Kwani kiziwi na bubu ni ulemavu wa aina moja? Nilikuwa nafahamu bubu ni mtu asiyeweza kuongea na kiziwi ni mtu asiyeweza kusikiaNeno Bubu hua c vema kulitumia,maana wenyewe viziwi hawalipendi Na endapo akijua umemwita yy Bubu hapo kidg kutakua Na shida.tumia neno kiziwi ndo maana sahihi.
Yah bubu na kiziwi ulemavu wao ni wa aina moja japo kuna tofauti inayowatofaitisha japo c kubwa.Kwani kiziwi na bubu ni ulemavu wa aina moja? Nilikuwa nafahamu bubu ni mtu asiyeweza kuongea na kiziwi ni mtu asiyeweza kusikia
SanteeeeeTumia picha ya pili iliyopitishwa na CHAVITA. Hiyo ya kwanza ni sahihi kwa nchi nyingine, lakini baadhi ya alama hazitumiwi Tz.
mkuu naomba email yako tafadhali nina uhitaji sana wa hii kituMkuuunaweza pia kunisaidia kuweka picha kuhusu somo la tarakimu (namba)
Hii ni rahisi zaidi kueleweka.
Ucjal nitakupatia hio.Mkuu naweza kupata email yako? kuna vitu nataka nikuulize kuhusu lugha ya alama. Pia nahitaji hiko kitabu kinachohusu Tanzania sign language.
Utapata mkuumkuu naomba email yako tafadhali nina uhitaji sana wa hii kitu
Santee,,Habari za saizi wakuu,
Twende moja kwa moja kwenye mada yetu ya Leo.
Lugha ya alama nini?
Lugha ya alama Tanzania ni chombo cha mawasiliano ambacho humuwezesha mzungumzaji kufikisha ujumbe kwa jamii kwa hadhira iliyokusudiwa na jamii husika.
Lugha ya alama imegawanyika katika makundi mawili;
1. Alama kwa njia ya herufi (alphabet)
2. Alama kwa njia ya ishara.
Katika mada hii ntaongelea zaidi kipengele cha kwanza ambacho ni ALAMA KWA NJIA YA HERUFI..
Kwanini?
Kwa sababu kipengele hiki ni rahisi kumfundisha mtu aliye mbali na akaelewa mfano hapa JAMII FORUMS.
Kipengele cha pili hufundishwa MUBASHARA .
Tulisongeshe,
ALAMA KWA NJIA YA HERUFI (ALPHABET)
Herufi A, B, C,D,E,F,G, H,I,J, K, L, M,N,O mpaka Z huweza kuandikika kwa kutumia vidole vyetu.
Mbinu gani hutumika?
Mbinu zitumikazo hapa ni kukunja vidole kwa kufuata umbo la herufi husika.
Mfano herufi "C" ukitizama katika picha hapo chini utaona KIDOLE GUMBA na vidole vingine vimekunjwa kuunda shape ya herufi C. Utaratibu huu pia hutumika katika kuandika herufi zinazo fuata.
NB: Herufi "I" na "J" katika picha utaona kama zinafanana, utaratibu wa kuzitofautisha upo hivi, UKITAKA KUANDIKA HERUFI J ANZA KWA KUANDIKA HERUFI ,"I" THEN KUWA KAMA UNACHORA HERUFI J HEWANI.
Wakuu TUMIENI umakini kuchunguza MIKUNJO YA VIDOLE pamoja na alama husika mtagundua mikunjo ya vidole na imekunjwa kwa kufuata UMBO LA HERUFI HUSIKA. Mfano mzuri tizameni herufi Y.
HERUFI HIZI HUTUMIKA JE?
Herufi hizi hutumika kwa kuandika neno au maneno uliyokusudia kwa mhusika (kiziwi) kwa kufuata herufi tajwa hapo juu katika picha.
Jaribu sasa kwa kuanza na maneno kama DADA, KAKA, MAMA, BIBI n.k,
Ni rahisi sana na utaweza kuwasiliana au kuongea na kiziwi yeyote.
Karibuni kwa nyongeza , maoni, hoja na maswali.
Ahsanteni.
Shukran kwa elimuHabari za saizi wakuu,
Twende moja kwa moja kwenye mada yetu ya Leo.
Lugha ya alama nini?
Lugha ya alama Tanzania ni chombo cha mawasiliano ambacho humuwezesha mzungumzaji kufikisha ujumbe kwa jamii kwa hadhira iliyokusudiwa na jamii husika.
Lugha ya alama imegawanyika katika makundi mawili;
1. Alama kwa njia ya herufi (alphabet)
2. Alama kwa njia ya ishara.
Katika mada hii ntaongelea zaidi kipengele cha kwanza ambacho ni ALAMA KWA NJIA YA HERUFI..
Kwanini?
Kwa sababu kipengele hiki ni rahisi kumfundisha mtu aliye mbali na akaelewa mfano hapa JAMII FORUMS.
Kipengele cha pili hufundishwa MUBASHARA .
Tulisongeshe,
ALAMA KWA NJIA YA HERUFI (ALPHABET)
Herufi A, B, C,D,E,F,G, H,I,J, K, L, M,N,O mpaka Z huweza kuandikika kwa kutumia vidole vyetu.
Mbinu gani hutumika?
Mbinu zitumikazo hapa ni kukunja vidole kwa kufuata umbo la herufi husika.
Mfano herufi "C" ukitizama katika picha hapo chini utaona KIDOLE GUMBA na vidole vingine vimekunjwa kuunda shape ya herufi C. Utaratibu huu pia hutumika katika kuandika herufi zinazo fuata.
NB: Herufi "I" na "J" katika picha utaona kama zinafanana, utaratibu wa kuzitofautisha upo hivi, UKITAKA KUANDIKA HERUFI J ANZA KWA KUANDIKA HERUFI ,"I" THEN KUWA KAMA UNACHORA HERUFI J HEWANI.
Wakuu TUMIENI umakini kuchunguza MIKUNJO YA VIDOLE pamoja na alama husika mtagundua mikunjo ya vidole na imekunjwa kwa kufuata UMBO LA HERUFI HUSIKA. Mfano mzuri tizameni herufi Y.
HERUFI HIZI HUTUMIKA JE?
Herufi hizi hutumika kwa kuandika neno au maneno uliyokusudia kwa mhusika (kiziwi) kwa kufuata herufi tajwa hapo juu katika picha.
Jaribu sasa kwa kuanza na maneno kama DADA, KAKA, MAMA, BIBI n.k,
Ni rahisi sana na utaweza kuwasiliana au kuongea na kiziwi yeyote.
Karibuni kwa nyongeza , maoni, hoja na maswali.
Ahsanteni.
Alphabet za lugha ya alamaNitaanza kwa Alfabet. A-Z
Nafuatilia mkuu
Hahahahhahahahahaa hatar snHizo kuna bubu flani alinifundisha zamani kidogo, basi kila tukikutana tulikuwa tunapiga story na tunacheka kabisa yaani.
Ukizizoea zinakuwa tamu sana, sasa uwakute mabubu wanaongea hehe. Jamaa hata kama ulijifunza lazima utoke kapa vyenye wanazipeleka fasta.
Wanapatikana wapi chavita,mim nahitaj sana kujifunzaKwa faida ya wale wanaotaka kujifunza lugha ya alama ya Tanzania waende CHAVITA kununua kamusi ya lugha ya alama na santuri ya video (Video CD). Hakika ni rahisi sana kujifunza lugja ya alama.