EWURA yatangaza bei mpya ya mafuta kuanza kutumika 04/05/2022. Petroli na Dizeli bei juu zaidi

Hata mapenzi yatapanda bei....!!!

Kuanzia ya kununua hadi ya halali kwa mke/mume.
 
Sio sababu kubwa sana,, ilaumu serikali yetu kuweka tozo Kibao kwenye mafuta haya ndo madhara yake!!

View attachment 2210544
Ni sahihi tozo ni kubwa. Ila zilikuwepo hata raisi aliepita..kumlaumu huyo sio sahihi. Ni muda wa kuangalia jinsi ya kufanya adjustment...Njia nzuri kwa nchi yetu kuleta nafuu ni Serikali kupunguza matumizi yake ili kupunguza pia baadhi ya kodi..Serikali ikiwa na matumizi makubwa hupelekea kila wakati kuongeza tozo na tozo za kujirudia.

Numbisa njoo uchangie jirani yangu.
 
Yapande tu. Mbona tunanunulia mademu Savanna moja@5,000/=? Hapo bado lodge, kondomu na UKIMWI unaweza kupata vile vile
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…