Ha haaa Halima hapendi ujingaAisee kuna kamoja Halima kalikua katamu sana,mungu akape maua yake.
Tulikua tunagaragazana kuanzia kwenye michongoma mpk kufika home kwake hoi,home mwanamke anapiga makelele "mamaa nakufaa,mamaa weeh" majirani wanakuja kugonga mlango wanafkiri kuna mtu anauliwa
kumbe anakula fimbu.
demu ndo kwanza anawaambia niacheni nife kwa raha zangu🤣🤣🤣.
Halima sikusahau,sikumbuki hata tuliachana vipi
Ubahili wa papuchi aisee hakua nao
Nimejiandaa kukabiliana, ngoja nisogeze ext vzr𝐧𝐠𝐨𝐣𝐚 𝐰𝐚𝐣𝐞
Ni watu wa kuwakwepa kwa gharama yoyote. Hata kama ni jirani, jitahid ujenge ukuta mkubwa sana na geti liwe upande tofaut ili msikutane ukiwa unaingia/kutoka kwako.Basi ni watu hatari sana
Kweli ila wengi wao bado ni wale wale, Mpare anaenda hotelin anauliza chips shingap wanamwambia 5000, anauliza na kachumbari je wakimwambia kachumbari ni bure, unasikia nipe tu hiyo kachumbari chips ntawachangia nikipata hela!!
Tangu lini ?mpare kindakindaki wewe!Mi msukuma mkuu
Hii imepita level za makande imeenda kwenye pilau 🤣🤣Nishawahi kukaribishwa msosi na mpare, nilikuta makande yamepikwa kwa mahindi, maharage,njegere, njugumawe na mchicha😄
Nilitamani kusema sili cz huo mchanganyiko sio poa! Nikajikaza kijiko cha kwanza tu Makande matamu balaaaaaaaaaa!
Kilichofata nilipiga plate 2.
SawaMi msukuma mkuu
Ha haaaa jamani mbona mnawatenga hivyo wakwe zanguNi watu wa kuwakwepa kwa gharama yoyote. Hata kama ni jirani, jitahid ujenge ukuta mkubwa sana na geti liwe upande tofaut ili msikutane ukiwa unaingia/kutoka kwako.
Wasikuoe kabisaBasi ni watu hatari sana
Hii movie hata mm nishawahi kuionaKweli ila wengi wao bado ni wale wale, Mpare anaenda hotelin anauliza chips shingap wanamwambia 5000, anauliza na kachumbari je wakimwambia kachumbari ni bure, unasikia nipe tu hiyo kachumbari chips ntawachangia nikipata hela!!
Wakwe zako miyayusho uswahili mwingiHa haaaa jamani mbona mnawatenga hivyo wakwe zangu
Haha ati Movie, Kama kuna Movie basi kisa halisi kililetwa na bwana MchomeHii movie hata mm nishawahi kuiona
Wapare hatupo hvyHaha ati Movie, Kama kuna Movie basi kisa halisi kililetwa na bwana Mchome
Umeacha Asili yakoWapare hatupo hvy
Me too.Mi binafsi katika wapare ambao nishakutana nao na kuishi nao sijawahi kuona mpare mwenye roho nzuri SIJAWAHI