Fahamu madhaifu makubwa ya wanawake, unayoweza kuyatumia kumpata bila nguvu kubwa!

Fahamu madhaifu makubwa ya wanawake, unayoweza kuyatumia kumpata bila nguvu kubwa!

Guys hela sio kila kitu unless kama umekutana na malaya

Mimi nina mwanamke ni branch manager wa benki fulani, anaishi nyumba ya ghorofa 2 mbezi beach ila mimi sina chochote naunga unga tu

Ila mwanamke ananipenda vibaya mno . Hata tukitoka out shoo huwa anasimamia yeye

Ni kucheza na saikolojia yake tu na yeye mwenyewe akupende
Mzee kuhudumiwa na mwanamke sio tamaduni zetu ki Africa...na sio kitu cha kuwa proud nacho hadharani
 
Mzee kuhudumiwa na mwanamke sio tamaduni zetu ki Africa...na sio kitu cha kuwa proud nacho hadharani

Ila watu .

Kwann mnaoa Wanawake wenye kazi, alafu wasipotoa matumizi Ndani.

Mnaanza kulalamika humuhum JF... Hela za mwanamke huyu zinapenda wapi??
Huyu mwanamke anakazi lakin hachangii chochote??


Daaahh Guys,muwe mnajitahidi angalau kusema kile mnachomaanisha .


Mwanamke kua supportive kwako ni sehem ya Mahusiano


Hujawah tolewa Out na demu wako??.
 
Huwa

Huwajui Wanawake .

EMOTION ndio dereva wa Maisha ya Mwanamke.


Ukilijua Hilo, Basi hutaagaika kutumia Pesa, kumshawishi Mwanamke .
Mimi au wewe ndio ubabaishwe na wanawake!

Sijawahi na sitakuja kubabaishwa na mwanamke Hadi nakufa!

Tafuta Kitabu Cha UNLOCK HER LEGS by DOMINIC MANN

Hutakuja hapa kuandika ulichoandka na hutapoteza muda wako Kwa wanawae
Screenshot_20221003-142033.jpg
View attachment 2375963

Sent from my SM-A032F using JamiiForums mobile app
 
Kumbe wanataka watakwe sio wapendwe, Mimi mpk nimezeeka najua wanapenda upendo, duh...miaka yote hii niko Chaka, sio fair kbs.
 
Kaka umeandika vizuri tena vizuri sana , hapo ni akili ya msomaji na mapokeo ya mada yapoje kwa upande wake , unaweza kua unatumia nguvu kubwa kumuelewesha mtu mwenye visasi vya mahusiano
Shukran
 
Masanja itakuwa alitumia mbinu Yako hiii....ya Furaha mara majonzii kumbeee kipindi akidhani mkewe anapitia majonzi, katibu kata naye anamfurahishaa..
 
Pesa muhimu... ilaaa mbona Masanja ana hela lakini mkewe kaparuriwa nje?

Hayanaga formula
Naantombe Mushi umemaliza mkuu
Kumamoto pita na hapa

Mimi nimemwelewa sana mtoa mada coz kuna manzi yangu mmoja kati ya wale 15 walio kwenye list yenye huyu mmoja hua simpagi attention kabisa kabisa kabisa yaan kabisa na sinaga time nae kabisa ila manzi vituko nnavyomfanyia ndio ananikubari vibaya

Namba moja akiniomba msaada simpi papo hapo hio kwangu ni Big NO yaan lazima nimpigishe msasa wa kutosha hadi nione kweli msaada una umuhimu ndio namtimizia

Kitu kingine Jana nimetongoza juzi pia nimetongoza so nawajua hawa viumbe

Manzi wa Jana alinipa namba ilipofika usiku mwingi km saa 7 akapiga simu km mara mbili tukaongea kidogo wakati huo kuna mwingine nilikua namwimbisha WhatsApp ushaelewa? Huyu wa kwenye simu nikawa naongea nae km sitaki aka-mind akakata simu kumpigia akawa kagoma kupokea kumtumia meseji kumuuliza vipi mbon hivyo anajibu 'unaongea na mimi km hutaki sasa kuna umuhimu gan wa kuendelea kuongea?' nikaona isiwe kesi nikampiga chini karudi kwa yule wa Whatsapp nikaendelea kuchat nae akaleta habari za kumnyenyekea eti nimnyenyekee yeye

Ngoja nikunywe maji kwanza nipige funda moja nakuja....
 
Mkuu sisemi utafute pesa umridhishe mwanamke hapana. Nasema utafute pesa ujiridhishe wewe!

Atakaekupenda wewe Sawa, atakaependa pesa zako Sawa. Ila hakikisha mwanamke hakuondolei furaha. Don't be too emotional Kwa wanawake utaishia kubaya.

