Seth saint
JF-Expert Member
- Oct 27, 2020
- 1,115
- 2,464
Katoa maoni yake lakini sio kwamba ndio ukweli.
Ushoga si jambo dogo kama anavyo waza yeye, ni jambo kubwa na inabidi lizuiwe kwa namna yoyote kama kweli anapenda kuona taifa lake likifika mbele.
Nasema hivyo kwa sababu kuna vitu kama taifa hili lifike hatua nzuri kimaendeleo(social development,economic development,and political development) lazima viwe kipaumbele navyo ni: Ethics and Identity.
Taifa linahitaji kuwa na misimamo ambayo ndio miongozo ya maisha ya mwanadamu.Ushoga sio utambulisho wetu hata siku moja .So, lazima upingwe na inaonekana nguvu nyingi inatumika na sababu kubwa ni kwamba jambo hili lipo katika initial stage which is why most of people are voicing up.
Najua atakuja na mifano sijui mbona Marekani and blah! blah! haya mambo yapo lakini wamepiga hatua upande wa uchumi.Lakini anasahau kwamba ata Marekani hiyo ushoga ulipingwa na was minority right in early of 1970s.Kuweka mambo sawa ni kwamba ushoga hujawahi kuwa utambulisho wa maisha yetu watanzania kwahiyo huo utamaduni hatuwezi kukubaliana nao(ndio,culture is dynamic but we can't accept this value)
Kama anahisi tatizo la ajira ni Tanzania tu basi atakuwa na ajenda zake binafsi.Hili ni tatizo karibu kila kona ya dunia(but I can't tell how big or small is in other places).Mambo ya tabia ya nchi ni jambo la kidunia pia sio Tanzania tu.Kwahiyo hizi hoja zake hazina mashiko.
Mashoga ni watu ambao wako na mental disability sasa anataka taifa liwe na watu wa hivyo kwamba ndio watakuza uchumi? watakuja na sera za kulinda mazingira sio? wataleta ajira?
Ushoga si jambo dogo kama anavyo waza yeye, ni jambo kubwa na inabidi lizuiwe kwa namna yoyote kama kweli anapenda kuona taifa lake likifika mbele.
Nasema hivyo kwa sababu kuna vitu kama taifa hili lifike hatua nzuri kimaendeleo(social development,economic development,and political development) lazima viwe kipaumbele navyo ni: Ethics and Identity.
Taifa linahitaji kuwa na misimamo ambayo ndio miongozo ya maisha ya mwanadamu.Ushoga sio utambulisho wetu hata siku moja .So, lazima upingwe na inaonekana nguvu nyingi inatumika na sababu kubwa ni kwamba jambo hili lipo katika initial stage which is why most of people are voicing up.
Najua atakuja na mifano sijui mbona Marekani and blah! blah! haya mambo yapo lakini wamepiga hatua upande wa uchumi.Lakini anasahau kwamba ata Marekani hiyo ushoga ulipingwa na was minority right in early of 1970s.Kuweka mambo sawa ni kwamba ushoga hujawahi kuwa utambulisho wa maisha yetu watanzania kwahiyo huo utamaduni hatuwezi kukubaliana nao(ndio,culture is dynamic but we can't accept this value)
Kama anahisi tatizo la ajira ni Tanzania tu basi atakuwa na ajenda zake binafsi.Hili ni tatizo karibu kila kona ya dunia(but I can't tell how big or small is in other places).Mambo ya tabia ya nchi ni jambo la kidunia pia sio Tanzania tu.Kwahiyo hizi hoja zake hazina mashiko.
Mashoga ni watu ambao wako na mental disability sasa anataka taifa liwe na watu wa hivyo kwamba ndio watakuza uchumi? watakuja na sera za kulinda mazingira sio? wataleta ajira?