EX wako unamuombea maombi gani na kwanini?

Hata simtesi mi sina desturi za niumizwe na grace halafu nikalipize kwa Careen big no nitamtafta grace nimpe hata nusu ya maumivu aliyonipa Niko kwenye mahusiano tena yana mwezi tu navyomtreat huyu mtoto mpaka haamini anasema ameuona ufalme wa Mungu
 
Abou pleeeeaase...😌

Achana na huyo mtu nawala usifikirie kulipa kisasi.please

Please AbouπŸ₯ΊπŸ₯ΊπŸ₯Ί
Labda watu waache kumtaja taja najuta hata kwanini nilimtambulisha kwa kila mtu maana washkaji wakikupigia wanaanza "baba fulani" wakati ww hata humkumbuki.
 
Hata simtesi mi sina desturi za niumizwe na grace halafu nikalipize kwa Careen big no nitamtafta grace nimpe hata nusu ya maumivu aliyonipa Niko kwenye mahusiano tena yana mwezi tu navyomtreat huyu mtoto mpaka haamini anasema ameuona ufalme wa Mungu
Ohooo Amen..

Najua taratibu kabisa hata na roho ya kisasi itapungua.😊😊nakuombea masta
 
Labda watu waache kumtaja taja najuta hata kwanini nilimtambulisha kwa kila mtu maana washkaji wakikupigia wanaanza "baba fulani" wakati ww hata humkumbuki.
Waambie ukweli.waambie kuwa hauko nae.waambie hupendi wala hufurahishwi na wanavyomtaja kila siku.waambie wasikukoseshe Amani.Waambie
 
Akiwa na mwendo mzuri mbona nitafika nchi ya ahadi
Amen..ni wakati tu na kumtanguliza Mungu kwa kila kitu.kusameheana,kuchukuliana madhaifu yenu na unyenyekevu.Mungu na awabariki sana
 
Duh pole sana,alichezea shilingi chooni.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Maisha mema
Ya baraka
Apate furaha , Amani, ustawi zaidi, na yote yaliyo mema.
 
Mm sina lakusema na muachia mungu tu maana ali niumiza sana,mpaka nika ondoka kijijini nikaja mjini kuanza maisha mapya, ila sjui ni mshukuru tu,asinge niacha bado ngekua kijijini aise,mungu ambariki kwa kuniacha.
 
Ni suala la mda tu.
 
Mm sina lakusema na muachia mungu tu maana ali niumiza sana,mpaka nika ondoka kijijini nikaja mjini kuanza maisha mapya, ila sjui ni mshukuru tu,asinge niacha bado ngekua kijijini aise,mungu ambariki kwa kuniacha.
Mshukuru sana..unajua kuna mambo mengine huwa yanatokea ili kujifunza.wengi hatuangalii hilo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…