Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndoto za mkosaji hizi.DP imeenda Djibout, wananchi wameikataa baada ya kugundulika DP iliwahonga viongozi kuukubali mkataba mbaya.
Wamewafukuza DP. Dp imeenda mahakama ya Uingereza, Djibout imeamriwa na mahakama kuilipa DP dola milioni 700. Haya ndiyo yatatokea hapa kwetu.
Pesa walizohongwa viongozi wa serikali, wanahabari na wabunge, zinaenda kuliangamiza taifa la Tanzania.
Tafuta mwanasheria makini akupe elimu ili uelewe kitu ambacho hukijui mpaka dakika hii.Hamjui mnachotetea, na wala hamjausoma ule mkataba (IGA) mwanzo mpaka mwisho, mnajiongelea tu.
IGA inajieleza wazi kwenye objectives zake, kwamba the aim of that agreement is to "set a legally binding framework" kwenye maeneo ya operation, management, improvement, na development..
Ndio maana mnaambiwa mwarabu yuko huru kuanza sheghuli zake since October 2022, mpaka hapo, hiyo HGA yenu tayari haina maana, sijui kama someni kitu kizima muelewe, sio kuokota nusu nusu kuja kubisha hapa...
Huwa wanaishi kwa rushwa, wakistaafu wanapewa mafao kuanzia milioni kumi na saba kwa nini wasiwe mabwege.Mkuu nchi ya laana hii hasa polisi ni kazi ya laana kuna mmoja naish kwake polisi mstaafu adi chakula ananiomba mim hua namnyoosha sana na nataka nihame kimy kimy nkakae nyumba za maana mbwa hawa
Ndo mana anakua omba omba umbwa hawaHuwa wanaishi kwa rushwa, wakistaafu wanapewa mafao kuanzia milioni kumi na saba kwa nini wasiwe mabwege.
Umejibu Tu kama mimi kuwa termination clause ipo isipokuwa wewe umeona "the worst case scenario"...Boss, usishabikie tu. Nenda kwenye logic.
Mathalani, HGA ya bandari ya Dar port, ikasema ni miaka 10. Mwaka wa 9, DP anaamua kwenda kuwekeza ziwa Nyasa. Mnasaini HGA ya miaka 15. HGA inaanza ya bandari ya Nyasa, wakati HGA ya bandari ya Dar imebakiza mwaka 1 tu. Baada ya mwaka mmoja wa HGA ya Nyasa, HGA ya bandari ya Dar inaisha. Lakini kwa sababu ya HGA ya bandari ya Nyasa, IGA inaendelea. Kwa sababu IGA inaendelea, maana yake ni kwamba, japo HGA ya bandari ya Dar imeisha, IGA inakuzuia kumwingiza mwekezaji mwingine kwenye bandari ya Dar ambayo wakati inakuwa haina mkataba wowote, na pengine baada ya kwisha HGA ya Dar, tungetaka kuendesha wenyewe au kumpa mwekezaji mwingine!! Sijui kama unanielewa.
Huu ni mkataba wa kuitia kitanzi nchi.
Hebu nieleze kwenye huo mkataba hao "watu" uliosema wanataka nini. Eleza vitu ambavyo Taifa litapata, siyo hao "watu". Haya nieleze kwa mujibu wa mkataba nini kama taifa tutapata, hao DP WORLD watapata nini kwa kuwekeza nini na kwa mchanganuo upi. Usipende kukimbilia statement za jumla kwamba "tatizo lenu".Tatizo lenu mnadhani mkataba ni wa wanasheria. Maudhui ya mkataba siku zote si ya wanasheria. Wanasheria kazi yao ni drafting tu. Wataalam wa Bandari, Uchumi, na Uwekezaji ndio wanaojua nini wanataka kwenye huo mkataba.
Umejibu Tu kama mimi kuwa termination clause ipo isipokuwa wewe umeona "the worst case scenario"...
