaji huku amekalia sheria ya manunuzi makalioni kwake . Hili sio tusi linapaswa kujibiwa siyo kwa kujifciha kwenye matusi kama unavyotaka kutuaminisha
Hoja ni kwamba Alipora KOROSHO za watu kwa kiburi na ufedhuli wake. Wewe ilikuwa unabinua midomo hapa kusema mnatafuta KANGOMBA MLIWAPATA.
Hoja ni kwamba watu wamepoteza ndugu zao huko MKIRU Hilo sio tusi.
Hoja ni kwamba watumishi hawajaongezewa mshahara ambao ni takwa la kisheria.
Hoja ni kwamba wwmachinga wanakatishwaa kodi ya kichwa.
Hata usemeje huo ndiyo ukweli unaoishi
 
Dotto Bulendu ndio mkuu wa usalama wa rais mpaka aseme hivyo?
Hakuna mtu anayemtetea, tunataka ukweli uwe wazi.
 
Dotto Bulendu ndio mkuu wa usalama wa rais mpaka aseme hivyo?
Hakuna mtu anayemtetea, tunataka ukweli uwe wazi.

..inasemekana ni mtu wa system.

..sasa ndio kabwatuka kwamba ni kwa ajili ya ulinzi wa bwana mkubwa.

..mzee makamba anasema Jiwe asilaumiwe, uwanja umejengwa na ccm.
 
Usitetee mafisadi
 
Kwenye uchumi wa kisasa uwanja ni muhimu kila eneo la kimkakati. Kushupalia kupinga ujenzi wa uwanja wa chatto nawaomba wapiga kura wa kanda ya ziwa na chato wampigie kura za hapana lisu na chadema yao hawana nia njema na sisi hata chadema ya kanda ya ziwa mkataeni lisu Maendeleo hayana chama
 
Yaani Chato wanajielewa kinoma , Magufuri hata kumsikia hawataki .
 
Enyi wanachato Tundu lissu anawapenda watanzania sana hivi mnakubaliana na huu ujambazi?!!!
 
Msilazimishe ionekane watu wa Chato,
Magufuli kafanya ubinafsi wake na familia YAKE. waondio wanotumia huo uwanja, hakuna watu wa Chato wanaohitaji uwanja wa ndege, wenyewe wanamshangaa tu kwa tabia zake za KIHUTU. Ubinafsi na roho katili.
 
Kwani Rais akitokea Chato ndio upendeleo ufanyike kwao? Unadhani kila rais akipendelea anakotokea huoni kutaanza kuwa na mivutano ya kikanda na kikabila?
Watu wa Chato hawahitaji uwanja wa ndege Wala traffic lights wanahitaji bima ya afya ya kila raia
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…