Sheria ni tafuta pesa halafu usiwe emotional Kwa wanawake utakuwa na maisha mazuri mno!

Angalia matukio yote ya kuuwana wapenzi lazima utakuta mwanaume alikuwa too emotional Kwa mwanamke Yani zile Baby I love you mara mwanaume analia Kabisa! Na hii mara nyingi hutokea mwanaume ukiwa huna hela. Mwisho WA siku ukipigwa tukio unaua!

Tatafute pesa ndugu zangu!

Kama Una pesa unawez kuchakata mbususu yoyote hata kutoka Ng'ambo ni wewe Tu !




Sent from my SM-A032F using JamiiForums mobile app
Nakazia...
 
Huu ni ukweli ambao hata wao wanawake hawaupendi, in fact masuala kama haya huwa naandika kwenye magroup yangu yenye wanaume wenzangu tu.

Hii kitu naandika hapa, ni kwa mwanamke yoyote yule hapa chini ya jua, bila kujalisha dini, rangi, elimu, kipato, race, ni chibonge, ni mwembamba, ni mrefu, ni mfupi, ni mbaya, ni mzuri , ana kasoro fulani. Yaaan ili mradi ni mwanamke lazima awe na huu udhaifu!

Huwa nashangaa jamaa eti "Demu nimemfukuzia mwezi, miezi 3 ,6, miaka.. Eti leo ndiyo kanikubalia ,Leo kaniambia atanituku) weweeeee unazungushwaa sababu wee unauza ukuu wako Kwa mwanamke huyo (habari njema nikua, wakati unafukuzia miezi na miezi na kujaribu kumshawishi Kwa Mali, Kuna mchizi anapiga daily)

Unajua Katika ukimwengu wa Maisha ya Mwanamke
👉Huwa haijalishi mwanamke anakuelewa
👉Haijalishi mwanamke anataka muwe wapenzi
👉Haijalishi anataka umle au lah

"Mwanamke anataka wewe umtake" Hdio she wants you to want her!

Sikilizeni, mwanamke anavaaa vizuri, aweka kucha bandia, na kope za bandia, makeup, wigi , mavipodozi, anafanya surgery za kuongeza, Sijui kupunguza kile na mambo kedekede ILI MRADI TUU ATAKWE NA ATAMANIWE NA MWANAUME.

waweza kuona wewe mwanaume unafasi gani kwenye maisha ya mwanamke? Kwann usiwe mwanaume ukajipa Thaman? Usijichukulie poa!

Mwanamke hata awe sijui mtetezi wa wanawake, hawa na feminists uchwara wote wa humu JF, huko mitandaoni, Sijui wapi. Hawa wote wanajipodoa, wanajipenda n.k ili mradi tu WATONGOZWE, and trust me, Na wao wanabembeleza, na wanakazwa kawa kawaida!

Sikilizeni, kwakua duniani hapa jinsia ni mbili tu Me na Ke, basi Mwanamke yoyote yule unayemuona, ujue fika hakamiliki pasipo mwanaume.

Umewahi jiuliza kwann mwanamke asipotongozwa, Huwa inamuumiza sana?

Tuendelee na Mada !!
Anataka umtake, Kwa sababu once Mwanaume unavyomtaka mwanamke, mwanamke ,yeye Mwanamke anakua amekipata Kila kitu .

How? Mtu anaweza niuliza amepata Kila kitu kiaje?
Hahaha, Ukitaka Mwanamke, maana yake, Umempa NAFASI ya yeye kuamua kama Akukubaliee. Au aamue kukukataa, na anavyokukaa yeye kwake inamuongezea Self esteem yaaan Anajiona wa thamani sanaaa yaaan ile Feminine Power yake inaongezeka Mara dufu (Mnieleweni sana hapa)

Yaaan ukimtaka mwanamke, Ukweli nikwamba, Mpira unakua upo mikononi mwake yeye.

SASA BASI Nini hutokea unapoamua Kutokumtaka Mwanamke? Brooo, Usipoonyesha kumtaka Mwanamke, Dunia yake hupasuka vipande vipande, Usipomtaka mwanamke Anakua kakoswa nafasi ya Uchaguzi, na usimpomtaka mwanamke HAWEZ KAMWE HATA SIKU MOJA KU EXERCISE FEMININE POWER YAKE ,na Kwa hili, Huwa linawaumiza Sanaaaaa.

Kumbe Basi uangundua kua ,Mwanamke anapenda kua desirable,, Ni kweli kabisa, in fact mwanamke ambaye ni Undesirable huyo ni MWANAUME.

KAMWE HUPASWI KUMUONYESHA MWANAMKE INTENTIONS YOYOTE YA KUMTAKA.

