Fahamu zaidi kuhusu kinga ya Ukimwi iitwayo PEP

Fahamu zaidi kuhusu kinga ya Ukimwi iitwayo PEP

Yani ilikua ivi baada ya kupima hata mm niliweza kuamini hana maana ukitizama haraka haraka bila u makini huwez ona mstari ambao uko kwenye 1 kwaiyo hata mm sikuona na nikawa convinced hana ila kuna demu a kasema ila mbona kuna mstari mwingine kwa mbaali hapo kwenye moja na tulikua watu wengi na hatukuweza kuona ila baada ya kusema ndo ikanibid nitizame vizuri na nikagundua kweli upo japo sikusema na watu hawakuona yule demu akaanza kusema umeona wananizushia na akawa Anataka kipimo Kile abaki nacho ila mm baada ya kuona ni kweli nikazuga ichi mm nabaki nacho maana mm ndo nilikuja na vile vya kupimiia ili kumpeleka kwa Doctor na kujua majibu yake kwa sababu nilikua sina uhakika sana na ndio baada ya kupeleka doctor kutizama hakuona ikabidi avae miwani yake na ndipo a kaniambia yes uyu majibu yake yana ulakini ni ngumu kuona inawezekana anatumia dawa na ndio mstari hauonekani kwa ukubwa huo
 
Dah kwaiyo unataka kuniambia mtu anaetumia art ni ngumu kuambukiza ukimwi kuliko mtu asietumia ambae mstari ungeonekana kwa ukubwa??? Japo natumia pep ila kwa faida tu yangu binafsi
Mtu anayetumia dawa vizuri kwa mpangilio na muda sahihi virusi hufubaa na kupunguza kabisa makali kuna kuwa na uwezekano mdogo wa kuambukiza ndio maana sasa hivi kuna kesi nyingi unakuta mama anaujauzito lakini mwanaume wake hana au kinyume chake hapo lakini mtu kama hatumii dawa ukiweka tu kavu umevibeba.
 
Mtu anayetumia dawa vizuri kwa mpangilio na muda sahihi virusi hufubaa na kupunguza kabisa makali kuna kuwa na uwezekano mdogo wa kuambukiza ndio maana sasa hivi kuna kesi nyingi unakuta mama anaujauzito lakini mwanaume wake hana au kinyume chake hapo lakini mtu kama hatumii dawa ukiweka tu kavu umevibeba.
Nimekuelewa boss sasa hivi
 
Yani ilikua ivi baada ya kupima hata mm niliweza kuamini hana maana ukitizama haraka haraka bila u makini huwez ona mstari ambao uko kwenye 1 kwaiyo hata mm sikuona na nikawa convinced hana ila kuna demu a kasema ila mbona kuna mstari mwingine kwa mbaali hapo kwenye moja na tulikua watu wengi na hatukuweza kuona ila baada ya kusema ndo ikanibid nitizame vizuri na nikagundua kweli upo japo sikusema na watu hawakuona yule demu akaanza kusema umeona wananizushia na akawa Anataka kipimo Kile abaki nacho ila mm baada ya kuona ni kweli nikazuga ichi mm nabaki nacho maana mm ndo nilikuja na vile vya kupimiia ili kumpeleka kwa Doctor na kujua majibu yake kwa sababu nilikua sina uhakika sana na ndio baada ya kupeleka doctor kutizama hakuona ikabidi avae miwani yake na ndipo a kaniambia yes uyu majibu yake yana ulakini ni ngumu kuona inawezekana anatumia dawa na ndio mstari hauonekani kwa ukubwa huo
Huyo demu mwingine aliyekwambia mbona kama kuna mstari miwili ulimwonyesha hicho kipimo baada ya muda gani toka kitowe majibu?
 
