Aliniendea kwa wagangaMkuu alifanya nini kubwa mbona kama unamuombea mabaya kinamna?
Safi kabisa nilijua utampa nafasi ningekunasa makonzi wallahi.Yule mtu bana alikuwa na dharau flan baada ya kutusua kwenye haya maisha.Akawa na dharua za hapa na pale na anajua wadada wengi wanamng'ania.baada ya mim kumaliza chuo nkaondoka Dsm tukawa tunawasiliana ila kwa kusua sua..hapo mim sina kazi basi hata nkimtafuta mara niko bz unajua kazi za watu.miyeyusho mingi had mawasiliano yakaanza kulegalega hadi yakaisha.amezunguka sana tu muda wa kuoa ulipofika akaona mimi ndo nafaa kuwa mkewe.anakuja kunitafuta tayari mim nshakuwa na familia.Aliniomba na kunisihi niachane na mume wangu..nadhani hakuamini ni mim niliyempa yale majibu hadi leo.Basi analia lia ooh mim ndo nlistahili kuwa mumeo sijui nilikuwa na malengo nawe.Mimi namzoom tu jamani..alinichosha zaidi alipokuwa ananiambia kuwa anakuja mkoa nilipo tukutane tuspend siku mim na yeye.nkamwambia haitawezekana wala sihitaji hayo mambo.hakunitafuta tena na mim wala sina story nae
😍😍😍Jah amzidishie mafanikio na baraka tele, apate kila kile anachohitaji na afurahie kwa yote afanyayo.
Sitamsahau kamwe ktk maisha yangu, kwani alisimama na mie ktk kila hali, ilifikia hatua nilikua naona dunia mzigo, ila alinishika mkono na kuniinua.
Amenijenga kifikra, mtazamo na mawazo chanya juu ya kile ninachokiamini au kilichopo ndani yangu, amenipa mengi maarifa na ujuzi, kujiamini na kujikubali kwa kila hali niliyopo.
Awe na furaha na amani ktk mahusiano yake,
Nakukumbuka sana M. ntakupenda milele.
Heeee wewe..si umuache tu kwani lazima!mama hata kama wanaume wako wachache sio kwa hatua hiyo.Moyo wangu kwa stage uliopo naeza fanya ya NEEMA haki vile I need counseling [emoji1751]