Umesema ukweli kabisa yaan ndio maana nafikilia nikukute hapo beach unafanya mazoezi na mimi uniokoe kwa kweli,Kwangu ilikua bad decision ever.....
Tuliachana kwa Amani akaenda kuanza mahusiano mapya, hayakudumu akarudi kwa samahani nyingi, kwa kua nilikua bado sijaingia kwenye mahusiano nikamrudia, hakukua na jipya zaidi ya yale yale yaliyofanya tuachane, hakujirekebisha, nikaona ananiongezea stress ikabidi nimuache kwa nguvu,
Kuna wale watu wakiwa nacho hawajui kukitunza na kukiacha hawataki, wanaweza wakakupa depression usipofanya maamuzi ya kikatili.
Punguza maneno yako basi yeye amekwambia alikua na mtu wake, elewa hivyo mbon mnapenda kua km mapaka so curious?Kwani wewe SI ulisemaga ni msagaji
Safi, sasa usizingue tena ukizingua tunakuvunja kiuno!!Sasa mimi kwa upande wangu Kurudiana na Ex wangu nimefanya maamuzi mazuri than ever.
I met him Dec 2012 tukaanza mahusiano tukajikongojaa weee 2017 tukaanza vijiugomvi ugomvi kutokana utoto wangu 2018 nikapata mimba kwa another boyfriend sasa hapo nikamwambia alijiskia vibaya mno.
Tulikaa mwaka mmoja na nusu hatuzungumzi if am not mistaken basi bwanaa kule kwa baba mtoto picha likanza nikaanza kupigwa matukio[emoji23]aiseee nilimkumbuka myEx alivyokuwa ananilea ma kunidekeza kam mtotoo.
Sasa nikawa naishi nae tu kwa Lengo la kumsogeza mtoto akifika 2 yrs niondoke nikaanze upya maishaa oooh mambo yalizidi kuwa mengi bwana nikaondoka kabla hata hiyo miaka miwili haijaisha nakumbuka niliondoka mtoto alipofika mwaka na miezi mitatu.
After them nikarudi home nikamtafuta ex ila before nilipokuwa kwa baba mtoto tulikuwa tunawasiliana mara kadhaa ananipa moyo wa kumvumilia ila ilishindikana[emoji119]
September 2021 nikarudiana na my Ex rasmi[emoji7]
Em nifupishe story mie yule Ex wangu ndio kanikumbutia mda huu na Sijawahi kujuta kwa ajili yake nampenda mno[emoji7][emoji3531] Mungu Baba anitunzie yeye Ooh Nyieee Tunapendana Sana[emoji3059][emoji3059]
Nimalizie kipengere Muhimu shida n matatizo yapo ila tumekubaliana kuvumiliana na kuwa pmoja katika nyakati zote hata iweje [emoji4].
Lakini nimegundua ana stress za maishaa, bado hajafanikiwa kama mwanaume... So yeye alijua nitamnyenyekea kama zamani...Alishikwa na wivu tu mkuu
Zungumza nae kuhusu hilo
Mkuu achana na upepo wa kukataa kuoaHivi kwani ni lazima wote tuoe ,achana na ndoa acha mahusiano fanya vitu vya msingi
Doh pole yake, ila kama ana moyo mzuri na mipango thabiti ya maisha consider giving him a second chance mkuuLakini nimegundua ana stress za maishaa, bado hajafanikiwa kama mwanaume... So yeye alijua nitamnyenyekea kama zamani...
Dah pole mkuuKama ulikuwnae kwe seriously relationship love haito work
Mimi yamenikuta mwaka jana , kitachotokea after one month mmoja atakuw kama anavuta Gari bovu mlimani.
Kwangu ndivyo ilivyokuwa
Mahusiano inabd mkutanie kat ila yeye alikuj kuw mzgoDah pole mkuu
Nini hasa kilitokea? Alifanyaje
I get it mkuu, ikiwa hivyo penzi linakuwa la upande mmoja na halinogi wallahMahusiano inabd mkutanie kat ila yeye alikuj kuw mzgo
Nilikuw seriously thoo alikuw anahis ninamke
Sasa mm siwezi kumpa second chance tena, kwa sababu kuna mtu tayari nimempa first chance na anajua kuitumiaa......Doh pole yake, ila kama ana moyo mzuri na mipango thabiti ya maisha consider giving him a second chance mkuu
Ya USA. Au hata mkikutana Let say Australia, mtapasha kiporo tu. Tena ukizingatia kiporo hakihitaji moto mwingiMiami ya Iringa au?😄😄
Jamaniiii [emoji1] na wewe utataka kujiua au utakuja tufanye mazoezi??Umesema ukweli kabisa yaan ndio maana nafikilia nikukute hapo beach unafanya mazoezi na mimi uniokoe kwa kweli,
Kama ni hivyo ex atakula alipopeleka mbogaSasa mm siwezi kumpa second chance tena, kwa sababu kuna mtu tayari nimempa first chance na anajua kuitumiaa......
A bitter experience makes us a better person,, nimependa sana hili neno nje ya madaInaonekana ulimpenda sana huyu mwamba, kosa lilikuwa ni kukubali mrudiane na wakati alikuacha kwa dharau
Ila ulipata uzoefu nafikiri hata ikitokea siku andunje anazingua hautarudia kosa.
A bitter experience makes us a better person
Safi, sasa usizingue tena ukizingua tunakuvunja kiuno!!