Ukimwonyesja tu, tayari mchezo umeisha ,ni muhimu sana Kwa Kila Kijana kujua kua " Kwa mwanamke , Nguvu ya Ukike (feminine power) anaitoa Kwa MWANAUME, ndioo hata demu awe Pisi kiasi gani, kama haambiwi na mwanaume kua wee no Pisi, umenivutia, KWAKE SIO KITU TENA ( niliwahi waambia, hamna mwanamke anayejikubali 100%)

Sasa ni wewe Mwanaume wa kuamua Umpe hiyo feminine power au Usimpe, na ukweli ni kwamba HUTAKIWI KUMPA MWANAMKE HIYO NGUVU YAKE YA UANAMKE.

Ukweli ni Kwamba, Mwanamke hupata Self Esteem kutokana na ATTENTION anayopewa na Mwanaume.

Kama Mwanadam anavyohitaji Maji Kukata kiu, na Hewa kupumua, Ndivo ilivyo , Wanawake wanapambana Kila siku kuhakikisha wanacatch ATTENTION. Women wants to be NOTICED every woman on this Earth.

👉Kumbe madhaifu makubwa ya Wanawake ni ATTENTION na DESIRE.

Unapoacha kumpa hivo vitu, KINYUME chake, unakua ume bypass subconscious yake na unamlazimisha yeye kupambana zaidi na zaidi na zaidi ili tu umpe attention. Hamna mwanamke anayependa Asitamaniwe, Asipendwe na Mwanaume, Asiyevutia mwanaume, hayupo. HAYUPOOOOO!!

Ofcoz Kuna wakati Sasa unabidi uongee na mwanamke, Sasa unaongeaje naye?

Ongea naye Kwa mazungumzo ambayo ,YEYE ANALAZIMIKA KUKUTAKA ZAIDI KULIKO WEWE UNAVYOMTAKA

mnaweza msinielewe, ukweli ni kwamba Wanawake wanapenda Kuhangaika ili wamuwin mwanaume , yaan Wanawake kwao ni Furaha sana kumfanya mwanaume mwenye Thaman avutiwe nao na huangaika na kutoa Nguvu zaidi kukufanya uvutuwe nao.

Mpe nafasi mwanamke ya Kukuhangaika Kwa sababu ndivo anapenda.

Eeehh Ukishampa Attention nin kitafata Kwa mwanamke? Anakupotezea, hamu nawee inakata.

Ukiwa na Kiu, ukanywa maji, Si kiu kinakata na huna Tena ham ya maji mpaka kiu kikushike Tena?

Namaanisha hivi, hujawah ona Dem anakutega weee, ukishamwonyesha unamtaka, nayeye huyooo anabadilika, anapotea? Unaanza jiuliza huyu demu vipi Tena?

Usijilaumu, ndivo walivyo!

Sasa Nini unatakiwa ufanye ili umfanye kooo lake liwe na Kiu muda wote Cha ATTENTION?

,👉Hakikisha unakua "Unpredictable " yaaan namaana hii

Leo unamfurahisha sanaaaa, Kesho unamfanya ajione hafai. Kkesho unamfanya ajione Malaika. Kesho unamfanya Ashinde na majonzi, kesho unambebesha mpaka anaone Dunia ndo hii. Kesho Anajiona mtumwa.

Mnaweza nishangaa,ila ukweli ni kwamba Wanawake wameumbwa kutohoa Furaha kutoka katika Huzuni yaaan unapokua unampitisha kwenye "Mlima wa fuaraha, kesho kwenye Bonde la maumivu".. unalazimisha akili yake iamini wewe ndio Kila kitu kwake.

Nini Faida ya hii? Katika Dunia hii ya Mapenzi Uchwara, watu wanajiua n.k

Hiii kitu inakuletea Wanawake weeeeeengi sana, alafu unakua wewe uko upande salama Kwa sababu unakua Hujazama Wala nn, ila yeye Mwanamke anakua kazama💯

In fact unakua kama King Mswati, yaaan Ishi kama Mfalme, Malikia wanakufata.
Kwa hiyo mzee si unajikuta maisha yako yoote muda umeishia kwenye wanawake.

Halafu unajiuliza Mbona Mzee mwalubadu ana miliki viwanja Masaki na Mbweni Baba yako yeye alikuwa wapi?

Wakati huo Baba yako amebaki kusema hapa mwaka 80 palikuwa pori tu.😅😅
 
Kwa hiyo mzee si unajikuta maisha yako yoote muda umeishia kwenye wanawake.

Halafu unajiuliza Mbona Mzee mwalubadu ana miliki viwanja Masaki na Mbweni Baba yako yeye alikuwa wapi?

Wakati huo Baba yako amebaki kusema hapa mwaka 80 palikuwa pori tu.😅😅


Duuuhhh hili nalo jipya
 
Back
Top Bottom