Fahamu madhaifu makubwa ya wanawake, unayoweza kuyatumia kumpata bila nguvu kubwa!

Fahamu madhaifu makubwa ya wanawake, unayoweza kuyatumia kumpata bila nguvu kubwa!

Mtoa mada alisahau tu kusema ya kuwa (assume money is constant) value of y it depend changes of value of x


Malaya pekee, ndio huitaka pesa yako waziwazi .

Alafu Kuna hili, Yaan Mnachokosea wengi wenu ni Approach ya kwanza.

Wanaume wengi Huwa mnakasumba ya kunionyesha Kwa mwanamke kua "Wewe ndio Sonko"!!

Ni siku ya kwanza lkn weee utataka ajue una nyumba, Gari, kazi nzuri ..

Unahisi anatafasiri nini?? AKILI YAKE HUTAFASIRI PESA TU.

So unamhamisha kutoka kwenye Emotions kuja kwenye Materials .

Unategemea nn??.

Nyie ndo wale ambao, Kila Out na mwanamke ,inakulazim wewe ndio umtoe.

Mwanamke akishakuelewa, HAKUUMIZI.
 
Huu ni ukweli ambao hata wao wanawake hawaupendi, in fact masuala kama haya huwa naandika kwenye magroup yangu yenye wanaume wenzangu tu.

Hii kitu naandika hapa, ni kwa mwanamke yoyote yule hapa chini ya jua, bila kujalisha dini, rangi, elimu, kipato, race, ni chibonge, ni mwembamba, ni mrefu, ni mfupi, ni mbaya, ni mzuri , ana kasoro fulani. Yaaan ili mradi ni mwanamke lazima awe na huu udhaifu!

Huwa nashangaa jamaa eti "Demu nimemfukuzia mwezi, miezi 3 ,6, miaka.. Eti leo ndiyo kanikubalia ,Leo kaniambia atanituku)...weweeeee unazungushwaa sababu wee unauza ukuu wako Kwa mwanamke huyo .(habari njema nikua, wakati unafukuzia miezi na miezi na kujaribu kumshawishi Kwa Mali, Kuna mchizi anapiga daily )


Unajua Katika ukimwengu wa Maisha ya Mwanamke
👉Huwa haijalishi mwanamke anakuelewa
👉Haijalishi mwanamke anataka muwe wapenzi
👉Haijalishi anataka umle au lah

"Mwanamke anataka wewe umtake" Hdio she wants you to want her!

Sikilizeni, mwanamke anavaaa vizuri, aweka kucha bandia, na kope za bandia, makeup ,wigi , mavipodozi, anafanya surgery za kuongeza, Sijui kupunguza kile na mambo kedekede ILI MRADI TUU ATAKWE NA ATAMANIWE NA MWANAUME.

waweza kuona wewe mwanaume unafasi gani kwenye maisha ya mwanamke? Kwann usiwe mwanaume ukajipa Thaman? Usijichukulie poa!.

Mwanamke hata awe sijui mtetezi wa wanawake, hawa na feminists uchwara wote wa humu JF, huko mitandaoni, Sijui wapi .....Hawa wote wanajipodoa, wanajipenda n.k ili mradi tu WATONGOZWE, and trust me, Na wao wanabembeleza , na wanakazwa kawa kawaida!

Sikilizeni, kwakua duniani hapa jinsia ni mbili tu Me na Ke, basi Mwanamke yoyote yule unayemuona, ujue fika hakamiliki pasipo mwanaume .

Umewahi jiuliza kwann mwanamke asipotongozwa, Huwa inamuumiza sana???.
Tuendelee na Mada !!
Anataka umtake, Kwa sababu once Mwanaume unavyomtaka mwanamke, mwanamke ,yeye Mwanamke anakua amekipata Kila kitu .

How ? Mtu anaweza niuliza amepata Kila kitu kiaje ??.
Hahaha , Ukitaka Mwanamke, maana yake ,Umempa NAFASI ya yeye kuamua kama Akukubaliee.... Au aamue kukukataa, na anavyokukaa yeye kwake inamuongezea Self esteem yaaan Anajiona wa thamani sanaaa yaaan ile Feminine Power yake inaongezeka Mara dufu !!!,.....( Mnieleweni sana hapa)

Yaaan ukimtaka mwanamke , Ukweli nikwamba, Mpira unakua upo mikononi mwake yeye ,

SASA BASI Nini hutokea unapoamua Kutokumtaka Mwanamke ?? Brooo, Usipoonyesha kumtaka Mwanamke, Dunia yake hupasuka vipande vipande, Usipomtaka mwanamke Anakua kakoswa nafasi ya Uchaguzi, na usimpomtaka mwanamke HAWEZ KAMWE HATA SIKU MOJA KU EXERCISE FEMININE POWER YAKE ,na Kwa hili, Huwa linawaumiza Sanaaaaa !!.

