Fahamu sifa kubwa ya Infinix Hot 10 PLAY zaidi ya Samsung A02S

Fahamu sifa kubwa ya Infinix Hot 10 PLAY zaidi ya Samsung A02S

Hii kauli sitaacha

KgTel, Infinix, Tecno, Itel, ForMe , Leagoo, X-Tigi & Co ni upuuzi kama upuuzi mwingine. Sijui tutumie lugha gani kuwaambia watu

Hata mimi mwanzoni nilikuwa nina mawazo kama yako ila baada ya kuanza kutumia Infinix hizi high end nimetokea kuzipenda.
 
Uchambuzi wako ni sawa na kusema Yanga SC na Man City

Et Yanga kwenye VPL imepoteza mchezo mmoja wakati Man City kwenye EPL imepoteza michezo kibao

Yaani utuaminishe kwa uchambuzi huo Yanga ni bora kuliko Man City

Infinix ni Tecno ndio hao hao kina Itel na wengineo toka lini MTK ikawa bora sokoni,, au tufanye hiviii bei zake zipoje, je, simu zinalingana bei? kama moja ina bei kubwa ni kwann?
Hauko flexible.

Umekariri.
 
Hot Play 10.....Mkuu kila mtu na mtizamo wake kwenye kutumia ,wewe kitu usichopenda sio kwamba watu wote hawatakipenda! kwa mfano mimi iphone sizipendi kabisa.
Infinix Hot 10 Play haijawahi kuwa high End .

High end ni kina Sam S21 &Co.. (Flagship)
Mimi nimeshatumia hizo Infnix, Tecno vizuri kabisa lakini amini amini nakwambia hizo ni upupu tu ndio mana nikahama na sina mpango wa kurudi huko
 
Infinix Hot 10 Play haijawahi kuwa high End .

High end ni kina Sam S21 &Co.. (Flagship)
Mimi nimeshatumia hizo Infnix, Tecno vizuri kabisa lakini amini amini nakwambia hizo ni upupu tu ndio mana nikahama na sina mpango wa kurudi huko
😂 😂 😂
 
Hot Play 10.....Mkuu kila mtu na mtizamo wake kwenye kutumia ,wewe kitu usichopenda sio kwamba watu wote hawatakipenda! kwa mfano mimi iphone sizipendi kabisa.
Khaaa,[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mkuu wewe ni mgeni sana na simu yaani infinix hot 10 play iwe ni high end phone hizi infinix zetu ni takataka ni Sina tu noti kwa Sasa ningenunua simu ya maana sio huu uchafu

Sent from my Infinix X650B using JamiiForums mobile app
 
Hao man city mdhamini wao ni tecno hebu chagua Timu nyingne
Uchambuzi wako ni sawa na kusema Yanga SC na Man City

Et Yanga kwenye VPL imepoteza mchezo mmoja wakati Man City kwenye EPL imepoteza michezo kibao

Yaani utuaminishe kwa uchambuzi huo Yanga ni bora kuliko Man City

Infinix ni Tecno ndio hao hao kina Itel na wengineo toka lini MTK ikawa bora sokoni,, au tufanye hiviii bei zake zipoje, je, simu zinalingana bei? kama moja ina bei kubwa ni kwann?
man
 
Uchambuzi wako ni sawa na kusema Yanga SC na Man City

Et Yanga kwenye VPL imepoteza mchezo mmoja wakati Man City kwenye EPL imepoteza michezo kibao

Yaani utuaminishe kwa uchambuzi huo Yanga ni bora kuliko Man City

Infinix ni Tecno ndio hao hao kina Itel na wengineo toka lini MTK ikawa bora sokoni,, au tufanye hiviii bei zake zipoje, je, simu zinalingana bei? kama moja ina bei kubwa ni kwann?
Unatia aibu
 
Back
Top Bottom