EX wako unamuombea maombi gani na kwanini?

Waanzishie whatsApp group hao Maex wako... Na uwaombe whatsApp wenyewe wakupe uadmin ambao mtu akitaka kuleft awe hawezi baada ya wewe kumu-add hadi hapo utakapomuondoa wewe mwenyewe kundini
 
Kwenye maisha yangu sipendagi kukaribisha roho ya kisasi kama.

Hebu achana nae ndugu yangu unaweza fanya tukio ukajikuta mnabadilishana majengo ya serikali maisha yakaishia hapo.sikushauri aiseh
 
Mkuu punguza jazba, na usitembee na bastola pengine mnaweza mkakutana njiani ukaleta mabalaa kama vijana wa sinza [emoji38]

Sent from my SM-J730F using JamiiForums mobile app
 
Maskini 😌😌😌🥺🥺🥺 nimepata huzuni aiseh

Tuendelee kumsubiri amalize kufua ndugu yangu
Usihudhunike I did that for love, nilitaka kumfungulia dunia ili awe anachotaka kabla sijamaliza kumfungulia dunia vizuri akaamua kufua.

Nitakwenda kumsaidia kuanika, hajui tu huko alipo najua mpaka aina ya kitanda anacholalia, alijitoa tu akili ila anajua kuwa alikua anadate mtu mwenye akili nyingi haahaahahaa
 
Mshikaji ulimpenda aisee, ila ndio hivo we plan but God decides. Pole sana

Sent from my SM-J730F using JamiiForums mobile app
 
Maskini pole..
Bwana akupe wa kushikamana nae asije kukupiga chini
Daktar wa saikolojia alishanihakikishia tatzo langu haliwez kutibika itabidi nikubali kuwa naachwa tu.
Yan hili tatzo la WIVU!!! usiombe likupate. bora uwe na kibamia utavumiliwa. huu ugonjwa nampataga mpenz nampa kila mwanamke anapenda kwa mwanaume lakin nakaba hadi ananikimbia!
mtaalam alinitest kuwa ninunue callgirl, lakin nilipomaliza kuhudumiwa nikalipa pale pale nikaanza mashart asiuzie mwingine nikajicommit kuwa nampa wastan wa posho, ndo Dr akasema nimeshashindikana kupona!
ndo hivyo nikashauriwa na nisioe kabsa. sijui nikizeeka nani atanifunga pampers na kunipeleka juan!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…