Kumbe Basi uangundua kua ,Mwanamke anapenda kua desirable,, Ni kweli kabisa, in fact mwanamke ambaye ni Undesirable huyo ni MWANAUME.


KAMWE HUPASWI KUMUONYESHA MWANAMKE INTENTIONS YOYOTE YA KUMTAKA ..

Ukimwonyesja tu, tayari mchezo umeisha ,ni muhimu sana Kwa Kila Kijana kujua kua " Kwa mwanamke , Nguvu ya Ukike ( feminine power) anaitoa Kwa MWANAUME.... ndioo hata demu awe Pisi kiasi gani ,kama haambiwi na mwanaume kua wee no Pisi, umenivutia, KWAKE SIO KITU TENA....( niliwahi waambia, hamna mwanamke anayejikubali 100% )

Sasa ni wewe Mwanaume wa kuamua Umpe hiyo feminine power au Usimpe....naaa ukweli ni kwamba HUTAKIWI KUMPA MWANAMKE HIYO NGUVU YAKE YA UANAMKE.

Ukweli ni Kwamba, Mwanamke hupata Self Esteem kutokana na ATTENTION anayopewa na Mwanaume

Kama Mwanadam anavyohitaji Maji Kukata kiu, na Hewa kupumua, Ndivo ilivyo , Wanawake wanapambana Kila siku kuhakikisha wanacatch ATTENTION ... Women wants to be NOTICED ..every woman on this Earth !!.


👉Kumbe madhaifu makubwa ya Wanawake ni ATTENTION na DESIRE.

Unapoacha kumpa hivo vitu, KINYUME chake, unakua ume bypass subconscious yake na unamlazimisha yeye kupambana zaidi na zaidi na zaidi ili tu umpe attention... Hamna mwanamke anayependa Asitamaniwe, Asipendwe na Mwanaume, Asiyevutia mwanaume ,Hayupo...HAYUPOOOOO!!


Ofcoz Kuna wakati Sasa unabidi uongee na mwanamke, Sasa unaongeaje naye ??.

Ongea naye Kwa mazungumzo ambayo ,YEYE ANALAZIMIKA KUKUTAKA ZAIDI KULIKO WEWE UNAVYOMTAKA

mnaweza msinielewe, ukweli ni kwamba Wanawake wanapenda Kuhangaika ili wamuwin mwanaume , yaan Wanawake kwao ni Furaha sana kumfanya mwanaume mwenye Thaman avutiwe nao na huangaika na kutoa Nguvu zaidi kukufanya uvutuwe nao .

Mpe nafasi mwanamke ya Kukuhangaika Kwa sababu ndivo anapenda.

Eeehh Ukishampa Attention nin kitafata Kwa mwanamke?? Anakupotezea ,hamu nawee inakata.

Ukiwa na Kiu, ukanywa maji, Si kiu kinakata na huna Tena ham ya maji mpaka kiu kikushike Tena??.

Namaanisha hivi, hujawah ona Dem anakutega weee, ukishamwonyesha unamtaka ,nayeye huyooo anabadilika ,anapotea ?? ...unaanza jiuliza huyu demu vipi Tena??


Usijilaumu, ndivo walivyo !!.

Sasa Nini unatakiwa ufanye ili umfanye kooo lake liwe na Kiu muda wote Cha ATTENTION ?? .

,👉Hakikisha unakua "Unpredictable " yaaan namaana hii

Leo unamfurahisha sanaaaa, Kesho unamfanya ajione hafai...kesho unamfanya ajione Malaika .Kesho unamfanya Ashinde na majonzi...kesho unambebesha mpaka anaone Dunia ndo hii... Kesho Anajiona mtumwa !!....

Mnaweza nishangaa,ila ukweli ni kwamba Wanawake wameumbwa kutohoa Furaha kutoka katika Huzuni yaaan unapokua unampitisha kwenye "Mlima wa fuaraha , kesho kwenye Bonde la maumivu".. unalazimisha akili yake iamini wewe ndio Kila kitu kwake.


