Kimwerymdodo5
JF-Expert Member
- Feb 10, 2019
- 2,043
- 3,305
infinix,kaka yake tekuno.... 🚮
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hii kauli sitaacha
KgTel, Infinix, Tecno, Itel, ForMe , Leagoo, X-Tigi & Co ni upuuzi kama upuuzi mwingine. Sijui tutumie lugha gani kuwaambia watu
Kweli ujue kila mtu ana mzuka na type za simu , hata mimi iphone sizipendi lakini haimaanishi kwamba ni mbaya au sina hela ya kununua hapana sizipendi tu.
Nimetumia sana hizo simu.Hata mimi mwanzoni nilikuwa nina mawazo kama yako ila baada ya kuanza kutumia Infinix hizi high end nimetokea kuzipenda.
Hauko flexible.Uchambuzi wako ni sawa na kusema Yanga SC na Man City
Et Yanga kwenye VPL imepoteza mchezo mmoja wakati Man City kwenye EPL imepoteza michezo kibao
Yaani utuaminishe kwa uchambuzi huo Yanga ni bora kuliko Man City
Infinix ni Tecno ndio hao hao kina Itel na wengineo toka lini MTK ikawa bora sokoni,, au tufanye hiviii bei zake zipoje, je, simu zinalingana bei? kama moja ina bei kubwa ni kwann?
Hot Play 10.....Mkuu kila mtu na mtizamo wake kwenye kutumia ,wewe kitu usichopenda sio kwamba watu wote hawatakipenda! kwa mfano mimi iphone sizipendi kabisa.Nimetumia sana hizo simu.
Infnix high end bro. Kuwa serious.. kama ipi?
Inategemea na type uliyonunua ,ebu nunua za bei kubwa achana na hizo za elfu 70,nunua za kuanzia laki 3 na kuendelea.Infinix hamna kitu
Infinix Hot 10 Play haijawahi kuwa high End .Hot Play 10.....Mkuu kila mtu na mtizamo wake kwenye kutumia ,wewe kitu usichopenda sio kwamba watu wote hawatakipenda! kwa mfano mimi iphone sizipendi kabisa.
😂 😂 😂Infinix Hot 10 Play haijawahi kuwa high End .
High end ni kina Sam S21 &Co.. (Flagship)
Mimi nimeshatumia hizo Infnix, Tecno vizuri kabisa lakini amini amini nakwambia hizo ni upupu tu ndio mana nikahama na sina mpango wa kurudi huko
Khaaa,[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mkuu wewe ni mgeni sana na simu yaani infinix hot 10 play iwe ni high end phone hizi infinix zetu ni takataka ni Sina tu noti kwa Sasa ningenunua simu ya maana sio huu uchafuHot Play 10.....Mkuu kila mtu na mtizamo wake kwenye kutumia ,wewe kitu usichopenda sio kwamba watu wote hawatakipenda! kwa mfano mimi iphone sizipendi kabisa.
manUchambuzi wako ni sawa na kusema Yanga SC na Man City
Et Yanga kwenye VPL imepoteza mchezo mmoja wakati Man City kwenye EPL imepoteza michezo kibao
Yaani utuaminishe kwa uchambuzi huo Yanga ni bora kuliko Man City
Infinix ni Tecno ndio hao hao kina Itel na wengineo toka lini MTK ikawa bora sokoni,, au tufanye hiviii bei zake zipoje, je, simu zinalingana bei? kama moja ina bei kubwa ni kwann?
Unatia aibuUchambuzi wako ni sawa na kusema Yanga SC na Man City
Et Yanga kwenye VPL imepoteza mchezo mmoja wakati Man City kwenye EPL imepoteza michezo kibao
Yaani utuaminishe kwa uchambuzi huo Yanga ni bora kuliko Man City
Infinix ni Tecno ndio hao hao kina Itel na wengineo toka lini MTK ikawa bora sokoni,, au tufanye hiviii bei zake zipoje, je, simu zinalingana bei? kama moja ina bei kubwa ni kwann?