Huyo demu mwingine aliyekwambia mbona kama kuna mstari miwili ulimwonyesha hicho kipimo baada ya muda gani toka kitowe majibu?
Tulikua wote yani tumekaa chini kwenye viti na meza kama maeneo ya ki grocery na baadhi watu kadhaa walikua wamesima kama wanne na uyo dada akiwepo
 
Sawa asante sana na labda umemaliza ukaonekana hauna maambukizi je inawezekana miezi miwili mbele ukaja kupima ukaonekana ni positive??
Inawezekana....kwa uhakika mzuri nashauri upime Mara mbili baada ya kumaliza hzo dozi...moja few days after kumaliza,yapili one to two months later.....the prophylaxis u are taking have no 100% of making u safe...also ukipima Mara moja tu ukaacha u may get false negative results due to the PEP
 
Leo nataka kushare kitu na kuuliza pia, tarehe 4 mwezi huu nilifanya Mapenzi na msichana ambae nilimjua kwa masaa 48 kabla ya kusex nae hii ilinitokea ni baada ya kukaa mda mrefu bila kufanya Mapenzi maana nina mwanamke mzungu na nilikua naongopa kuchepuka kwa sababu mwanamke wangu yupo nje ya nchi Ana Mapenzi na tulikua tumepanga kufunga ndoa tarehe 28 ya mwez huu, niseme kama ajari tu ni baada ya kukaa miezi 8 bila kufanya Mapenzi nikakutana na uyu demu mitaa ninayoishi na ni kafanya nae Mapenzi na kinga ila mzunguko wa kwanza, mzunguko wa pili nikavaa tena kinga bahati mbaya kinga ikapasuka mbele nadhan ni kutokana na ukavu na ulaini kidogo, ilipopasuka tu nikajua nikatoka fasta nikaenda kuvua ile condom kwa kutumia karatasi Inshort siku ishika nikavaa nyingine nikamalizia, lakin baada ya yule dada kuondoka nikajawa na hofu kubwa sijui kwann na nikaanza kumuuliza kama alishawai kupima a kasema ndio na hana na Ana utaratibu wa kupima kila mwezi, kiukweli sijui kwann ila nilikua na hofu bado ikanibidi niende mtaa anayoishi kama lisaa limoja baadae ili kujua zaidi kuhusu yule demu maana nilijiuliza kama ndani masaa 48 kafanya Mapenzi na mm na sikumtongoza je ni wangap ambao alifanya nao kwa style kama yangu, bhass katika kuuliza mtu ambae na mfahamu na yy ananifaham akanimbia ndugu yangu sikushauri kwa uyo demu maana naskia Ana moto nikaanza kuchanganyikiwa na kuanza kumtafuta ili tu kapime maana yy alisema hana bhass mara akawa hapokei na anakata simu na akazima simu kwa mda, daaah ikanibidi niende kituo cha afya karibu na jirani nikawaeleza bahati nzuri icho kituo wananijua vizur maana mama yangu anafanya nao kazi pamoja ila kitengo tofauti, wakanipima ukimwi wakanikuta sina na kunipa dawa aina ya pep na ya kwanza wa kaniambia kunywa hapa hapa , haya yote ninayo kwambia ni ilikua ni ndani ya masaa matatu tu tangu nikutane nae na Leo ni siku ya kumi tangu nianze kutumia pep je kuna namna yyte ambayo naweza nikawa na maambukizi baada ya kumaliza hizi dawa maana yule demu kesho yake nilimtafuta na nikampima maana nilikua na vifaa nikamkuta kweli mistari miwili kwenye C na 1 ila wa kwenye moja ni unaonekana kwa mbaaali si rahisi mtu kuona kama hujatulia vizuri.. Nilikua nataka kujua kutoka kwa wataalamu humu asanteni
Pole sana.Iko hivi...PEP inazuia virus kuzaliana yaani kuongezeka.unapo sex au kijkata au kijichoma katika mazingira hatarishi mtu anaingiwa na virus wa HIV wachache sana Ambao kama watawaiwa watabaki wachache ambao hufa naturaly pale white blood cells zinapokufa zikifika siku 30...hivyo cell zilizoingiwa na virus zinapokufa maana na ake virus nao wote wanakufa.Kwa sasa USA kuna kampuni ina dawa ambayo inamaliza virus karibu wote..na wengine hukaa mpaka miezi 6 virus awaonekani kwenye damu wakati wa vipimo.kilichobaki ni namna gani watawatoa virus wa HIV wanaojificha wasifikiwe na Dawa na urudi tena kwenye mzunguko wa damu mara mtu anapoacha dawa..ila bado wanapambana hope ipo siku wataweza
So wewe kama unameza PEP usiwe na wasiwasi...kwani utakuwa salama bila maambukizi.Mungu akusimamie
 