Nini Faida ya hii?? Katika Dunia hii ya Mapenzi Uchwara , watu wanajiua n.k ... Hiii kitu inakuletea Wanawake weeeeeengi sana, alafu unakua wewe uko upande salama Kwa sababu unakua Hujazama Wala nn, ila yeye Mwanamke anakua kazama💯

In fact unakua kama King Mswati, yaaan Ishi kama Mfalme, Malikia wanakufata !!
Unazunguka sana ..tafuta hela ..mimi sijasoma yote pesa itanisaidia kusoma hii insha yako na kunipa pisi kali
 
Mtoa mada alisahau tu kusema ya kuwa (assume money is constant) value of y it depend changes of value of x
It depends na siyo it depend. Tutumie kiswahili jamani kwani hii lugha kwetu ni mtihani.
 
Bandiko lako zuri,
Ila Lina hadhi ya miaka hamsini nyuma, kwa leo hii mwanamke gani atashindwa kujitambua kama anatakiwa.

Kwa uchunguzi wangu wa muda mrefu usio rasmi, ni kwamba wanaume wanaumizwa zaidi kuliko wanawake.

Kuna Kuna vitu viwili tu kwa wanawake

1.Sura nzuri/matako makubwa
Hapa mwanamke akijiona hivi wanasumbua sana, hata kama ufanyaje lazima atake kumiliki vitu fulani kama wewe, nyumba, biashara, na vingine vingi

2.Mwenye Elimu/kazi nzuri
Huyu anatesa ananyanyasa, ana jeuri anaweza kuwa na mwanaume mwingine waziwazi, na ukisema uongee sana mwisho atadai talaka, kwakuwa si lazima awe na wewe, kundi hili linaamini sana kwenye hamsini kwa hamsini tena usiombe kama biashara au kazi zake zinahusisha kwenda ughaibuni mara kwa mara.

Vikao, semina na mengine yanayowakutanisha na watu mbalimbali.
Kuhusu Pesa /Elimu /kazi ya mwanamke

Soma hapa Thread 'Suala la Mwanamke kuwa na Elimu/Pesa/Mafanikio kumzidi mwanaume wake!' Suala la Mwanamke kuwa na Elimu/Pesa/Mafanikio kumzidi mwanaume wake!.

Ukiwa na mawazo ya Kazi au Pesa au Elimu ya Mwanamke ..... Hahahaha napata hofu aina ya Mwanamke unayedate Mzee !!.

Hivi unaweza Kumdate DED au DAS wakike ??.

Hahahaha
 
Yote haya shortcut yake ni tafuta hela buda

Sent from my SM-A032F using JamiiForums mobile app
Mbona wanyama hawana hela check Kama jogoo anashawishi kwa nguvu zake za asili za jinsia yake. Ni Raha mno kuwa na mtu anayekupenda bila ya vitu vyako.
So hela zikiisha tunambeba ama unamaanishaje.

Wakati wewe unahangaika kutafuta pesa kisa ke Kuna me anaambiwa njoo nipo loji namba fulani unikune ninawashwa na www ndiye pekee unayeniwezea. Unakuta iyo hela wewe ndiye uliyempa
 
Sasa Nini unatakiwa ufanye ili umfanye kooo lake liwe na Kiu muda wote Cha ATTENTION ??
Mimi nikiwa na Babe wangu wa JF baada ya kufanikiwa kuteka koo lake vizuri👇😁😁😁
WQAE7as0.jpeg
 
Sasa Mtoa Uzi unanichanganya, nihangaike na ATTENTION pamoja na Bwana DESIRE au nitafute Hela kwanza????
 
Pesa muhimu... ilaaa mbona Masanja ana hela lakini mkewe kaparuriwa nje?

Hayanaga formula
Kwasababu ana hela akiamua kubadiri mwanamke ni dakika sifuri!

Ila ukiwa masikini hutapendwa na mwanamke. Masanja pale alipo kuna mania ya wanawake wanalilia nafas ya kutolewa na yeye ila ukiwa kapuku hutahitajika hata na chizi.


Tutafute hela aiseh

Sent from my SM-A032F using JamiiForums mobile app
 
Wanaume wengi wadhaifu wasokua na 'Know how' hutafuta kitu Cha kujifichia.


Ukweli nikwamba, Kuna Wanawake hawana njaa ya Hela

Embu fikria unapokea mshahara wa 1.2 M... Dem naye anapokea 1.2 M .

Utampata??.
Nasema tena tafuta pesa!

Tafuta pesa!


Umewahi kujiuliza Diamond asingekuwa na hela angewahi kumpata Zali au Tanasha Dona!


Wewe kwako hakikisha unamzidi mwanamke hela kama yeye anapokea mshahara 1.2 wewe pokea zaidi ya hapo. Au kuwa na vipato vya ziada.

