Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Asante kwa ushauri ila kama hali ndiyo iko hivyo si biashara mzuri fikiria ulipe rent na wages ya mfanyakazi kutokana na faida mmh!...Ifanye iwe extra biashara kwa ajili ya ku maintain wateja wako, usitegemee kupata faida ya kueleweka kwenye hizo biashara
Ifanye iwe extra biashara kwa ajili ya ku maintain wateja wako, usitegemee kupata faida ya kueleweka kwenye hizo biashara
Huu ni upotoshaji kabsa....unajua kuna mtu anaingiza zaidi ya 10 milion kwa mwezi kwa TIGOPESA tu????Ifanye iwe extra biashara kwa ajili ya ku maintain wateja wako, usitegemee kupata faida ya kueleweka kwenye hizo biashara
Ni PM nkupe uzoefu...nipe uzoefu best ndo niko karibia kuzianzisha tigo pesa, m pesa na halo pesa
Kwa mtaji huo ukijitahid vzur unaweza kupata zaidi ya 800k kwa mweziNina shs million 2 eneo liko busy wapo wanaotoa huduma ila mara nyingi wanakuwa hawana salio
Anaingizaje hizo mil10Huu ni upotoshaji kabsa....unajua kuna mtu anaingiza zaidi ya 10 milion kwa mwezi kwa TIGOPESA tu????
Tafuta location nzuri uwe na mtaji wa kutosha.....nipe uzoefu best ndo niko karibia kuzianzisha tigo pesa, m pesa na halo pesa
Weka uzoefu hapa watu wafaidikeNi PM nkupe uzoefu...
Tafuta location nzuri uwe na mtaji wa kutosha.....
The more unavofanya transaction ndio unapata faida, kwa experience yangu mawakala wengi unakuta wamekaa sehemu moja ila mitaji hawana imagine vibanda vya watu saba wote hawana elf 50 sasa hapo kuna commission gani wanayoingiza?
Labda Tigo wenyewe super agent mwenyewe sizan Kama anapata zote hzoHuu ni upotoshaji kabsa....unajua kuna mtu anaingiza zaidi ya 10 milion kwa mwezi kwa TIGOPESA tu????
Mkuu watu wanapiga sana hela hasa maeneo ya kimara mbezi tegeta na mbagala....tigopesa inalipa sanaLabda Tigo wenyewe super agent mwenyewe sizan Kama anapata zote hzo