Pole sana.Iko hivi...PEP inazuia virus kuzaliana yaani kuongezeka.unapo sex au kijkata au kijichoma katika mazingira hatarishi mtu anaingiwa na virus wa HIV wachache sana Ambao kama watawaiwa watabaki wachache ambao hufa naturaly pale white blood cells zinapokufa zikifika siku 30...hivyo cell zilizoingiwa na virus zinapokufa maana na ake virus nao wote wanakufa.Kwa sasa USA kuna kampuni ina dawa ambayo inamaliza virus karibu wote..na wengine hukaa mpaka miezi 6 virus awaonekani kwenye damu wakati wa vipimo.kilichobaki ni namna gani watawatoa virus wa HIV wanaojificha wasifikiwe na Dawa na urudi tena kwenye mzunguko wa damu mara mtu anapoacha dawa..ila bado wanapambana hope ipo siku wataweza
So wewe kama unameza PEP usiwe na wasiwasi...kwani utakuwa salama bila maambukizi.Mungu akusimamie
Dah mungu akubariki sana kwa maneno yako yenye kutia moyo kaka na mungu akubariki sana kwa elimu hii uliyonipa kaka [emoji120][emoji120][emoji120][emoji120][emoji120][emoji120]
 
daah haya mambo ukiyasoma hata hamu ya ngono inakata kabisa..hatari sana yanatisha..ila Mungu atusaidie maana binadamu huwa tunajisahau..daah
 
Habari Wataalam,
Naomba kujua kama mtu alichomwa na sindano halafu hakuwa na uhakika wa hiyo sindano akashauriwa kutumia PEP, je akifanya sex wakati bado hajamaliza dose ya PEP, je anaweza muambukiza mtu mwingine?
 
Aiseee.

Nashauri amalize kwanza dose ya PEP then ndo afanye hayo mengine au atumie kinga..
 
PEP mpaka iishe. Maana Ata kutumia PEP yenyewe inaweza fail au ku success
 
Si niliwahi kusikia hizo PEP zenyewe zinachosha sana,sasa ukifanya na hayo mambo mengine si ndio unajimaliza kabisa...
 
Habari Wataalam,
Naomba kujua kama mtu alichomwa na sindano halafu hakuwa na uhakika wa hiyo sindano akashauriwa kutumia PEP, je akifanya sex wakati bado hajamaliza dose ya PEP, je anaweza muambukiza mtu mwingine?
We kama umegonga tukuimbie parapanda tu
 
Habari Wataalam,
Naomba kujua kama mtu alichomwa na sindano halafu hakuwa na uhakika wa hiyo sindano akashauriwa kutumia PEP, je akifanya sex wakati bado hajamaliza dose ya PEP, je anaweza muambukiza mtu mwingine?
Watanzania akili zenu sijui mnapeleka wapi aisee,sasa kama anatumia PEP ,kilichompelekea afanye tena ngono kabla ya dozi kuisha ni nini? Anyway hapo lolote linaweza kutokea,kama huo uzinzi bado haujazidi masa 24,nashauri huyo mzinzi mwenzie akachukue doI za PEP pia
 
Watanzania akili zenu sijui mnapeleka wapi aisee,sasa kama anatumia PEP ,kilichompelekea afanye tena ngono kabla ya dozi kuisha ni nini? Anyway hapo lolote linaweza kutokea,kama huo uzinzi bado haujazidi masa 24,nashauri huyo mzinzi mwenzie akachukue doI za PEP pia
Soma maelezo.
 
Back
Top Bottom