Pesa humletea mwanaume authority ndio maana kuna wanawake ambao kama Wana hela kukuzidi wewe siku mmetoka out Kula na marafiki na wewe kama mwanaume wake hauna hela Yuko radhi akupe hela ionekane umelipia wewe ili kukupa heshima!

Acha kabisa na hela Kwa mwanaume ndio kila kitu tuache utani na excuse za hapa na pale.

Sent from my SM-A032F using JamiiForums mobile app
 
Mbona wanyama hawana hela check Kama jogoo anashawishi kwa nguvu zake za asili za jinsia yake. Ni Raha mno kuwa na mtu anayekupenda bila ya vitu vyako.
So hela zikiisha tunambeba ama unamaanishaje.

Wakati wewe unahangaika kutafuta pesa kisa ke Kuna me anaambiwa njoo nipo loji namba fulani unikune ninawashwa na www ndiye pekee unayeniwezea. Unakuta iyo hela wewe ndiye uliyempa


Hawa Jamaa kitu wasichokielewa ni kua "Kuna vitu Wanawake hawavijali kabisa once unapokua Umemfanya akupende".


Jiulize kwann, unakuta mwanamke ni Malaya, ila Sasa Kuna Jamaa yake Mmoja ambaye huyo mwanamke hasemi, hapumui, kafa kaoza ????.
 
Nasema tena tafuta pesa!

Tafuta pesa!


Umewahi kujiuliza Diamond asingekuwa na hela angewahi kumpata Zali au Tanasha Dona!


Wewe kwako hakikisha unamzidi mwanamke hela kama yeye anapokea mshahara 1.2 wewe pokea zaidi ya hapo. Au kuwa na vipato vya ziada.

Pesa humletea mwanaume authority ndio maana kuna wanawake ambao kama Wana hela kukuzidi wewe siku mmetoka out Kula na marafiki na wewe kama mwanaume wake hauna hela Yuko radhi akupe hela ionekane umelipia wewe ili kukupa heshima!

Acha kabisa na hela Kwa mwanaume ndio kila kitu tuache utani na excuse za hapa na pale.

Sent from my SM-A032F using JamiiForums mobile app
Hahaha hahaha kipato gan kinamtosha mwanamke?.
 
Nasema tena tafuta pesa!

Tafuta pesa!


Umewahi kujiuliza Diamond asingekuwa na hela angewahi kumpata Zali au Tanasha Dona!


Wewe kwako hakikisha unamzidi mwanamke hela kama yeye anapokea mshahara 1.2 wewe pokea zaidi ya hapo. Au kuwa na vipato vya ziada.

Pesa humletea mwanaume authority ndio maana kuna wanawake ambao kama Wana hela kukuzidi wewe siku mmetoka out Kula na marafiki na wewe kama mwanaume wake hauna hela Yuko radhi akupe hela ionekane umelipia wewe ili kukupa heshima!

Acha kabisa na hela Kwa mwanaume ndio kila kitu tuache utani na excuse za hapa na pale.

Sent from my SM-A032F using JamiiForums mobile app
But look mabilionea wangapi Duniani, Wanawake zao wamesepa ?
Ndiooo, Kuna masikin wengi pia ,Wanawake zao wamesepa!.


Ushawah jiuliza, wewe unaweza kua una kila kitu, alafu unamtaka Dem XYZ... Na huyo demu anakutolea nje, nahuku ukijua kabisa, Anatoka na mahikaji ,Maisha kuunga???

Unahisi Kwa sababu, wewe Hauna peda zaidi au nn??
 
Akik
Nasema tena tafuta pesa!

Tafuta pesa!


Umewahi kujiuliza Diamond asingekuwa na hela angewahi kumpata Zali au Tanasha Dona!


Wewe kwako hakikisha unamzidi mwanamke hela kama yeye anapokea mshahara 1.2 wewe pokea zaidi ya hapo. Au kuwa na vipato vya ziada.

Pesa humletea mwanaume authority ndio maana kuna wanawake ambao kama Wana hela kukuzidi wewe siku mmetoka out Kula na marafiki na wewe kama mwanaume wake hauna hela Yuko radhi akupe hela ionekane umelipia wewe ili kukupa heshima!

Acha kabisa na hela Kwa mwanaume ndio kila kitu tuache utani na excuse za hapa na pale.

Sent from my SM-A032F using JamiiForums mobile app
Akili ya Mwanamke ,haifanyi kazi kama unavyowaza ....!!
 
Back
Top Bottom