Fahamu madhaifu makubwa ya wanawake, unayoweza kuyatumia kumpata bila nguvu kubwa!

Duuuhhh hili nalo jipya
Ndio hivyo Mkuu wakati akina Kikwete na akina Mwakyembe wao bize kutafuta madaraka Baba zetu walikuwa bize na Pisi kali za wakati huo. Leo tukiona watoto wao tunaishia kulalamika Ooh wanapeana kindugu kwakujuana.

No, their parents worked upon it.
 
Bro tukae pamoja mzee tujifunze hivi vitu and more
 
Hakuna bahati.. thats learnt! Shida ya watu mko brainwashed and its no longer easu for you to unlearn and learn again.
 
HHuu
Huu mwandiko naujua nadhani wewe ni comrade wangu X
 
Njia namba moja ni kufanya Biashara na Mwanamke yoyote unayekutana naye on ur circle life

huwezi waste ur time kutafta kupendwa au kuheshimiwa na Binadamu .

wafundishe watu Mambo ya maana na msingi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…