Sisi wengine hatuamini watumishi watafanya makosa hayo unayosema..
Bottom line termination clause ipo..
Wewe umeona mapungufu ya termination clause...sio Sawa na kusema "hakuna termination clause"
Na kuokoteza maneno ya Mbarawa wanayabeba vichwani mwao, hawajui yule ni mwanasiasa, hiyo IGA inajieleza wazi kabisa, baada ya kusainiwa October 2022, mwarabu yuko huru kuanza shughuli zake, ndio maana ya hizi kelele za sasa, sio vinginevyo.Hawasomi. Wanaishia kulalamika eti anasalitiwa au anabaguliwa.
Unaponiambia nitafute mwanasheria ina maana wewe hujui unachoandika hapa, unabisha tu; terms za IGA zinajieleza zenyewe, tatizo wewe hata kuzisoma naamini hujazisoma.Tafuta mwanasheria makini akupe elimu ili uelewe kitu ambacho hukijui mpaka dakika hii.
IGA haina maana iwapo HGA itaharibika kwa namna moja au nyingine. Kumbuka kuwa HGA zinaanzishwa kwa kufuata sheria na kanuni za Tanzania.
Mkuu denooJ wanasheria wabobezi wameujadili kifungu kwa kifungu ndani ya ukumbi wa bunge na wengine walikwenda mpaka huko Dubai wakajadiliana na DPW kwa kina.
Punguza mbwembwe na huu ujuaji wa mitandaoni.
Nasubiri hiyo termination clause. Sitaki kuwa bendera fuata upepo.Najaribu Sana kufanya hivyo ...ngoja nijaribu copy and paste
Kuna uzi WA Faizafoxy kaweka mkataba Kwa kiswahili katazame article no 23Nasubiri hiyo termination clause. Sitaki kuwa bendera fuata upepo.
Hiyo hesabu kwa mdomo ni rahisi kusema. Njoo kwenye vitendo. Inapatikanaje?Iko wapi?
Kwani umeambiwa IGA ni risiti kwamba itakuonyesha alichotoa na kupokea muuzaji na alichopokea na kulipa mnunuaji? Kwahiyo na wewe ndiyo miongoni mwa wabobezi wa sheria wanaotuchambulia mkataba wetu au?😆Hebu nieleze kwenye huo mkataba hao "watu" uliosema wanataka nini. Eleza vitu ambavyo Taifa litapata, siyo hao "watu". Haya nieleze kwa mujibu wa mkataba nini kama taifa tutapata, hao DP WORLD watapata nini kwa kuwekeza nini na kwa mchanganuo upi. Usipende kukimbilia statement za jumla kwamba "tatizo lenu".
DP imeenda Djibout, wananchi wameikataa baada ya kugundulika DP iliwahonga viongozi kuukubali mkataba mbaya.
Wamewafukuza DP. Dp imeenda mahakama ya Uingereza, Djibout imeamriwa na mahakama kuilipa DP dola milioni 700. Haya ndiyo yatatokea hapa kwetu.
Pesa walizohongwa viongozi wa serikali, wanahabari na wabunge, zinaenda kuliangamiza taifa la Tanzania.
Ongeza uelewa. Soma hii article hapa chini.Tatizo hujui kazi ya IGA nini na kazi ya hizo HGA ni nini na kazi ya Projects activities ni nini? By the way usitake wewe ni nani? Yaani Serikali isifanye lake kwa kusikiliza wapuuzi wasiojua wanachobisha?
Tunataka majibu kutoka kwa wahusika, sio porojo.Kwani umeambiwa IGA ni risiti kwamba itakuonyesha alichotoa na kupokea muuzaji na alichopokea na kulipa mnunuaji? Kwahiyo na wewe ndiyo miongoni mwa wabobezi wa sheria wanaotuchambulia mkataba wetu au?😆
Boss wa DP World niko hapa na burungutu la midola, ni PM nikupe hela unisifie.