Samahn kiongozi ulijifunzia wapHongera MKUU umejitahidi xana. Poa ni muhim sana kwa watu wote wenye uwezo wa kusikia sauti kujifunza lugha hii ili kuwasaidia hawa wenzetu viziwi. Namshkur mungu nimejifunza lugha hii Na kwa sasa naweza kuwasiliana nao vizur n pia nawafundisha masomo yote. Ni lugha nzuri sana ila ni lugha ambayk haina siri kwa maana kuwa ukiongea kwa ishara mwingine anaweza kuona Na kujua unachoongea.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] na unapiga nae stor fresh tuMkuu mimi nilitaka kupewa mke (kiziwi),
Sikuwa tayari kwa sababu sina mpango wa kuoa mapema.
Nilimsikia mtaalam mmoja akizungumza na BBC kutoka Arusha akisema hakuna standard language ya kuwasiliana na hao watuHabari za saizi wakuu,
Twende moja kwa moja kwenye mada yetu ya Leo.
Lugha ya alama nini?
Lugha ya alama Tanzania ni chombo cha mawasiliano ambacho humuwezesha mzungumzaji kufikisha ujumbe kwa jamii kwa hadhira iliyokusudiwa na jamii husika.
Lugha ya alama imegawanyika katika makundi mawili;
1. Alama kwa njia ya herufi (alphabet)
2. Alama kwa njia ya ishara.
Katika mada hii ntaongelea zaidi kipengele cha kwanza ambacho ni ALAMA KWA NJIA YA HERUFI..
Kwanini?
Kwa sababu kipengele hiki ni rahisi kumfundisha mtu aliye mbali na akaelewa mfano hapa JAMII FORUMS.
Kipengele cha pili hufundishwa MUBASHARA .
Tulisongeshe,
ALAMA KWA NJIA YA HERUFI (ALPHABET)
Herufi A, B, C,D,E,F,G, H,I,J, K, L, M,N,O mpaka Z huweza kuandikika kwa kutumia vidole vyetu.
Mbinu gani hutumika?
Mbinu zitumikazo hapa ni kukunja vidole kwa kufuata umbo la herufi husika.
Mfano herufi "C" ukitizama katika picha hapo chini utaona KIDOLE GUMBA na vidole vingine vimekunjwa kuunda shape ya herufi C. Utaratibu huu pia hutumika katika kuandika herufi zinazo fuata.
NB: Herufi "I" na "J" katika picha utaona kama zinafanana, utaratibu wa kuzitofautisha upo hivi, UKITAKA KUANDIKA HERUFI J ANZA KWA KUANDIKA HERUFI ,"I" THEN KUWA KAMA UNACHORA HERUFI J HEWANI.
Wakuu TUMIENI umakini kuchunguza MIKUNJO YA VIDOLE pamoja na alama husika mtagundua mikunjo ya vidole na imekunjwa kwa kufuata UMBO LA HERUFI HUSIKA. Mfano mzuri tizameni herufi Y.
HERUFI HIZI HUTUMIKA JE?
Herufi hizi hutumika kwa kuandika neno au maneno uliyokusudia kwa mhusika (kiziwi) kwa kufuata herufi tajwa hapo juu katika picha.
Jaribu sasa kwa kuanza na maneno kama DADA, KAKA, MAMA, BIBI n.k,
Ni rahisi sana na utaweza kuwasiliana au kuongea na kiziwi yeyote.
Karibuni kwa nyongeza , maoni, hoja na maswali.
Ahsanteni.
Ipo mkuu. Kuna hii inaitwa international sign language. Hapa Kama Kuna viziwi kutoka sehemu mbali mbali inatamika hiiNilimsikia mtaalam mmoja akizungumza na BBC kutoka Arusha akisema hakuna standard language ya kuwasiliana na hao watu
Sawa MkuuIpo mkuu. Kuna hii inaitwa international sign language. Hapa Kama Kuna viziwi kutoka sehemu mbali mbali inatamika hii
Ukitumia international sign language mnaelewana .Unaweza kuwasiliana na Kiziwi anayeongea Kiingereza Kwa alama hizo ?
International sign ni tofauti na hizo ABCD.... Ulizoweka hapa!?Ukitumia international sign language mnaelewana .
Uzi uendelee kuna wadau watakuja kutoa elimu.Omoyogwane Asante kwa mada hii. Nami ni. Mdau wa lugha hii. Kamusi ya lugha ya alama Tanzania ya ki digital ipo tayari. Wanaweza kuipata online free
Ni kweliNilimsikia mtaalam mmoja akizungumza na BBC kutoka Arusha akisema hakuna standard language ya kuwasiliana na hao watu
Asante mkuuNi kweli
Alama za KOREA na Tanzania .ni tofauti
Alama sio constant ni kama lugha zingine
Mm nilijifunza chuoni japo vyuoni hua huwafundisha vitu vingi. Ila mm kiukweli nimejifunza sana mtaani kwa viziwi wenyewe, pia kamusi za lugha ya alama na videos mbali mbaliSamahn kiongozi ulijifunzia wap
Yah sasa ipo japo bado hawajaitangaza na hasa kwa ajili ya ufundishaji shuleniOmoyogwane Asante kwa mada hii. Nami ni. Mdau wa lugha hii. Kamusi ya lugha ya alama Tanzania ya ki digital ipo tayari. Wanaweza kuipata online free
Hapana spelling ni kwa kuandika kwa mfano neno lisilokuwa na alama au alama huiji hapo utapeli. Ila kila neno lina alama yake kwa hio utatumia alama hizo kuunda sentencekwahiyo sentence nzima unakuwa unafanya spelling!?