Intelligent businessman
JF-Expert Member
- Sep 6, 2022
- 31,913
- 65,514
- Thread starter
-
- #81
Umesha anza tamaa πKwani wafadhiliii hawajatoa chochote kitu?
Sio tamaa Rais ... Naulizia kama Kuna rasilimali fedha ili niwaeleze ummaUmesha anza tamaa π
Shemeji eti kuna mtu amesema uchapwe!shemeji yangu binti kiziwi ume ona haki zetu!
naam
Mkuu wewe sio mwanachama wa ma jobless pro max??
kauli Ina kuja fundi bishoo haswaπmbona umesahau kuweka kauli mbiu yetu majobless kwenye hii logo...?
ππ
ππkauli Ina kuja fundi bishoo haswaπ
Sure bro hilo lipo ndani ya uwezo wetu kabisa kakaMh. Raisi wa majobless pro max Intelligent businessman napenda kusema me nikataka kuoa nitawakodi maana kuna muongozo niliupata toka kwa katibu wa majobless pro max min -me kuwa mnaweza kuongea na wakwe ili muoaji asitoa mahali au ikishindakana basi apate punguzo la mahali, hilo ni ombi langu
Ondoa shaka kabisa, chama kita wapigania ma jobless.Mh. Raisi wa majobless pro max Intelligent businessman napenda kusema me nikataka kuoa nitawakodi maana kuna muongozo niliupata toka kwa katibu wa majobless pro max min -me kuwa mnaweza kuongea na wakwe ili muoaji asitoa mahali au ikishindakana basi apate punguzo la mahali, hilo ni ombi langu
Vipi wewe ni mwanachama wa ma jobless pro max??ππ
binti kiziwi njoo uchekeπMh. Raisi wa majobless pro max Intelligent businessman napenda kusema me nikataka kuoa nitawakodi maana kuna muongozo niliupata toka kwa katibu wa majobless pro max min -me kuwa mnaweza kuongea na wakwe ili muoaji asitoa mahali au ikishindakana basi apate punguzo la mahali, hilo ni ombi langu
Tuna mkakati sio tu wa kutolipa mahari Bali kuoa bure na Baba mkwe akakupa mtaji!Ondoa shaka kabisa, chama kita wapigania ma jobless.
Hiyo mbinu ya kupunguziwa au kuto kulipa mahari ni ya kawaida mno.
tuna weza wapa hela, halafu usiku Zika rudi kwetu ππ.
min -me, makutupora