Fahamu madhaifu makubwa ya wanawake, unayoweza kuyatumia kumpata bila nguvu kubwa!

Mtoa mada alisahau tu kusema ya kuwa (assume money is constant) value of y it depend changes of value of x


Malaya pekee, ndio huitaka pesa yako waziwazi .

Alafu Kuna hili, Yaan Mnachokosea wengi wenu ni Approach ya kwanza.

Wanaume wengi Huwa mnakasumba ya kunionyesha Kwa mwanamke kua "Wewe ndio Sonko"!!

Ni siku ya kwanza lkn weee utataka ajue una nyumba, Gari, kazi nzuri ..

Unahisi anatafasiri nini?? AKILI YAKE HUTAFASIRI PESA TU.

So unamhamisha kutoka kwenye Emotions kuja kwenye Materials .

Unategemea nn??.

Nyie ndo wale ambao, Kila Out na mwanamke ,inakulazim wewe ndio umtoe.

Mwanamke akishakuelewa, HAKUUMIZI.
 
Unazunguka sana ..tafuta hela ..mimi sijasoma yote pesa itanisaidia kusoma hii insha yako na kunipa pisi kali
 
Mtoa mada alisahau tu kusema ya kuwa (assume money is constant) value of y it depend changes of value of x
It depends na siyo it depend. Tutumie kiswahili jamani kwani hii lugha kwetu ni mtihani.
 
Kuhusu Pesa /Elimu /kazi ya mwanamke

Soma hapa Thread 'Suala la Mwanamke kuwa na Elimu/Pesa/Mafanikio kumzidi mwanaume wake!' Suala la Mwanamke kuwa na Elimu/Pesa/Mafanikio kumzidi mwanaume wake!.

Ukiwa na mawazo ya Kazi au Pesa au Elimu ya Mwanamke ..... Hahahaha napata hofu aina ya Mwanamke unayedate Mzee !!.

Hivi unaweza Kumdate DED au DAS wakike ??.

Hahahaha
 
Yote haya shortcut yake ni tafuta hela buda

Sent from my SM-A032F using JamiiForums mobile app
Mbona wanyama hawana hela check Kama jogoo anashawishi kwa nguvu zake za asili za jinsia yake. Ni Raha mno kuwa na mtu anayekupenda bila ya vitu vyako.
So hela zikiisha tunambeba ama unamaanishaje.

Wakati wewe unahangaika kutafuta pesa kisa ke Kuna me anaambiwa njoo nipo loji namba fulani unikune ninawashwa na www ndiye pekee unayeniwezea. Unakuta iyo hela wewe ndiye uliyempa
 
Sasa Mtoa Uzi unanichanganya, nihangaike na ATTENTION pamoja na Bwana DESIRE au nitafute Hela kwanza????
 
Pesa muhimu... ilaaa mbona Masanja ana hela lakini mkewe kaparuriwa nje?

Hayanaga formula
Kwasababu ana hela akiamua kubadiri mwanamke ni dakika sifuri!

Ila ukiwa masikini hutapendwa na mwanamke. Masanja pale alipo kuna mania ya wanawake wanalilia nafas ya kutolewa na yeye ila ukiwa kapuku hutahitajika hata na chizi.


Tutafute hela aiseh

Sent from my SM-A032F using JamiiForums mobile app
 
Wanaume wengi wadhaifu wasokua na 'Know how' hutafuta kitu Cha kujifichia.


Ukweli nikwamba, Kuna Wanawake hawana njaa ya Hela

Embu fikria unapokea mshahara wa 1.2 M... Dem naye anapokea 1.2 M .

Utampata??.
Nasema tena tafuta pesa!

Tafuta pesa!


Umewahi kujiuliza Diamond asingekuwa na hela angewahi kumpata Zali au Tanasha Dona!


Wewe kwako hakikisha unamzidi mwanamke hela kama yeye anapokea mshahara 1.2 wewe pokea zaidi ya hapo. Au kuwa na vipato vya ziada.

Pesa humletea mwanaume authority ndio maana kuna wanawake ambao kama Wana hela kukuzidi wewe siku mmetoka out Kula na marafiki na wewe kama mwanaume wake hauna hela Yuko radhi akupe hela ionekane umelipia wewe ili kukupa heshima!

Acha kabisa na hela Kwa mwanaume ndio kila kitu tuache utani na excuse za hapa na pale.

Sent from my SM-A032F using JamiiForums mobile app
 


Hawa Jamaa kitu wasichokielewa ni kua "Kuna vitu Wanawake hawavijali kabisa once unapokua Umemfanya akupende".


Jiulize kwann, unakuta mwanamke ni Malaya, ila Sasa Kuna Jamaa yake Mmoja ambaye huyo mwanamke hasemi, hapumui, kafa kaoza ????.
 
Hahaha hahaha kipato gan kinamtosha mwanamke?.
 
But look mabilionea wangapi Duniani, Wanawake zao wamesepa ?
Ndiooo, Kuna masikin wengi pia ,Wanawake zao wamesepa!.


Ushawah jiuliza, wewe unaweza kua una kila kitu, alafu unamtaka Dem XYZ... Na huyo demu anakutolea nje, nahuku ukijua kabisa, Anatoka na mahikaji ,Maisha kuunga???

Unahisi Kwa sababu, wewe Hauna peda zaidi au nn??
 
Akik Akili ya Mwanamke ,haifanyi kazi kama unavyowaza ....!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…