Ex wa Jux ni mzuri kuliko current girfriend, kwani Tanzania hamna warembo mpaka mnaenda Delta Niger?

Kwenye kuchagua wapenzi wanaume hatuangalii uzuri tu.
We wadhani babu wakati anakuoa alikuona wewe ndo mrembo kuliko warembo wote aliowahi kukutana nao?
Bila shaka si kweli
 
 
Bado sijabahatika kupata wife...vikwazo ni vitatu. Lack of capital, kibamia na kumwaga wadhungu ndni ya sekunde 20
 
Apo waambie wakaoge watoe hayo ma mekapu,mawigi na vigodoro ndio utajua hamna demu apo.
 
dracula πŸ˜‚
Muda si mrefu tutapata picha zake za mapema kabla hajaamka kitandani asubuhi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…