Fahamu madhaifu makubwa ya wanawake, unayoweza kuyatumia kumpata bila nguvu kubwa!

Mzee kuhudumiwa na mwanamke sio tamaduni zetu ki Africa...na sio kitu cha kuwa proud nacho hadharani
 
Mzee kuhudumiwa na mwanamke sio tamaduni zetu ki Africa...na sio kitu cha kuwa proud nacho hadharani

Ila watu .

Kwann mnaoa Wanawake wenye kazi, alafu wasipotoa matumizi Ndani.

Mnaanza kulalamika humuhum JF... Hela za mwanamke huyu zinapenda wapi??
Huyu mwanamke anakazi lakin hachangii chochote??


Daaahh Guys,muwe mnajitahidi angalau kusema kile mnachomaanisha .


Mwanamke kua supportive kwako ni sehem ya Mahusiano


Hujawah tolewa Out na demu wako??.
 
Huwa

Huwajui Wanawake .

EMOTION ndio dereva wa Maisha ya Mwanamke.


Ukilijua Hilo, Basi hutaagaika kutumia Pesa, kumshawishi Mwanamke .
Mimi au wewe ndio ubabaishwe na wanawake!

Sijawahi na sitakuja kubabaishwa na mwanamke Hadi nakufa!

Tafuta Kitabu Cha UNLOCK HER LEGS by DOMINIC MANN

Hutakuja hapa kuandika ulichoandka na hutapoteza muda wako Kwa wanawaeView attachment 2375963

Sent from my SM-A032F using JamiiForums mobile app
 
Kumbe wanataka watakwe sio wapendwe, Mimi mpk nimezeeka najua wanapenda upendo, duh...miaka yote hii niko Chaka, sio fair kbs.
 
Kaka umeandika vizuri tena vizuri sana , hapo ni akili ya msomaji na mapokeo ya mada yapoje kwa upande wake , unaweza kua unatumia nguvu kubwa kumuelewesha mtu mwenye visasi vya mahusiano
Shukran
 
Masanja itakuwa alitumia mbinu Yako hiii....ya Furaha mara majonzii kumbeee kipindi akidhani mkewe anapitia majonzi, katibu kata naye anamfurahishaa..
 
Pesa muhimu... ilaaa mbona Masanja ana hela lakini mkewe kaparuriwa nje?

Hayanaga formula
Naantombe Mushi umemaliza mkuu
Kumamoto pita na hapa

Mimi nimemwelewa sana mtoa mada coz kuna manzi yangu mmoja kati ya wale 15 walio kwenye list yenye huyu mmoja hua simpagi attention kabisa kabisa kabisa yaan kabisa na sinaga time nae kabisa ila manzi vituko nnavyomfanyia ndio ananikubari vibaya

Namba moja akiniomba msaada simpi papo hapo hio kwangu ni Big NO yaan lazima nimpigishe msasa wa kutosha hadi nione kweli msaada una umuhimu ndio namtimizia

Kitu kingine Jana nimetongoza juzi pia nimetongoza so nawajua hawa viumbe

Manzi wa Jana alinipa namba ilipofika usiku mwingi km saa 7 akapiga simu km mara mbili tukaongea kidogo wakati huo kuna mwingine nilikua namwimbisha WhatsApp ushaelewa? Huyu wa kwenye simu nikawa naongea nae km sitaki aka-mind akakata simu kumpigia akawa kagoma kupokea kumtumia meseji kumuuliza vipi mbon hivyo anajibu 'unaongea na mimi km hutaki sasa kuna umuhimu gan wa kuendelea kuongea?' nikaona isiwe kesi nikampiga chini karudi kwa yule wa Whatsapp nikaendelea kuchat nae akaleta habari za kumnyenyekea eti nimnyenyekee yeye

Ngoja nikunywe maji kwanza nipige funda moja nakuja....
 
Nakazia...
 
Kwa hiyo mzee si unajikuta maisha yako yoote muda umeishia kwenye wanawake.

Halafu unajiuliza Mbona Mzee mwalubadu ana miliki viwanja Masaki na Mbweni Baba yako yeye alikuwa wapi?

Wakati huo Baba yako amebaki kusema hapa mwaka 80 palikuwa pori tu.😅😅
 


Duuuhhh hili nalo jipya
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…