October man
JF-Expert Member
- Nov 23, 2017
- 3,635
- 5,012
Kwani mwanzo uliweka ngapi?
Nazumgumzia Startup mtaji ulioanza nao kabla hukuwa unafanya mpaka ukaanza kufanya TOTAL sio wa baadae.
Sent using Jamii Forums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwani mwanzo uliweka ngapi?
mwanzo kabisa nilianza na m 2 ila kila kitu kilikuwa kipo. Huo ni mtaji tuKwani mwanzo uliweka ngapi?
Nazumgumzia Startup mtaji ulioanza nao kabla hukuwa unafanya mpaka ukaanza kufanya TOTAL sio wa baadae.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hii ndo sekta yangu sitatia neno but nikukosoe uliyesema ilikuwa zaman mim nasema haitakufa na itazid kuchanua na niende mbali zaid nikwambie kuwa ndio biashara pekee Tanzania unayoweza kuifanya leo kwa milioni mbili na kesho ukaifanya kwa million mia mbili bila presha wala stress
kamishen utayopewa mtu akitoa pesa sio sawa na utayopewa mtu akiweka pesa kwa hyo ata kama ukifanya transaction za milion 10,, bado malipo yako yatategemea je wengi walitoa pesa au kuwekapesaKatika replies zote hakuna aliyeweza msaidia alichouliza ilihali kuna watu wamesema wanaifanya hii biashara, mmoja2 kasema wanalipa kwa kamisheni mwisho wa mwezi, najua hajaelewa kamisheni inakuwaje, mfano labda ukifanya miamala kiasi flani, tegemea kupata kamisheni ya sh kadhaa kwa mwezi
Niulize chkulia mfano umefanya miamala ya ya200k kwa mwezi, watakulipa sh ngapi kwa mwezi?? (Wengi tunajifunza, na kujifunza kwetu hakuzibi riziki ya wew uliyeko kwenye system!
Nawakilisha
nachelea kuamini ulichokiandika unapata wap ujasir wa kusema hii busnes inakua? are u updated with technology issues
Sent using Jamii Forums mobile app
Eneo gani hilo unalopata till ya tigo pesa kwa siku 1?mana sehemu niliyopo huku kusini naambiwa iachukua mwezi mzima.Till za m pesa kuzipata ni shida sana aiseee
Ila tigo ndani ya siku moja unaipata
Sent using Jamii Forums mobile app
Eneo gani hilo unalopata till ya tigo pesa kwa siku 1?mana sehemu niliyopo huku kusini naambiwa iachukua mwezi mzima.
Mkuu naomba malekezo jinsi yakupata till ya mpesa kwa haraka nikiwa na doc zote, tin ninayo,leseni ninayo na kitambulisho nida
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwa uzoefu wako angalau kwa makadirio tu niandae kiasi gani?
Mkuu nataka uelewe kuwa hii nchi ina watu na majini na majini hao sio kwasababu ya maumbile yao bali ni uwezo wa akili tu wa kufikiri na kupambanua mambo kwenye maisha na usiombe hayo majini yakaingia kwenye sekta yako utahisi unacheza sina miaka mingi tangu niingie kwenye Telecom lakini nayajua mambo mengi sana ya kawaida na yasiyo ya kawaidanachelea kuamini ulichokiandika unapata wap ujasir wa kusema hii busnes inakua? are u updated with technology issues
Sent using Jamii Forums mobile app
Tatizo watu hamtaki kusumbua bongo mkisikia mambo yasiyo ya kawaida mnakimbilia kuwaza Darkside, Naomba ieleweke hivi mambo yasiyo ya kawaida ni yale ambayo yapo maybe arround U in day to day ila huwez kuyang'amua kwa wepesi, (we call it normal things but in extra miles You need third eye to see them ).
Wewe huoni text yangu imekaa mfumo wa Swali au mdomo ulikua unakuwasha ukatafuta WA kumuimbia taarebuTatizo watu hamtaki kusumbua bongo mkisikia mambo yasiyo ya kawaida mnakimbilia kuwaza Darkside, Naomba ieleweke hivi mambo yasiyo ya kawaida ni yale ambayo yapo maybe arround U in day to day ila huwez kuyang'amua kwa wepesi, (we call it normal things but in extra miles You need third eye to see them ).