Hamna Kiongozi pale .. ni hewa kabisa, mtupuuuu .
Ukimuuliza Bilion 100 zimefanya nn?? Sasa mwezi wa nane ,wanatangaza Tena mpya..mwezi wa kumi, kumi na mbili , mwakani yaan Kila baada ya miezi miwili EWURA haoooo!!
Hamna kitu, tumepigwa Sanaa, kwenye nyakati kama hizi za Crisis Huwa UNAHITAJIKA KUA NA RAIS MWENYE AKILI, MBUNIFU, MISIMAMO, MWENYE UTHUBUTU NA KUJIAMIN ,MZALENDO .!!
SASA KAMA WAFANYABIASHARA WANDANI SAHIZI BEI WANAJIPANGIA WANAVYOTAKA, NCHI IMEKOSWA BEI ELEKEZI ,,,, ATAWAWEZA HAWA MABWANYENYE!????
Tukisema Magufuli Alikua Mwamba, muwe mnatuelewa !!.
hapo imeshuka kwa kupanda 🤣🤣🤣Mafuta yalikua 2 800 kabla ya hizi sarakasi sasa ni 3 100 tunaambiwa yameshuka daahh viongozi wanatumudu 🤣🤣🤣🤣
3220
Hiyo 3150 mbona umeikariri sana bro?
🤣🤣🤣🤣🤣🤣Kazi iendelee,Muda wa kununua Vieite mkononi kwa mtu Sasa.
Urais ni taasisi Mkuu, acha kumlaumu mama, mama anafanya yale ambayo taasisi ya urais umeona kuwa yanafaa.Hamna Kiongozi pale .. ni hewa kabisa, mtupuuuu .
Ukimuuliza Bilion 100 zimefanya nn?? Sasa mwezi wa nane ,wanatangaza Tena mpya..mwezi wa kumi, kumi na mbili , mwakani yaan Kila baada ya miezi miwili EWURA haoooo!!
Hamna kitu, tumepigwa Sanaa, kwenye nyakati kama hizi za Crisis Huwa UNAHITAJIKA KUA NA RAIS MWENYE AKILI, MBUNIFU, MISIMAMO, MWENYE UTHUBUTU NA KUJIAMIN ,MZALENDO .!!
SASA KAMA WAFANYABIASHARA WANDANI SAHIZI BEI WANAJIPANGIA WANAVYOTAKA, NCHI IMEKOSWA BEI ELEKEZI ,,,, ATAWAWEZA HAWA MABWANYENYE!????
Tukisema Magufuli Alikua Mwamba, muwe mnatuelewa !!.
Mtu hawezi nunua vietee awe na mawazo ya mafuta...Kazi iendelee,Muda wa kununua Vieite mkononi kwa mtu Sasa.
Hizi hesabu za haraka haraka usiku baada ya kuvuta chao toka kwa wafanyabiashara.EWURA imegeuka kuwa dalali wa wafanya biashara ya mafuta na sio tena regulator. Hivi hawaoni aibu? Alafu janja yao iko wazi mno. Inakuwaje bei ya petrol kabla ruzuku iwe 3494 alafu baada ya ruzuku iwe 3220? Huku bei ya dizel kabla ya ruzuku ni 3500 na baada ya ruzuku inakuwa 3140? Je hii ruzuku ni discriminatory kwa aina fulani ya mafuta? Mafuta yaliyokuwa juu kabla ya ruzuku yanakuwa chini baada ya ruzuku huku yaliyokuwa chini kabla yanakuwa juu baada ya ruzuku? Hii hesabu ya wapi wajameni.
Ni wachache wenye kumuduMtu hawezi nunua vietee awe na mawazo ya mafuta...
Wa crown sawaaaa
Mkuu labda kama kaachiwa ya ukoo ...utoe zaidi ya milion 100 alafu uwaze mafuta sio kweliNi wachache wenye kumudu
Ile B 100 ilikua ni ya kwanza! Soma vizuri hapo wameweka tena B 100 nyingine kwenye diesel ila Mziki ni ule ule 🤣🤣🤣🤣🤣🤣 HIVI MANARA ANAKUNYWAGA JUICE GANi VILE?Si walidai wanawekeza bln 100 kwenye ruzuku ya mafuta ili yapungue bei!
Kwani kubadili kabila uwe mzanzibar ni bei gani jaribu huko utalamba asali.Mkuu sina connection kwa mama.
Wasukuma wangu wametupwa nje wanalia na kusaga meno nami nilikuwa naponea migongoni mwao🤣🤣🤣
Kabisa
Kama hana chanzo si ataishia kulipiga mnadaMkuu labda kama kaachiwa ya ukoo ...utoe zaidi ya milion 100 alafu uwaze mafuta sio kweli
Naamini mtu anayenunua hilo gari financially yuko vizuri...sio kwa mkumboKama hana chanzo si ataishia kulipiga mnada