Fahamu kuhusu kuanzisha biashara ya Mobile Money (M-Pesa, Tigopesa)

nachelea kuamini ulichokiandika unapata wap ujasir wa kusema hii busnes inakua? are u updated with technology issues
Sent using Jamii Forums mobile app
 
kamishen utayopewa mtu akitoa pesa sio sawa na utayopewa mtu akiweka pesa kwa hyo ata kama ukifanya transaction za milion 10,, bado malipo yako yatategemea je wengi walitoa pesa au kuwekapesa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
nachelea kuamini ulichokiandika unapata wap ujasir wa kusema hii busnes inakua? are u updated with technology issues

Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu nataka uelewe kuwa hii nchi ina watu na majini na majini hao sio kwasababu ya maumbile yao bali ni uwezo wa akili tu wa kufikiri na kupambanua mambo kwenye maisha na usiombe hayo majini yakaingia kwenye sekta yako utahisi unacheza sina miaka mingi tangu niingie kwenye Telecom lakini nayajua mambo mengi sana ya kawaida na yasiyo ya kawaida
 
Tatizo watu hamtaki kusumbua bongo mkisikia mambo yasiyo ya kawaida mnakimbilia kuwaza Darkside, Naomba ieleweke hivi mambo yasiyo ya kawaida ni yale ambayo yapo maybe arround U in day to day ila huwez kuyang'amua kwa wepesi, (we call it normal things but in extra miles You need third eye to see them ).
 
Chuma ulete hapa ama [emoji23] [emoji23] [emoji23]

Sent using Jamii Forums mobile app
Tatizo watu hamtaki kusumbua bongo mkisikia mambo yasiyo ya kawaida mnakimbilia kuwaza Darkside, Naomba ieleweke hivi mambo yasiyo ya kawaida ni yale ambayo yapo maybe arround U in day to day ila huwez kuyang'amua kwa wepesi, (we call it normal things but in extra miles You need third eye to see them ).
 
Wewe huoni text yangu imekaa mfumo wa Swali au mdomo ulikua unakuwasha ukatafuta WA kumuimbia taarebu

Ulitakiwa kusema ndio au Hapana IPO hivi au vile sasa nyimbo zote nini

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…