Abou Saydou
JF-Expert Member
- Dec 1, 2014
- 2,947
- 2,108
Hata simtesi mi sina desturi za niumizwe na grace halafu nikalipize kwa Careen big no nitamtafta grace nimpe hata nusu ya maumivu aliyonipa Niko kwenye mahusiano tena yana mwezi tu navyomtreat huyu mtoto mpaka haamini anasema ameuona ufalme wa MunguUnasema hufanyi nini??labda pengine umri bado.aise..
Umejeruhika mno Chief.muda ni mponyaji mzuri sana utakuja kuoa bhana usifanye hivyo na wewe.
Mwanamke atakaekuwa na wewe atateseka kwa kipindi fulani maana unamajeraha mno.
Pole sana mwamba aiseh πππ
Labda watu waache kumtaja taja najuta hata kwanini nilimtambulisha kwa kila mtu maana washkaji wakikupigia wanaanza "baba fulani" wakati ww hata humkumbuki.Abou pleeeeaase...π
Achana na huyo mtu nawala usifikirie kulipa kisasi.please
Please Abouπ₯Ίπ₯Ίπ₯Ί
Ohooo Amen..Hata simtesi mi sina desturi za niumizwe na grace halafu nikalipize kwa Careen big no nitamtafta grace nimpe hata nusu ya maumivu aliyonipa Niko kwenye mahusiano tena yana mwezi tu navyomtreat huyu mtoto mpaka haamini anasema ameuona ufalme wa Mungu
Waambie ukweli.waambie kuwa hauko nae.waambie hupendi wala hufurahishwi na wanavyomtaja kila siku.waambie wasikukoseshe Amani.WaambieLabda watu waache kumtaja taja najuta hata kwanini nilimtambulisha kwa kila mtu maana washkaji wakikupigia wanaanza "baba fulani" wakati ww hata humkumbuki.
Akiwa na mwendo mzuri mbona nitafika nchi ya ahadiOhooo Amen..
Najua taratibu kabisa hata na roho ya kisasi itapungua.ππnakuombea masta
Duh pole sana,alichezea shilingi chooni.Yule mtu bana alikuwa na dharau flan baada ya kutusua kwenye haya maisha.Akawa na dharua za hapa na pale na anajua wadada wengi wanamng'ania.baada ya mim kumaliza chuo nkaondoka Dsm tukawa tunawasiliana ila kwa kusua sua..hapo mim sina kazi basi hata nkimtafuta mara niko bz unajua kazi za watu.miyeyusho mingi had mawasiliano yakaanza kulegalega hadi yakaisha.amezunguka sana tu muda wa kuoa ulipofika akaona mimi ndo nafaa kuwa mkewe.anakuja kunitafuta tayari mim nshakuwa na familia.Aliniomba na kunisihi niachane na mume wangu..nadhani hakuamini ni mim niliyempa yale majibu hadi leo.Basi analia lia ooh mim ndo nlistahili kuwa mumeo sijui nilikuwa na malengo nawe.Mimi namzoom tu jamani..alinichosha zaidi alipokuwa ananiambia kuwa anakuja mkoa nilipo tukutane tuspend siku mim na yeye.nkamwambia haitawezekana wala sihitaji hayo mambo.hakunitafuta tena na mim wala sina story nae
Yeye mwenyewe ni kigagula, alipandisha mashetani siku Moja, aliyoyaongea ni miserySasa si ungemwambia aache hayo mambo ya waganga muendelee na maisha?
Siyo kila Prof, ana akiri wengine ni vilaza tu.Mkuu kuna Prof. aligombea ubunge mwaka jana me nilimsindikiza kwa sangoma.
Kama prof msomi anaamini uchawi me ni nani nisiamini.
Mm sina lakusema na muachia mungu tu maana ali niumiza sana,mpaka nika ondoka kijijini nikaja mjini kuanza maisha mapya, ila sjui ni mshukuru tu,asinge niacha bado ngekua kijijini aise,mungu ambariki kwa kuniacha.Unamlaani?kwanini!
Unambariki?kwanini!
Ninambariki mno mno..nitafarijika niko endelea kumuona anafanikiwa na kuishi na ndoa yake kwa upendo na amani.
Mungu azidi kumkinga na hatari katika maisha yake alikuwepo wakati ninauhitaji na kila mtu aliniacha(nalithamini hilo kuliko kawaida) Mungu azidi kumtunza mtu huyu.
Twende kazi.
π§ββοΈπ§ββοΈπ§ββοΈπ§ββοΈπ€ΈββοΈπ€ΈββοΈπ€ΈββοΈ
Ni suala la mda tu.Yule mtu bana alikuwa na dharau flan baada ya kutusua kwenye haya maisha.Akawa na dharua za hapa na pale na anajua wadada wengi wanamng'ania.baada ya mim kumaliza chuo nkaondoka Dsm tukawa tunawasiliana ila kwa kusua sua..hapo mim sina kazi basi hata nkimtafuta mara niko bz unajua kazi za watu.miyeyusho mingi had mawasiliano yakaanza kulegalega hadi yakaisha.amezunguka sana tu muda wa kuoa ulipofika akaona mimi ndo nafaa kuwa mkewe.anakuja kunitafuta tayari mim nshakuwa na familia.Aliniomba na kunisihi niachane na mume wangu..nadhani hakuamini ni mim niliyempa yale majibu hadi leo.Basi analia lia ooh mim ndo nlistahili kuwa mumeo sijui nilikuwa na malengo nawe.Mimi namzoom tu jamani..alinichosha zaidi alipokuwa ananiambia kuwa anakuja mkoa nilipo tukutane tuspend siku mim na yeye.nkamwambia haitawezekana wala sihitaji hayo mambo.hakunitafuta tena na mim wala sina story nae
Mshukuru sana..unajua kuna mambo mengine huwa yanatokea ili kujifunza.wengi hatuangalii hiloMm sina lakusema na muachia mungu tu maana ali niumiza sana,mpaka nika ondoka kijijini nikaja mjini kuanza maisha mapya, ila sjui ni mshukuru tu,asinge niacha bado ngekua kijijini aise,mungu ambariki kwa kuniacha.
Mshukuru sana..unajua kuna mambo mengine huwa yanatokea ili kujifunza.wengi hatuangalii hilo
[/QUOTE
Niliumia sana haya mapenzi ni tatizo sana basi tu
Wewe acha tuMshukuru sana..unajua kuna mambo mengine huwa yanatokea ili kujifunza.wengi hatuangalii hilo