Facts kadhaa zinazoufanya Mkataba wa Tanzania na Dubai juu ya Bandari kuwa batili. Tuwe nazo Makini

Terms za IGA hazina nguvu katika utekelezaji wa terms za HGA ambazo zitategemea mikataba mipya ya uwekezaji itakayoandaliwa kwa misingi ya biashara inayofanyika hapa nchini.

Kumbuka kuwa DPW watalazimika kujisajili BRELA na kufuata kila kanuni ya biashara iliyopo nchini. Kufa kwa biashara au kuwa na uhai mrefu kutategemea makubaliano ya HGA.

IGA ni makubaliano ya jumla yaliyopitia bungeni. NI kati ya Tanzania na Dubai. HGA ni makubaliano ya kibiashara kati ya mzalendo na mwekezaji na ndio yenye kuweza kuifanya biashara ikawa na uhai mrefu au mfupi.

IGA na mbwembwe zote zilizowatisha watanzania haina nguvu mbele ya HGA, kufa kwa HGA ndio kifo cha moja kwa moja cha IGA.
 
Huu mkataba una shida na najua Rais Samia amekwisha ukataa ila wapiga debe wanahangaika kuufanya ionekane ni mzuri ili akubali ila yeye ameishaukataa

Mkuu, unahisi? unadhania? Una hakika? ama unatamani iwe hivyo?

-Kaveli-
 

Kwa maoni yako binafsi, hili la DP WORLD linafaa? ama halifai?

-Kaveli-
 
Usichotwe akili na wapotoshaji .
Termination clause haijasema hivyo..
Lakini wamesema uhai wa IGA uko sambamba na uhai wa HGA ambayo itaweka mda wa mkataba..
Wenzio wanalipwa kupotosha ...

IGA ni moja.

HGA zitakuwa nyingi tofauti tofauti kwa kila mradi kwa mazingira husika.

Inawezekanaje IGA na HGA ziende sambamba kwenye lifetime?

Aidha unapotosha makusudi ama unaongea usichokifahamu.

-Kaveli-
 
H
huna facts zozote zaidi ya fitna na majungu.
 
Point namba 5 inanipa hasira sana ☹️☹️☹️☹️☹️☹️☹️☹️☹️ unatafuta mwekezaji wakati pesa ya uwekezaji unauwezo nayo
 
Point namba 5 inanipa hasira sana ☹️☹️☹️☹️☹️☹️☹️☹️☹️ unatafuta mwekezaji wakati pesa ya uwekezaji unauwezo nayo
 
Point namba 5 inanipa hasira sana ☹️☹️☹️☹️☹️☹️☹️☹️☹️ unatafuta mwekezaji wakati pesa ya uwekezaji unauwezo nayo
Think twice. Kuwa na hela pekee sio kigezo cha kuweza kufanya biashara au uwekezaji fulani, nadhani hilo unalijua vema.
 
Point namba 5 inanipa hasira sana ☹️☹️☹️☹️☹️☹️☹️☹️☹️ unatafuta mwekezaji wakati pesa ya uwekezaji unauwezo nayo

Mkuu, labda yawezekana serikali inakosa huo 'uwezo' unaousema? Let alone uwezo wa kumanage kwa standards za kimataifa.

-Kaveli-
 
Think twice. Kuwa na hela pekee sio kigezo cha kuweza kufanya biashara au uwekezaji fulani, nadhani hilo unalijua vema.

Mkuu, kuhusu 'mapungufu' na 'madoa' ya kisheria kwenye hii IGA ambayo wataalam na wabobevu mbali mbali wamekuwa wakiyapazia sauti, nini maoni yako kama mwananchi?

-Kaveli-
 
Mkuu, labda yawezekana serikali inakosa huo 'uwezo' unaousema? Let alone uwezo wa kumanage kwa standards za kimataifa.

-Kaveli-
Mnachagua mkurugenzi wa TPA kwa Sababu ya ukada mnategemea nini. Aliyeiba bilioni kesi inamchakato mia ila aliyeiba kuku miaka 10 jela fasta. Tunachokijenga wallah ni majanga
 
Think twice. Kuwa na hela pekee sio kigezo cha kuweza kufanya biashara au uwekezaji fulani, nadhani hilo unalijua vema.
Uhuni tu wa viongozi Hamna lolote. Uwezo upo ila nafasi za hayo mashirika tunaleana kikada na ki CCM. Hata mkiwapa hao waarabu hata mtakacho vuna mtapigwa tu. Nipe maelekezo kuhusu gesi ilivyobinafsishwa kwanza ndio unieleweshe huu mkataba wa DP. Yaan kwenye gas tayr mshatupiga leo hii mnajisahaulisha alafu mnatuaminisha huu mkataba wa Bandari utakuwa Bora. Aisee
 
Mkuu, labda yawezekana serikali inakosa huo 'uwezo' unaousema? Let alone uwezo wa kumanage kwa standards za kimataifa.

-Kaveli-
Na huo ndio msingi wa kutafuta muwekezaji ambaye anaijua vema biashara ya Bandari na whole logistic chains ya Bandari. Wengi wetu tunadhani biashara ya Bandari sasa hivi ipo kama zamani, kwamba ukiwa na Bandari pekee basi tushamaliza.
 
Kwenye gas umepigwaje, usiongee hearsay za mtaani mkuu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…